christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 3,150
- 5,065
Ikiwa Ten hag atatumia wachezaji aliwasajili yeye mwenyewe atapata matokeo au akiwachanganya na wenye uwezo matokeo atapata ila sio kuwachanganya mabeki wazuri kama Malacia na Martinez na kina Maguire na Lindelof.

