Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,631
- 11,106
Shida sasa ya United ni kuachia wachezaji ambao wapo kwenye timu kwa muda mrefu.Kwa mshahara wake, unapata makipa wazuri wawili na chenji inabaki.
Kwa De Gea namuona akibaki kwa miaka mingine watakachofanya ni kupunguza mshahara tu.


