Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

The Butcher
FA200D8A-D761-4815-BF2D-7807B506C343.jpeg
 
Asee hivi ndivyo tunataka

Mmeona sasa Malacia ni mtu zaidi ya shaw, Martinez nae anafanya shughuli ndio tunasema Ten Haag jivike mabomu tumia watu wako achana na waliofukuzisha makocha.

Ronaldo hizo ndizo dakika zake za kuingia kuwascare wapinzani


Leo nimekubali kocha kaja na mbinu. Aendelee hivyo hivyo ukiboroga benchi mpaka akili ikae sawia.

Ushindi safi.
Alikuwa anazingua Sana kuwatumia wachezaji walioflop akiamini yeye atawarudisha kwenye form

Hawa akina maguire, Ronaldo, shaw, macfred, rashford na Bruno ni kuwapiga bench then ingiza wachezaji wako mwenyewe then wakishakaa bench wataanza kurudi mmoja mmoja baada ya kujifunza. Create your own TEAM.

Hata yule donny nashangaa kwanini hamtumii wakati ni mchezaji anayemjua vizuri kabisa
 
Back
Top Bottom