ruralofficer
JF-Expert Member
- Apr 4, 2014
- 2,499
- 3,635
Wamepeleka 94MMbona Wakubwa wanachelewa kupeleka next bid kwa Ajax kwaajili ya Antony?!
Wamepeleka 94MMbona Wakubwa wanachelewa kupeleka next bid kwa Ajax kwaajili ya Antony?!
Asante kwa ufafanuzi chiefIt was ETH tactic and among reason United won the game against Liverpool,United ilipoteza against Brentford sababu tulicheza build up from the back na Brentford walikuwa wazuri kufanya pressing so walivyo-press tulifanya makosa wakatufunga magoli ya haraka.One of the strength ya mfumo Klopp ni high pressing ya 3 forward (Mane/Diaz,Firmino & Salah) so ku-neutralize their strentgh DDG aliambiwa awe anapiga long ball kuwa-bypass Liverpool foward upande wa TAA ambaye ni weak link kwenye defence ya Liverpool.Hii tactics aliitumia Mourinho tukawafungwa Liverpool 2-1 magoli alifunga Rashford,DDG alikuwa anapiga long ball kwa Lukaku ,Rashford anawin second ball na kuwafunga
Bado ila ndiyo offer inayoripotiwa watapeleka, ni pesa nyingi sana £80M inabidi United waweke add-ons hata £15M itakuwa fair price.Wamepeleka 94M
Kwa mshahara wake, unapata makipa wazuri wawili na chenji inabaki.De Gea abaki, kama atakubali awe namba 2 na kipa anayekuja msimu huu akubali msimu ujao awe namba 3. Henderson akifanya vizuri awe namba 1 au auzwe kocha anunue kipa atakayemhitaji.
Ok but oflate,100M inaelekeakuwa ni price ya kawaida tena kwa potential players,Nahisi tukizubaa next season gharama itaongezeka zaidi.Bado ila ndiyo offer inayoripotiwa watapeleka, ni pesa nyingi sana £80M inabidi United waweke add-ons hata £15M itakuwa fair price.
United wakipeleka offer mpya imeisha hiyo.
100M inaanza kuwa pesa ya kawaida sana ila kuna timu ndiyo zinachangia kuharibu soko, Benfica na DortmundOk but oflate,100M inaelekeakuwa ni price ya kawaida tena kwa potential players,Nahisi tukizubaa next season gharama itaongezeka zaidi.
Anthony siyo mchezaji wa 100M ndiyo maana vipengele vya add-ons vinatumika.Shida sasa ya United ni kuachia wachezaji ambao wapo kwenye timu kwa muda mrefu.Kwa mshahara wake, unapata makipa wazuri wawili na chenji inabaki.
Yupo binded na mkataba ila kiukweli wakala wake anamtafutia timu na yupo tayari kupunguza mshahara 30%. Timu nyingi hazipo tayari kuwekeza kwake kwa miaka 2.sasa anafuata fuata timu yetu ya nini?, si alisema anataka kuondoka, si aache kwenda mazoezi kama alivyofanya wakati wa preseason.
au kuna kitu sielewi?





na bado watu wanashabikia hii maguire fcNyumbu bana wanashinda mechi 1 wanafungwa mechi 6na bado watu wanashabikia hii maguire fc




ndani ya dakika 5 umeingia kwenye majukwaa yote matano ya Man Utd, Arsenyeto, Liverpunga, Chelyatima na Manshit na wote umewakandia kudadadeki.
Casemiro ataliweza dimba peke ake bila 8 ya kazi?Jumamosi hii Casemiro ndani.
Jumamosi ijayo Anthony ndani.
De Gea
Dalot Vanare Martinez Malacia
Casemiro
Bruno Eriksen
Anthony Martial Sancho
Team inaanza kuonekana....tunauhitaji wa RB na middle moja damu changa ya kumchallenge Ericksen na CF ya uhakikaJumamosi hii Casemiro ndani.
Jumamosi ijayo Anthony ndani.
De Gea
Dalot Vanare Martinez Malacia
Casemiro
Bruno Eriksen
Anthony Martial Sancho
Rizika na ulichonacho kwanza.Team inaanza kuonekana....tunauhitaji wa RB na middle moja damu changa ya kumchallenge Ericksen na CF ya uhakika