Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Jamani huyu dogo huko Ajax unaambiwa kagoma hata kula hahaha anataka kuja.
0_Antonyagent.jpg
 
Hakuna mpira wowote mliocheza leo bali mlikamia mechi kilichowasaidia wachezaji wenu walijitoa mhanga coz ni big match ila hali yenu ya vipigo itarudi palepale

Hamna cha kujisifu mmecheza na Liverpool ambayo haijakamilika kuanzia beki kiungo mpaka mshambuliaji mmetumia energy kubwa sana sidhani kama mtaionesha mkicheza na midtable timu
Tungefungwa sasa ungeongea mengine. Peleka upuuzi wako huko.
 
Matatizo nimeona ni midfield kisheti, tukitulia kwenye middle bas.

Lkn pia magiure amefeli. Tena kapten noway, ukiangalia mech alizocheza ameboringa vby mno. Ajabu makocha wanamuweka wanamuacha Bailly?? Kweli??
Hapo kwa Magwaya nakazia.
Jamaa ni tatizo nae pia, chaajabu wanatolewa kafara Bailey na Lindelof.
 
United walikua tayari kumfanya Adrien Rabiot moja ya wachezaji wanaolipwa pesa nyingi kwenye daraja moja la kina Bruno Fernandes na Christian Eriksen lakini mama yake Véronique iinasemekana alihitaji mshahara mkubwa zaidi. [ @David_Ornstein ] #MUFC

Naona hawa wajinga wameona united ni pakupigia pesa kwa kiwango gani kwanza.
Labda wanatuona gari la mshaara.
 
hio Uefa yenyewe hawanusi msimu ujao.
Kama wewe ni mgeni wa AsaniWali unaweza ukashtuka kwelikweli kwa matokeo ya mechi zao 5 au 6 za mwanzo, ila nakuhakikishia baada ya game hizo wataanza kushikana uchawi wao kwa wao kwenye lile jukwaa lao la matusi.
Arsenal inayoanza ligi kwa mbwembwe za ushindi hua haitoboi kwenye top4.
Naunga mkono hoja.
Arsenal ni kama baiskeli ya barafu juani, ikikupita iache tu, utaikuta mbele ime yeyuka.
 
Back
Top Bottom