Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Utd wamepeleka bid ajax kwa ajili ya Anthony,,,, !!!! Uzuri ni kwamba mchezaji mwenyewe anataka kuungana na mwl wake ETH, ,,,Jana na juz hajatrain na first team ili kuwa-pressure viongoz wake wakamilishe hii deal,,,,

It's happening !!!

#GGMU
Hata game ya leo hakuwepo..

It may happen..

Greenwood ndo basi tena inavyoonekana
 
Mnasikia nyie
Screenshot_20220821-211445_Twitter.jpg
 
Man u kumbe bado wako vzr tumeona wenzao leo walivyopelekewa moto united ana nafas ya kurekebisha makosa
Hii united imeyolegealegea Kama mlenda ,hivi unaweza kumuweka mbele ya wanaume Kama Newcastle akatoboa

United wanacheza kivivu ,wamelege ,hawana Kasi ,nguvu hawana,mfumo ndio zero ,subili utawaona kesho ,hawana mchezaji yeyote katiri golin ambaye yupo tayari kuacha mguu uwanjan ili timu ifunge .....
 
Hii united imeyolegealegea Kama mlenda ,hivi unaweza kumuweka mbele ya wanaume Kama Newcastle akatoboa

United wanacheza kivivu ,wamelege ,hawana Kasi ,nguvu hawana,mfumo ndio zero ,subili utawaona kesho ,hawana mchezaji yeyote katiri golin ambaye yupo tayari kuacha mguu uwanjan ili timu ifunge .....
Pain is beautiful
 
Hata game ya leo hakuwepo..

It may happen..

Greenwood ndo basi tena inavyoonekana
Jombaa, In longrun tunawahitaji wote wawili ila kwa sasa anahitajika zaidi Antony.

Greenwood vs Antony upande kulia mwa uwanja halafu Sancho vs Elanga upande wa kushoto.

Endapo Greenwood akirejea ataleta balance nzuri sana ya timu kuanzia msimu ujao.
 
Hiki kitu niliwahi kusema hawa jamaa walipoanza kuleta ushikaji tu katika kazi ndio walipoua timu.

Unampaje kilaza kama Ed Woodward akuendeshee klabu kubwa ya soka kama Manchester United?

Ndani ya miaka 10 ya Ed kama mtendaji mkuu wa timu thamani ya United imeshuka sana hatujashinda taji hata moja la EPL.

Sheikh Mansour anamchukua Ferran Sorriano kutoka Barcelona ya moto aje amuendeshee timu ndani ya miaka 10 chini yake Manchester City tayari wamebeba EPL 5 jumlisha na mataji mengine 10 chini yake yaani chini Ferran Sorriano City wamebeba makombe 15.

Ferran Sorriano alianza kazi na Ed Woodward kwa wakati mmoja walipishana miezi michache tu ila ndani ya miaka 10 tokea 2012 tayari Ferran Sorriano amebeba EPL 5, Ed Woodward mpaka anaondoka ofisini hajabeba hata moja.
 
Mmejisahau sana humu ndani mpaka mmeanza kunenepa.

Kesho ifike tu.

Hii timu haina tofauti na takataka!
 
Jombaa, In longrun tunawahitaji wote wawili ila kwa sasa anahitajika zaidi Antony.

Greenwood vs Antony upande kulia mwa uwanja halafu Sancho vs Elanga upande wa kushoto.

Endapo Greenwood akirejea ataleta balance nzuri sana ya timu kuanzia msimu ujao.
2 years bila football...huyu Greenwood atakuwa the same kweli??
 
Hiki kitu niliwahi kusema hawa jamaa walipoanza kuleta ushikaji tu katika kazi ndio walipoua timu.

Unampaje kilaza kama Ed Woodward akuendeshee klabu kubwa ya soka kama Manchester United?

Ndani ya miaka 10 ya Ed kama mtendaji mkuu wa timu thamani ya United imeshuka sana hatujashinda taji hata moja la EPL.

Sheikh Mansour anamchukua Ferran Sorriano kutoka Barcelona ya moto aje amuendeshee timu ndani ya miaka 10 chini yake Manchester City tayari wamebeba EPL 5 jumlisha na mataji mengine 10 chini yake yaani chini Ferran Sorriano City wamebeba makombe 15.

Ferran Sorriano alianza kazi na Ed Woodward kwa wakati mmoja walipishana miezi michache tu ila ndani ya miaka 10 tokea 2012 tayari Ferran Sorriano amebeba EPL 5, Ed Woodward mpaka anaondoka ofisini hajabeba hata moja.
Timu inaweza uzwa very ndani ya miezi 12 mpaka 24.

Hizi figisu zitapamba moto soon.
 
Back
Top Bottom