Nina uhakika msimu ujao lazima tutakuwa na nahodha mpyaApewe hata sasa.
Nina uhakika msimu ujao lazima tutakuwa na nahodha mpyaApewe hata sasa.
De Gea abaki, kama atakubali awe namba 2 na kipa anayekuja msimu huu akubali msimu ujao awe namba 3. Henderson akifanya vizuri awe namba 1 au auzwe kocha anunue kipa atakayemhitaji.Hawa ni wachezaji wanaomaliza mikataba yao mwakani. Awamu ya pili ya kujenga timu mwakani ni kuondoa hawa wote bila kugeuka nyuma.
David Degea, Tom Heaton, Diogo Dalot, Luke Shaw, Phil Jones, Fred, Cristiano Ronaldo, Tahit Chong, Axel Tuanzebe na Marcus Rashford.
Nimeona mahali nikajiuliza ni kweli au story tuu za wadauMaximin to Utd!
Degea lazima atakuwa replaced, naona kashindwa kuacha tabia ya kubutua butua mipira.De Gea abaki, kama atakubali awe namba 2 na kipa anayekuja msimu huu akubali msimu ujao awe namba 3. Henderson akifanya vizuri awe namba 1 au auzwe kocha anunue kipa atakayemhitaji.
Ronaldo awe offloaded sasaHawa ni wachezaji wanaomaliza mikataba yao mwakani. Awamu ya pili ya kujenga timu mwakani ni kuondoa hawa wote bila kugeuka nyuma.
David Degea, Tom Heaton, Diogo Dalot, Luke Shaw, Phil Jones, Fred, Cristiano Ronaldo, Tahit Chong, Axel Tuanzebe na Marcus Rashford.
Mshahara wa David ni $350k/weekly nina uhakika kama wale vilaza juu kule wataleta proposal mpya kwake itakuwa ni $250/weekly kwa miaka 4.De Gea abaki, kama atakubali awe namba 2 na kipa anayekuja msimu huu akubali msimu ujao awe namba 3. Henderson akifanya vizuri awe namba 1 au auzwe kocha anunue kipa atakayemhitaji.
Huyu karuhusiwa kuondoka toka kitambo sana ila hakuna timu iliyotayari kuwekeza kwake. Unaamini kweli sisi tunamzuia?Ronaldo awe offloaded sasa
It was ETH tactic and among reason United won the game against Liverpool,United ilipoteza against Brentford sababu tulicheza build up from the back na Brentford walikuwa wazuri kufanya pressing so walivyo-press tulifanya makosa wakatufunga magoli ya haraka.One of the strength ya mfumo Klopp ni high pressing ya 3 forward (Mane/Diaz,Firmino & Salah) so ku-neutralize their strentgh DDG aliambiwa awe anapiga long ball kuwa-bypass Liverpool foward upande wa TAA ambaye ni weak link kwenye defence ya Liverpool.Hii tactics aliitumia Mourinho tukawafungwa Liverpool 2-1 magoli alifunga Rashford,DDG alikuwa anapiga long ball kwa Lukaku ,Rashford anawin second ball na kuwafungaDegea lazima atakuwa replaced, naona kashindwa kuacha tabia ya kubutua butua mipira.
source?Maximin to Utd!
Good. Noted.It was ETH tactic and among reason United won the game against Liverpool,United ilipoteza against Brentford sababu tulicheza build up from the back na Brentford walikuwa wazuri kufanya pressing so walivyo-press tulifanya makosa wakatufunga magoli ya haraka.One of the strength ya mfumo Klopp ni high pressing ya 3 forward (Mane/Diaz,Firmino & Salah) so ku-neutralize their strentgh DDG aliambiwa awe anapiga long ball kuwa-bypass Liverpool foward upande wa TAA ambaye ni weak link kwenye defence ya Liverpool.Hii tactics aliitumia Mourinho tukawafungwa Liverpool 2-1 magoli alifunga Rashford,DDG alikuwa anapiga long ball kwa Lukaku ,Rashford anawin second ball na kuwafunga
sasa anafuata fuata timu yetu ya nini?, si alisema anataka kuondoka, si aache kwenda mazoezi kama alivyofanya wakati wa preseason.Huyu karuhusiwa kuondoka toka kitambo sana ila hakuna timu iliyotayari kuwekeza kwake. Unaamini kweli sisi tunamzuia?
Wamepeleka 94MMbona Wakubwa wanachelewa kupeleka next bid kwa Ajax kwaajili ya Antony?!
Asante kwa ufafanuzi chiefIt was ETH tactic and among reason United won the game against Liverpool,United ilipoteza against Brentford sababu tulicheza build up from the back na Brentford walikuwa wazuri kufanya pressing so walivyo-press tulifanya makosa wakatufunga magoli ya haraka.One of the strength ya mfumo Klopp ni high pressing ya 3 forward (Mane/Diaz,Firmino & Salah) so ku-neutralize their strentgh DDG aliambiwa awe anapiga long ball kuwa-bypass Liverpool foward upande wa TAA ambaye ni weak link kwenye defence ya Liverpool.Hii tactics aliitumia Mourinho tukawafungwa Liverpool 2-1 magoli alifunga Rashford,DDG alikuwa anapiga long ball kwa Lukaku ,Rashford anawin second ball na kuwafunga
Bado ila ndiyo offer inayoripotiwa watapeleka, ni pesa nyingi sana £80M inabidi United waweke add-ons hata £15M itakuwa fair price.Wamepeleka 94M
Kwa mshahara wake, unapata makipa wazuri wawili na chenji inabaki.De Gea abaki, kama atakubali awe namba 2 na kipa anayekuja msimu huu akubali msimu ujao awe namba 3. Henderson akifanya vizuri awe namba 1 au auzwe kocha anunue kipa atakayemhitaji.
Ok but oflate,100M inaelekeakuwa ni price ya kawaida tena kwa potential players,Nahisi tukizubaa next season gharama itaongezeka zaidi.Bado ila ndiyo offer inayoripotiwa watapeleka, ni pesa nyingi sana £80M inabidi United waweke add-ons hata £15M itakuwa fair price.
United wakipeleka offer mpya imeisha hiyo.
100M inaanza kuwa pesa ya kawaida sana ila kuna timu ndiyo zinachangia kuharibu soko, Benfica na DortmundOk but oflate,100M inaelekeakuwa ni price ya kawaida tena kwa potential players,Nahisi tukizubaa next season gharama itaongezeka zaidi.
Anthony siyo mchezaji wa 100M ndiyo maana vipengele vya add-ons vinatumika.