Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Naunga mkono hoja.
Arsenal ni kama baiskeli ya barafu juani, ikikupita iache tu, utaikuta mbele ime yeyuka.
Labda Kama mnaongea kishabiki hamfatilii epl ,ndio maana mnampa had ubingwa spursy kwa ule Mpira makande,

Ndio nyie mnaiona chelsea ya Rahim na kai kubeba epl

Arsenal toka msimu uliopita tulishaanza kuweka standard kwa hizi middle teams hatutaki zituzoee, ndio maana Kuna Kauli mlikuwa mnasema Arsenal anazifunga timu ndogo tu, msimu huu tume raise standard , Hawa kina palace ,Fulham, soton, Aston Villa ,n.k tunataka waache point ,halafu tutaona nini kitatokea,

Kingine Depth ya squad tunaiongeza ,

kwahiyo msiishi kwa kukariri ,
 
Arsenal inayoanza ligi kwa mbwembwe za ushindi hua haitoboi kwenye top4.
Arsenal have won their opening three games of a Premier League season for only the third time - 2003-04, 2004-05 and 2022-23.
 
Labda Kama mnaongea kishabiki hamfatilii epl ,ndio maana mnampa had ubingwa spursy kwa ule Mpira makande,

Ndio nyie mnaiona chelsea ya Rahim na kai kubeba epl

Arsenal toka msimu uliopita tulishaanza kuweka standard kwa hizi middle teams hatutaki zituzoee, ndio maana Kuna Kauli mlikuwa mnasema Arsenal anazifunga timu ndogo tu, msimu huu tume raise standard , Hawa kina palace ,Fulham, soton, Aston Villa ,n.k tunataka waache point ,halafu tutaona nini kitatokea,

Kingine Depth ya squad tunaiongeza ,

kwahiyo msiishi kwa kukariri ,
Spurs inapewa hiyo chance sababu,ya uwepo wa Conte.

Kama umezaliwa jana huwezi kujua Conte ni nani!
 
Spurs inapewa hiyo chance sababu,ya uwepo wa Conte.

Kama umezaliwa jana huwezi kujua Conte ni nani!
Conte alifanikiwa msimu mmoja pale Chelsea kwa kuja na 3-4-3 mfumo ambao EPL ulikuwa hautumiki, msimu wa pili alikimbia epl ,huku kuna game akipigwa had 6-0

Hadi Eddie howe kocha wa Newcastle kwasasa alisema Conte aliwaspraiz msimu wakwanza ,baada ya hapo wakamjulia ,

Conte anategemea miujiza ya Kane na son (individual brilliance) kaangalie mech hata na wolves

Chelsea hii mbovu ilipelekeshwa na Everton ,na kupigiwa mpira mkubwa na Leeds , Cha ajabu Chelsea vs spurs ,Chelsea alikuwa prime Barca

Kwasababu epl mnaiangalia kimazoea Sana, ila fatilia kila mechi utaamini ninachosema

Iwapo kane ashuke kiwango kidogo tu, utamkuta Spurs nafasi ya 10.
 
Spurs inapewa hiyo chance sababu,ya uwepo wa Conte.

Kama umezaliwa jana huwezi kujua Conte ni nani!
Kama unaifatilia vzr epl ,kila timu vikosi vyao, usajiri wao, utaelewa naongea nn, Chelsea hii bila kupata proprer CF, mtamfukuza tuchel kabla ya mech ya 20.

Conte kwa ule mpira hafiki popote,

Kabla Ligi haijaanza nilikwambia sajirini kwa fujo bila a proper CF, utakuwa Ni sare,au kipigo au ushind wa 1-0 , au kusubiri penalty za Gorginho, Rahim anahitaji chance 10 apate goli 1.

Liverpool aaiposajiri hata kiungo mmoja kwa siku 9 zilizobaki, kazi wanayo ,

Epl msiiangalie kwa mazoea ,angalia current timu zipo vipi
 
Conte alifanikiwa msimu mmoja pale Chelsea kwa kuja na 3-4-3 mfumo ambao EPL ulikuwa hautumiki, msimu wa pili alikimbia epl ,huku kuna game akipigwa had 6-0

Hadi Eddie howe kocha wa Newcastle kwasasa alisema Conte aliwaspraiz msimu wakwanza ,baada ya hapo wakamjulia ,

Conte anategemea miujiza ya Kane na son (individual brilliance) kaangalie mech hata na wolves

Chelsea hii mbovu ilipelekeshwa na Everton ,na kupigiwa mpira mkubwa na Leeds , Cha ajabu Chelsea vs spurs ,Chelsea alikuwa prime Barca

Kwasababu epl mnaiangalia kimazoea Sana, ila fatilia kila mechi utaamini ninachosema

Iwapo kane ashuke kiwango kidogo tu, utamkuta Spurs nafasi ya 10.
Una kicha hakuna timu isiyotegemea wachezaji kadhaa.


Manchester msimu ulioisha hakuna mechi tulishinda Ronaldo akiwa Hayupo uwanjani na hapo unasemaje
 
Back
Top Bottom