Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

United are so weak in the build-up, kwa timu zinazopress high line kama Brentford zitawapa matatizo hivyo inamlazimu kocha aruhusu GK acheze long kick often times ingawa timu si nzuri kucounter-press. Simply, timu haiwezi kuhandle pressure, can't wait for Newcastle vs United.
 
Una kicha hakuna timu isiyotegemea wachezaji kadhaa.


Manchester msimu ulioisha hakuna mechi tulishinda Ronaldo akiwa Hayupo uwanjani na hapo unasemaje
Structure mbovu, timu inayoshinda kwa individual brilliance huwa haifiki popote ,itakwama tu , angalia mancity ,hata akosekane KDB, au yeyote wanapata matokeo au kucheza vilevile

Conte anacheza ovyo , Hilo halitakiwi kufichwa ,lisemwe Ukweli,
 
Tupo bize kutengeneza mfumo kwa sasa



Wale wazembe wavivu na wasioweza kufit kwenye mfumo watajiondoa wenyewe
 
United are so weak in the build-up, kwa timu zinazopress high line kama Brentford zitawapa matatizo hivyo inamlazimu kocha aruhusu GK acheze long kick often times ingawa timu si nzuri kucounter-press. Simply, timu haiwezi kuhandle pressure, can't wait for Newcastle vs United.
Yap it will take time kujenga timu but lazima u-balance process ya kujenga team na kupata matokeo ,one positive things ni kocha kuwa-motivate players kupambana na kurudisha confidence ya wachezaji kuamini wanaweza kupata positive results regardless wanaipataje .Jana bado tuliona makosa ya Rashford,Elanga,Bruno,Mctominay cha msingi waliamini wanaweza kupambana na walipata matokeo.
 
Oooooohhh

Lisandro f..ucking magic

He wears a magic hat

And when he saw Old Trafford he said I fancy that

He nearly signed for Arsenal but snubbed them cause they are shi.t

He signed for Man United cause we are f..ucking dynamite

Jisongi hilo kwa ajili ya mwanetu Licha
 
Walimpa ushirikiano wa kutosha kabisa, GGMU.
Screenshot_20220823-201102.jpg
Screenshot_20220823-201112.jpg
Screenshot_20220823-201124.jpg
Screenshot_20220823-201132.jpg
Screenshot_20220823-201140.jpg
Screenshot_20220823-201149.jpg
Screenshot_20220823-201158.jpg
 
Sema tusiende kichwa kichwa...Ajax wanataka €100m..kitu ambacho naona sio..tuende nao taratibu ili dogo aje kwa dau ya chini ya hapo ili pia tumwondolee pressure.
Makubaliano binafsi Antony na sisi tayari wamebaki Ajax kukubali ofa ya pili ikitumwa. Hawa ndio aina ya wachezaji tunapaswa kusajili mwenye hamu ya kuja kucheza United.
 
Yap it will take time kujenga timu but lazima u-balance process ya kujenga team na kupata matokeo ,one positive things ni kocha kuwa-motivate players kupambana na kurudisha confidence ya wachezaji kuamini wanaweza kupata positive results regardless wanaipataje .Jana bado tuliona makosa ya Rashford,Elanga,Bruno,Mctominay cha msingi waliamini wanaweza kupambana na walipata matokeo.
Binafsi sijaelewa nini kafanya paka dirisha linafungwa. Timu haina technicians kwa build up phase na idea yake ni kuplay out from the back, De gea, Varane, Bissaka, Lindelof are so weak with the ball, unadhani mtacheza long kick paka msimu unaisha?
Timu nyingi siku hizi zinapress high line, na ukikutana na physical teams that means intensity haiwezi kuwabeba kwa game zote 38.
 
Oooooohhh

Lisandro f..ucking magic

He wears a magic hat

And when he saw Old Trafford he said I fancy that

He nearly signed for Arsenal but snubbed them cause they are shi.t

He signed for Man United cause we are f..ucking dynamite

Jisongi hilo kwa ajili ya mwanetu Licha
Jinsi Lisandro anavyojitoa uwanjani ndivyo Captain anapaswa kucheza.

Lile li-engereza likienda Chelsea inabidi Lisandro apewe kile kitambaa.
 
Alikuwa anazingua Sana kuwatumia wachezaji walioflop akiamini yeye atawarudisha kwenye form

Hawa akina maguire, Ronaldo, shaw, macfred, rashford na Bruno ni kuwapiga bench then ingiza wachezaji wako mwenyewe then wakishakaa bench wataanza kurudi mmoja mmoja baada ya kujifunza. Create your own TEAM.

Hata yule donny nashangaa kwanini hamtumii wakati ni mchezaji anayemjua vizuri kabisa
Mkuu Bruno jana amecheza vizuri sana.
 
Jinsi Lisandro anavyojitoa uwanjani ndivyo Captain anapaswa kucheza.

Lile li-engereza likienda Chelsea inabidi Lisandro apewe kile kitambaa.
Tupo slow sana kuwaondoa flops wetu..

Mtu kama Maguire ni wakuondosha kikosini chapchap..kuendelea nao ni yaleyale ya kujitafutia ugumu kuwa-offload kama ilivyo kwa Phil Jones.
 
Tupo slow sana kuwaondoa flops wetu..

Mtu kama Maguire ni wakuondosha kikosini chapchap..kuendelea nao ni yaleyale ya kujitafutia ugumu kuwa-offload kama ilivyo kwa Phil Jones.
Hawa wajinga wapo kama 10 hivi wanamaliza mikataba yao mwezi wa 6 mwakani wote wanapaswa kuondoka hata wakicheza vizuri kiasi gani msimu huu wametudhalilisha msimu uliopita.

Mf. Rshford jana kafunga goli zuri ila bado inapaswa aondoke kwenye sura mpya United. Luke Shaw, Degea, Jones, Ronaldo, Fred, Dalot, Chong, Tuanzebe sioni haja ya kuendelea kubaki na hawa wachezaji. Ten Hag akijiloga kumpa hata mmoja mkataba tutaendelea na makapi yale yale ya hovyo.
 
Hawa wajinga wapo kama 10 hivi wanamaliza mikataba yao mwezi wa 6 mwakani wote wanapaswa kuondoka hata wakicheza vizuri kiasi gani msimu huu wametudhalilisha msimu uliopita.

Mf. Rshford jana kafunga goli zuri ila bado inapaswa aondoke kwenye sura mpya United. Luke Shaw, Degea, Jones, Ronaldo, Fred, Dalot, Chong, Tuanzebe sioni haja ya kuendelea kubaki na hawa wachezaji. Ten Hag akijiloga kumpa hata mmoja mkataba tutaendelea na makapi yale yale ya hovyo.
Bodi ilikataa Phil Jones kuuzwa. Na juzi ilikataa ofa ya Chelsea ya kumchukua Maguire.

Kuna maamuzi kocha anaamuliwa na bodi.
 
Mi nataka mkamilishe huu usajili mapema ili acheze mechi na Liverpool tuone kituko mlichoongeza kwenye timu yenu.

Yani hii timu wamiliki, wachezaji, kocha na mashabiki wote akili zao ni za ovyo sana.. mlipiga kelele kwa wadhamini sasa mmepulizwa mmeletewa DM mliekuwa mnamtaka, nina uhakika baada ya jumatatu mtataka wadhamini waondoke tena!

Hii timu hakuna wa kuiokoa hata awepo nani.. mpaka mjue mlipokosea. Timu yenu ni ya kufa tu kwa miaka 30, mtake msitake.. NIPO PALE!
Vipi Bado hatujacheza na LiverKuku!!!?
 
Hii united imeyolegealegea Kama mlenda ,hivi unaweza kumuweka mbele ya wanaume Kama Newcastle akatoboa

United wanacheza kivivu ,wamelege ,hawana Kasi ,nguvu hawana,mfumo ndio zero ,subili utawaona kesho ,hawana mchezaji yeyote katiri golin ambaye yupo tayari kuacha mguu uwanjan ili timu ifunge .....
Vipi mkuu. .... Matokeo yalikuwaje
 
Back
Top Bottom