Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

There have been days where Ronaldo eats lunch alone in the canteen at Carrington, while he has been seen flapping his arms about in training and attempting to argue against the high-pressing approach favoured by Erik ten Hag.
[@TheAthleticUK]
 
It is unclear if Nottingham Forest will revisit a deal for James Garner. Everton, Southampton and Leeds have all shown interest in him while Tottenham Hotspur have also watched him.

A departure will only take place if it makes sense for the player and #mufc.
[@lauriewhitwell]
 
David de Gea ranked 13th in the Premier League for entries into final 40% of the pitch in 2021-22, with only 28.7% of his goalkicks entering the final 40%.

He attempted the most goalkicks of anyone (299) but only managed to register 13 direct entries, 6th worst in the league.
 
talkSPORT sources] 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Disgruntled #MUFC players including Cristiano Ronaldo & Bruno Fernandes have appealed to the board to back Erik ten Hag in the transfer market. -

talkSPORT sources understand
 
Glazers ni moja ya matatizo ya United. Pesa yote unayoona inanunua wachezaji ni pesa inayotokana na mapato ya timu. On top of that Glazers waliinunua United baada ya kuchukua mkopo na deni lake wakalihamishia kwenye timu. Bado wakaona haitoshi wakaiweka Manchester United kwenye soko la hisa la NYSE, miezi michache nyuma walichukua gawio lao wakaweka mfukoni.

Budget inayowekwa kusajili wachezaji ni pesa timu inayotengeneza na siyo uwekezaji wa Glazers hata senti 5. Wao ndiyo wameweka structure za kusajili wachezaji wenye majina au ushawishi mkubwa ili timu ipate mapato zaidi bila kujali timu inafanya nini uwanjani.

Glazers ni tatizo kubwa sana kwa United walinunua timu ikiwa haina deni hata la sh 1. Sasa hivi wameibebesha mzigo wa madeni na bado wanachukua pesa kutoka kwenye timu, bado pia hawataki kununua wachezaji kwa wakati wanapohitajika pamoja na pesa yote timu inayotengeneza timu ni kwasababu mapato mengi wanachukua wao.

Wanavyoiendesha timu hao Glazers tajiri yoyote anaweza kufanya, Manchester United inajiendesha lakini inahitaji mtu mwenye mapenzi na timu, biashara ni sehemu ya football lakini wanachofanya Glazers ni kuitumia United kwa faida zao binafsi.

Maneno ya Mourinho, van Gaal na Rangnick yataishi milele.
mna safari ndefu sana
 
Imefahamika kuwa wachezaji wa Man U wako kwenye mgomo baridi wakishinikiza uongozi umruhusu Cristiano Ronaldo aondoke. Kufuatia huo ukweli sasa uongozi wa Man U pamoja na kocha Errick Ten Hag kwa pamoaj wamekubali kuukatiza mkataba wa Ronaldo ili aondoke mchezaji huru

Chelsea inaaminika kuwa watashawishika kumsajili mchezaji huyo aliyejizolea sifa nyingi kwa kuingia kwenye orodha ya wachezaji maarfu duniani kwa nyakati zote yaani GOAT.
Pamoja na kuwa kocha wa Chelsea hamtaki mshambuliaji huyo mkongwe ila wamiliki wapya wa timu wakiongozwa na Todd Boehly ambaye ndio msimamizi mkuu wa timu wanataka kumsajili Ronaldo sio tu kwa sababu za kusaidia safu ya ushambuliaji wa Chelsea ambayo kwa sasa ni butu, ila pia kwa sababu za kibiashara
 
Asiondoke Ronaldo pekee. Kuna wachezaji wanatakiwa kumfuata nyuma yake.
IMG_20220816_042445.jpg
 
Asiondoke Ronaldo pekee. Kuna wachezaji wanatakiwa kumfuata nyuma yake.View attachment 2324951
Taratibu anatafutwa wa kubeba makosa.

Ronaldo ndiyo anasababisha mabeki wawe hovyo? Ambao ni hovyo hata kabla hajaja. Ndiyo anasababisha Sancho na Rashford wasiperform?

Ni kweli siyo sawa kulazimisha mchezaji abaki lakini mashabiki wa hii timu ndiyo maana wanaitwa nyumbu. Juzi wanafungwa wanalaumu hawana DM, zinakuja hizi tetesi wanasahau DM wanaona wanafungwa kisa Ronaldo.

Balotelli alikua anacheza City huku hataki. Lakini kaangalie kama City ilikua inafanya hovyo.
 
Taratibu anatafutwa wa kubeba makosa.

Ronaldo ndiyo anasababisha mabeki wawe hovyo? Ambao ni hovyo hata kabla hajaja. Ndiyo anasababisha Sancho na Rashford wasiperform?

Ni kweli siyo sawa kulazimisha mchezaji abaki lakini mashabiki wa hii timu ndiyo maana wanaitwa nyumbu. Juzi wanafungwa wanalaumu hawana DM, zinakuja hizi tetesi wanasahau DM wanaona wanafungwa kisa Ronaldo.

Balotelli alikua anacheza City huku hataki. Lakini kaangalie kama City ilikua inafanya hovyo.
Man cute ya nini sada
 
Taratibu anatafutwa wa kubeba makosa.

Ronaldo ndiyo anasababisha mabeki wawe hovyo? Ambao ni hovyo hata kabla hajaja. Ndiyo anasababisha Sancho na Rashford wasiperform?

Ni kweli siyo sawa kulazimisha mchezaji abaki lakini mashabiki wa hii timu ndiyo maana wanaitwa nyumbu. Juzi wanafungwa wanalaumu hawana DM, zinakuja hizi tetesi wanasahau DM wanaona wanafungwa kisa Ronaldo.

Balotelli alikua anacheza City huku hataki. Lakini kaangalie kama City ilikua inafanya hovyo.
Kirusi
 
Imefahamika kuwa wachezaji wa Man U wako kwenye mgomo baridi wakishinikiza uongozi umruhusu Cristiano Ronaldo aondoke. Kufuatia huo ukweli sasa uongozi wa Man U pamoja na kocha Errick Ten Hag kwa pamoaj wamekubali kuukatiza mkataba wa Ronaldo ili aondoke mchezaji huru

Chelsea inaaminika kuwa watashawishika kumsajili mchezaji huyo aliyejizolea sifa nyingi kwa kuingia kwenye orodha ya wachezaji maarfu duniani kwa nyakati zote yaani GOAT.
Pamoja na kuwa kocha wa Chelsea hamtaki mshambuliaji huyo mkongwe ila wamiliki wapya wa timu wakiongozwa na Todd Boehly ambaye ndio msimamizi mkuu wa timu wanataka kumsajili Ronaldo sio tu kwa sababu za kusaidia safu ya ushambuliaji wa Chelsea ambayo kwa sasa ni butu, ila pia kwa sababu za kibiashara
Wachukue tu. tena na chenchi. Sis hatuna haja na hiyo biashara, tunataka tuhame huko. Upande wa biashara grazer ndiye mnufaika. Wakaumane huko.
 
Nyie vichaa mnamikakati gani kuhusu next match?

This time around ntakua upande wenu, liverkuku mumkate moto mapema
Vita yangu iwe kwa city tu
 
Back
Top Bottom