Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hata game ya leo hakuwepo..

It may happen..

Greenwood ndo basi tena inavyoonekana
Jombaa, In longrun tunawahitaji wote wawili ila kwa sasa anahitajika zaidi Antony.

Greenwood vs Antony upande kulia mwa uwanja halafu Sancho vs Elanga upande wa kushoto.

Endapo Greenwood akirejea ataleta balance nzuri sana ya timu kuanzia msimu ujao.
 
Hiki kitu niliwahi kusema hawa jamaa walipoanza kuleta ushikaji tu katika kazi ndio walipoua timu.

Unampaje kilaza kama Ed Woodward akuendeshee klabu kubwa ya soka kama Manchester United?

Ndani ya miaka 10 ya Ed kama mtendaji mkuu wa timu thamani ya United imeshuka sana hatujashinda taji hata moja la EPL.

Sheikh Mansour anamchukua Ferran Sorriano kutoka Barcelona ya moto aje amuendeshee timu ndani ya miaka 10 chini yake Manchester City tayari wamebeba EPL 5 jumlisha na mataji mengine 10 chini yake yaani chini Ferran Sorriano City wamebeba makombe 15.

Ferran Sorriano alianza kazi na Ed Woodward kwa wakati mmoja walipishana miezi michache tu ila ndani ya miaka 10 tokea 2012 tayari Ferran Sorriano amebeba EPL 5, Ed Woodward mpaka anaondoka ofisini hajabeba hata moja.
 
Mmejisahau sana humu ndani mpaka mmeanza kunenepa.

Kesho ifike tu.

Hii timu haina tofauti na takataka!
 
Jombaa, In longrun tunawahitaji wote wawili ila kwa sasa anahitajika zaidi Antony.

Greenwood vs Antony upande kulia mwa uwanja halafu Sancho vs Elanga upande wa kushoto.

Endapo Greenwood akirejea ataleta balance nzuri sana ya timu kuanzia msimu ujao.
2 years bila football...huyu Greenwood atakuwa the same kweli??
 
Leo watu wana happy kweli kweli hapa kitaa yani kumbe leo ndo siku ya kupata burudani.

Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha

Prediction

Man united 2 vs Liverpool 2

Time:4:00
Screenshot_20220822-070917.jpg
 
Hiki kitu niliwahi kusema hawa jamaa walipoanza kuleta ushikaji tu katika kazi ndio walipoua timu.

Unampaje kilaza kama Ed Woodward akuendeshee klabu kubwa ya soka kama Manchester United?

Ndani ya miaka 10 ya Ed kama mtendaji mkuu wa timu thamani ya United imeshuka sana hatujashinda taji hata moja la EPL.

Sheikh Mansour anamchukua Ferran Sorriano kutoka Barcelona ya moto aje amuendeshee timu ndani ya miaka 10 chini yake Manchester City tayari wamebeba EPL 5 jumlisha na mataji mengine 10 chini yake yaani chini Ferran Sorriano City wamebeba makombe 15.

Ferran Sorriano alianza kazi na Ed Woodward kwa wakati mmoja walipishana miezi michache tu ila ndani ya miaka 10 tokea 2012 tayari Ferran Sorriano amebeba EPL 5, Ed Woodward mpaka anaondoka ofisini hajabeba hata moja.
Timu inaweza uzwa very ndani ya miezi 12 mpaka 24.

Hizi figisu zitapamba moto soon.
 
Timu inaweza uzwa very ndani ya miezi 12 mpaka 24.

Hizi figisu zitapamba moto soon.
Sina imani kama inaweza kutokea. Hawa familia ya Glazer wanajua sana kucheza na akili mashabiki.

Kama leo tukifungwa na L'pool kesho au keshokutwa wanaidhinisha malipo ya Pound 100M kwenda kwa Ajax na PSV kutuliza upepo.

Matatizo ya United sio pesa ila tunakosa watu sahihi wa kuendesha timu. Tunalipa mishahara mizuri na hata kila timu tukitaka kusajili wanafurahia kufanya biashara na sisi.
 
Kiwango cha wachezaji huathiriwa na majeraha zaidi ila sbb za kufungiwa mara nyingi huwa ni saikolojia tu.

Pia ukiangalia vizuri utagundua ni kama bado yupo ktk mipango ya timu ya muda mrefu ule upande wa kulia sioni nguvu iliyojaribiwa kuwekezwa.
Anthony akija si atacheza huko kulia??..
 
Back
Top Bottom