Hata game ya leo hakuwepo..Utd wamepeleka bid ajax kwa ajili ya Anthony,,,, !!!! Uzuri ni kwamba mchezaji mwenyewe anataka kuungana na mwl wake ETH, ,,,Jana na juz hajatrain na first team ili kuwa-pressure viongoz wake wakamilishe hii deal,,,,
It's happening !!!
#GGMU
Hii united imeyolegealegea Kama mlenda ,hivi unaweza kumuweka mbele ya wanaume Kama Newcastle akatoboaMan u kumbe bado wako vzr tumeona wenzao leo walivyopelekewa moto united ana nafas ya kurekebisha makosa![]()









.....Pain is beautifulHii united imeyolegealegea Kama mlenda ,hivi unaweza kumuweka mbele ya wanaume Kama Newcastle akatoboa
United wanacheza kivivu ,wamelege ,hawana Kasi ,nguvu hawana,mfumo ndio zero ,subili utawaona kesho ,hawana mchezaji yeyote katiri golin ambaye yupo tayari kuacha mguu uwanjan ili timu ifunge.....
Naamini chini ya ETH greenwood angeimprove,,,,, ndo ivo Tena[Hata game ya leo hakuwepo..
It may happen..
Greenwood ndo basi tena inavyoonekana
Jombaa, In longrun tunawahitaji wote wawili ila kwa sasa anahitajika zaidi Antony.Hata game ya leo hakuwepo..
It may happen..
Greenwood ndo basi tena inavyoonekana
hahaha nenda nao taratibu toka lini nyumbu akawa na akiliKwahiyo ulitaka tuanze kwa kufungwa kama msimu ulipita kama unavyofungwa wewe?
Nyumbu zina akili mbovu kabisa!
Hiki kitu niliwahi kusema hawa jamaa walipoanza kuleta ushikaji tu katika kazi ndio walipoua timu.![]()
'The Glazers will be gone next year': Michael Knighton on owners
Knighton was an ambitious young property developer when he tried to buy United three decades ago, juggling the ball on the Old Trafford pitch to general astonishment, and was on the board for three years.www.dailymail.co.uk
2 years bila football...huyu Greenwood atakuwa the same kweli??Jombaa, In longrun tunawahitaji wote wawili ila kwa sasa anahitajika zaidi Antony.
Greenwood vs Antony upande kulia mwa uwanja halafu Sancho vs Elanga upande wa kushoto.
Endapo Greenwood akirejea ataleta balance nzuri sana ya timu kuanzia msimu ujao.
Wanajisemeaga eti class is permanent but form is temporary2 years bila football...huyu Greenwood atakuwa the same kweli??
Timu inaweza uzwa very ndani ya miezi 12 mpaka 24.Hiki kitu niliwahi kusema hawa jamaa walipoanza kuleta ushikaji tu katika kazi ndio walipoua timu.
Unampaje kilaza kama Ed Woodward akuendeshee klabu kubwa ya soka kama Manchester United?
Ndani ya miaka 10 ya Ed kama mtendaji mkuu wa timu thamani ya United imeshuka sana hatujashinda taji hata moja la EPL.
Sheikh Mansour anamchukua Ferran Sorriano kutoka Barcelona ya moto aje amuendeshee timu ndani ya miaka 10 chini yake Manchester City tayari wamebeba EPL 5 jumlisha na mataji mengine 10 chini yake yaani chini Ferran Sorriano City wamebeba makombe 15.
Ferran Sorriano alianza kazi na Ed Woodward kwa wakati mmoja walipishana miezi michache tu ila ndani ya miaka 10 tokea 2012 tayari Ferran Sorriano amebeba EPL 5, Ed Woodward mpaka anaondoka ofisini hajabeba hata moja.