verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 3,127
- 6,179
Mbona pako kimya sana humu
Nakuelewa kakaJe, tunauza?
Au unasajili halafu wanakaa benchi?
Hawawezi kuwa contaminated na virus wengine?
Binafsi sina optimism kabisa ya aina ya kikosi tulichonacho.
Kuna wachezaji wangeondoka hili dirisha ningekuwa na amani kabisa. Ila as long as bado wapo, naona ni season ya failure.
Sport politics lazima kuwepo na njia ya kutokea. Kwa vile hakuna mtu anayewaamini waandishi wa habari hata kama waliyoandika ni kweli, mhusika akikana anasikilizwa yeye zaidi ya vyombo vya habari hasa repota wa sports wamekuwa wazushi mno kama wale repota wa siasaHuyo mchezaji ni Ronaldo, kuna post ya Instagram ali-comment na kusema mambo yote vyombo vya habari wanayoandika kuhusu yeye ni uongo na baada ya wiki kadhaa ataweka ukweli wote hadharani katika interview na anadai ana notebook yake kabisa. Pia alisema kwa mwezi uliopita katika habari 100 walizoandika kuhusu yeye ni habari 5 tu ndiyo zina ukweli.
Kaka umelewa?Chelsea waachane na Auba wamsajili Ivan Tonney
Maoni yangu
Auba ni mfungaji mzuri lakini kama Ivan Tonney atakuwepo katikati, basi Tonney atakuwa na vitu vingi vya kuleta darajani zaidi ya Auba




Huyo jamaa anajua Sana , ana link up nzuri, ana press, anajua kwenda hewani,Chelsea waachane na Auba wamsajili Ivan Tonney
Maoni yangu
Auba ni mfungaji mzuri lakini kama Ivan Tonney atakuwepo katikati, basi Tonney atakuwa na vitu vingi vya kuleta darajani zaidi ya Auba
Nakukumbusha tu mechi 3 za mwanzo za Arsenal msimu uliosha.Arsenal ana point 9 while Manchester United ana point 0
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Linganisha na game za mwanzo za Man U uone utofauti hapo.Nakukumbusha tu mechi 3 za mwanzo za Arsenal msimu uliosha.
Punguzeni kelele jamani ligi ni ndefu hii tutakimbiana humu. View attachment 2330067
Kwahiyo ulitaka tuanze kwa kufungwa kama msimu ulipita kama unavyofungwa wewe?Nakukumbusha tu mechi 3 za mwanzo za Arsenal msimu uliosha.
Punguzeni kelele jamani ligi ni ndefu hii tutakimbiana humu. View attachment 2330067
Ni sawa mkuu ila Sio DM, Kante anacheza Vizuri ukimuachia akakabe, ni Kama Man U Fred sio DM japo anakaba sana, wachezaji hawa mkuu wapo wengi sana Gatuso, Marchisio na wengine wengi sababu wanakaba sana mashabiki wanadhani ni DM.Chief-Mkwawa
Nilikua nakuambia kuhusu Ngolo kante pale Chelsea
Ukadai kuwa defensive ni Johinho
Unawaona Leeds wanavyopita mido ya Chelsea? Kama hakuna mtu hivi
Kwanza Chelsea wenyewe wanamkataa huyo jogingo
Hivi Ngolo kante angekuwepo mido, just imagine
EPL unahitaji kuwa na kiungo ngumu, tofauti na hapo utalia tu