Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nyie kenge mmeshaanza kuwa na maneno maneno humu

Wkend sio mbali
 
Yes ila aache kujiangusha angusha kijinga jinga,na kupoteza muda bila sababu.

Mfano ile ya kung'ang'aniana mpira baada ya goli ya salah ni uf*****ing.
Alichofanya Bruno baada ya goli la Salah ndiyo captain anapaswa kuwa na tabia kama zile. Liverpool baada ya goli la kusawazisha walishaanza ku-gain momentum na ambacho kilikuwa kinatokea ni ku-press zaidi kwasababu goli lingine linawahakikishia alama.

Ile ni North-West Derby ni vizuri kuwa na captain anayejua umuhimu wa kushinda ile mechi pamoja na yote alama 3 kwetu zilikuwa za muhimu sana. Kuuchukua mpira ni mbinu ya kuwa-upset wachezaji wa Liverpool. Sisi ndiyo tulikuwa tunaanzisha mpira na Bruno alikuwa na haki ya kuchukua mpira.

Kama uliona pia Martial kwenye mpira wa kona dk za mwishoni alimuelekeza ball-boy atulie kwanza asimpe mpira yote ni katika mbinu ya kupunguza kasi ya mchezo na dk ziende.

Kwa wapenzi wa soka wengi tunapenda shithousery!
 
Bodi ilikataa Phil Jones kuuzwa. Na juzi ilikataa ofa ya Chelsea ya kumchukua Maguire.

Kuna maamuzi kocha anaamuliwa na bodi.
Sunk cost fallacy. Wanaamini wamewekeza fedha nyingi hawako tayari kukubali kula hasara.

Ralf aliwahi kusema kila wakiwa training anaona kundi kubwa sana la wachezaji ila ukifika muda wa kupanga timu ya kucheza haoni watu wa kuamini uwanjani.
 
Hawa ni wachezaji wanaomaliza mikataba yao mwakani. Awamu ya pili ya kujenga timu mwakani ni kuondoa hawa wote bila kugeuka nyuma.

David Degea, Tom Heaton, Diogo Dalot, Luke Shaw, Phil Jones, Fred, Cristiano Ronaldo, Tahit Chong, Axel Tuanzebe na Marcus Rashford.
De Gea abaki, kama atakubali awe namba 2 na kipa anayekuja msimu huu akubali msimu ujao awe namba 3. Henderson akifanya vizuri awe namba 1 au auzwe kocha anunue kipa atakayemhitaji.
 
Hawa ni wachezaji wanaomaliza mikataba yao mwakani. Awamu ya pili ya kujenga timu mwakani ni kuondoa hawa wote bila kugeuka nyuma.

David Degea, Tom Heaton, Diogo Dalot, Luke Shaw, Phil Jones, Fred, Cristiano Ronaldo, Tahit Chong, Axel Tuanzebe na Marcus Rashford.
Ronaldo awe offloaded sasa
 
De Gea abaki, kama atakubali awe namba 2 na kipa anayekuja msimu huu akubali msimu ujao awe namba 3. Henderson akifanya vizuri awe namba 1 au auzwe kocha anunue kipa atakayemhitaji.
Mshahara wa David ni $350k/weekly nina uhakika kama wale vilaza juu kule wataleta proposal mpya kwake itakuwa ni $250/weekly kwa miaka 4.

Huo mshahara kwa golikipa ni mkubwa sana na haina tija kuchoma pesa kizembe hivi ni kheri aje Kevin Trapp au Yann Sommer mmoja wapo kama golika #1 kwa miaka 2.

Golikipa #2 yeyote yule mwenye uzoefu na premier league ila Dean Henderson auzwe Pound 20 ~ 25M. Positioning yake iko hovyo sana. He's just overhyped British kid.
 
Degea lazima atakuwa replaced, naona kashindwa kuacha tabia ya kubutua butua mipira.
It was ETH tactic and among reason United won the game against Liverpool,United ilipoteza against Brentford sababu tulicheza build up from the back na Brentford walikuwa wazuri kufanya pressing so walivyo-press tulifanya makosa wakatufunga magoli ya haraka.One of the strength ya mfumo Klopp ni high pressing ya 3 forward (Mane/Diaz,Firmino & Salah) so ku-neutralize their strentgh DDG aliambiwa awe anapiga long ball kuwa-bypass Liverpool foward upande wa TAA ambaye ni weak link kwenye defence ya Liverpool.Hii tactics aliitumia Mourinho tukawafungwa Liverpool 2-1 magoli alifunga Rashford,DDG alikuwa anapiga long ball kwa Lukaku ,Rashford anawin second ball na kuwafunga
 

Attachments

  • ma2kfHd7VDV64NeP.mp4
    2.2 MB
Kesho kuna uwezekano wa sisi na Ajax kufikia makubaliano ya ada ya Pound 80M (euro 94M) ila hapa panazidi ku-prove kama kweli tutapata mmiliki mpya aanze kubadilisha CEO kabla hajafanya chochote. Transfer strategy yetu imekuwa mbovu sana muda mwingi tunaingia sokoni muda mbovu ambao kila mtu anajua we're desperate.
 
It was ETH tactic and among reason United won the game against Liverpool,United ilipoteza against Brentford sababu tulicheza build up from the back na Brentford walikuwa wazuri kufanya pressing so walivyo-press tulifanya makosa wakatufunga magoli ya haraka.One of the strength ya mfumo Klopp ni high pressing ya 3 forward (Mane/Diaz,Firmino & Salah) so ku-neutralize their strentgh DDG aliambiwa awe anapiga long ball kuwa-bypass Liverpool foward upande wa TAA ambaye ni weak link kwenye defence ya Liverpool.Hii tactics aliitumia Mourinho tukawafungwa Liverpool 2-1 magoli alifunga Rashford,DDG alikuwa anapiga long ball kwa Lukaku ,Rashford anawin second ball na kuwafunga
Good. Noted.
 
Huyu karuhusiwa kuondoka toka kitambo sana ila hakuna timu iliyotayari kuwekeza kwake. Unaamini kweli sisi tunamzuia?
sasa anafuata fuata timu yetu ya nini?, si alisema anataka kuondoka, si aache kwenda mazoezi kama alivyofanya wakati wa preseason.

au kuna kitu sielewi?
 
Back
Top Bottom