Binafsi usajiri wa casimiro na man u ya sasa. Naona ni usajiri mzuri kwa kiasi chake
Kama mtakua na kumbukumbu niliwai kusema humu ndani, mnahitaji kiungo mkabaji
Coz hakuna beki duniani akipelekewa moto mara nne mfululizo asipoteane.
Kama casimiro akipiga 6
Eriksen 8
Bruno 10
Kiungo kikiwa sold hayo mengine yatakaa sawa tu
Timu itakua na uhai apo kati kati na beki, hawatakua na pressure sana
Na points zitaokotwa za kutosha tu
De jong asingeweza kutibu tatizo la man u,
Ila de jong akitua Chelsea utakua usajiri mzuri coz pale wanae mtu anaeitwa Ngolo kante
De jong akitua arsenal itakua fresh coz tunae partey
Swali la kujiuluza,
kwanini 10 hang alikua anamng'ang'ania dejong wataki shida kubwa ni kiungo mkabaji?
Hapo ndipo ninapoona tatizo la huyu kocha wetu bwana 10 hang
City kuna fernandinho, rodri
Chelsea yupo Ngolo
Spurs bisuma
Arsenal partey
Je, man u. Yupo nani?