The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Sio kwa mpira ule mzee







Naona umeamua kuweka ushabiki pembeni. Ndo inavyotakiwa bhana maana mpira ni mchezo wa kiunguanaMmeupigaa mwingi 🔥
Odegaard anakichafua hatari..Yaani, Gernacho pellistri, Garner, iqbal awajaribu
Ona arsenal odegaard baada ya kuaminiwa anachofanya
Sema tusiende kichwa kichwa...Ajax wanataka €100m..kitu ambacho naona sio..tuende nao taratibu ili dogo aje kwa dau ya chini ya hapo ili pia tumwondolee pressure.Jamani huyu dogo huko Ajax unaambiwa kagoma hata kula hahaha anataka kuja.
View attachment 2332143
Huyu dogo value yake itaongezeka zaid bora tumchukue mapemaSema tusiende kichwa kichwa...Ajax wanataka €100m..kitu ambacho naona sio..tuende nao taratibu ili dogo aje kwa dau ya chini ya hapo ili pia tumwondolee pressure.
Hao kina shaw ndio tatizoWe ferdinand we waache tuone watachofanya...View attachment 2331618
Tungefungwa sasa ungeongea mengine.Hakuna mpira wowote mliocheza leo bali mlikamia mechi kilichowasaidia wachezaji wenu walijitoa mhanga coz ni big match ila hali yenu ya vipigo itarudi palepale![]()
Hamna cha kujisifu mmecheza na Liverpool ambayo haijakamilika kuanzia beki kiungo mpaka mshambuliaji mmetumia energy kubwa sana sidhani kama mtaionesha mkicheza na midtable timu


Peleka upuuzi wako huko.Watashinda wanacheza na Soton ,wapo ovyo Sana, Wana kipa pazia
Hapo kwa Magwaya nakazia.Matatizo nimeona ni midfield kisheti, tukitulia kwenye middle bas.
Lkn pia magiure amefeli. Tena kapten noway, ukiangalia mech alizocheza ameboringa vby mno. Ajabu makocha wanamuweka wanamuacha Bailly?? Kweli??
Labda wanatuona gari la mshaara.United walikua tayari kumfanya Adrien Rabiot moja ya wachezaji wanaolipwa pesa nyingi kwenye daraja moja la kina Bruno Fernandes na Christian Eriksen lakini mama yake Véronique iinasemekana alihitaji mshahara mkubwa zaidi. [ @David_Ornstein ] #MUFC
Naona hawa wajinga wameona united ni pakupigia pesa kwa kiwango gani kwanza.
Naunga mkono hoja.hio Uefa yenyewe hawanusi msimu ujao.
Kama wewe ni mgeni wa AsaniWali unaweza ukashtuka kwelikweli kwa matokeo ya mechi zao 5 au 6 za mwanzo, ila nakuhakikishia baada ya game hizo wataanza kushikana uchawi wao kwa wao kwenye lile jukwaa lao la matusi.
Arsenal inayoanza ligi kwa mbwembwe za ushindi hua haitoboi kwenye top4.
Nlomwaa.Manchester United are interested in signing Karim Mandonga from Boxing United, as they're finding it difficult to sign Frenkie De Jong.
(Source: @marca)![]()
Huyo jamaa anaweza kumsema mwizi mpaka akafa, sio poa.Mkuu tupumzishe basi mwanangu.
Unatuandama kinoma mwanangu. Tuonee huruma ndugu yangu
Dua za kuku hizo, mechi na liverfool ndio kwanza gari lilikua linapiga starter, mechi inayofata tunatia gia namba 1 hapo ni mwendo wa kuongeza gia tu kila mechi mpaka Christmas.
Hao kenge ni sawa tu, kuchezea mkeka.Ndio tunapokosea,siasa nyingi... tupo kwenye mwanzo mgumu,tunatakiwa tuwe kitu kimoja,haya mambo yanafanya tuzidi kupoteana.