Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Glazers ni moja ya matatizo ya United. Pesa yote unayoona inanunua wachezaji ni pesa inayotokana na mapato ya timu. On top of that Glazers waliinunua United baada ya kuchukua mkopo na deni lake wakalihamishia kwenye timu. Bado wakaona haitoshi wakaiweka Manchester United kwenye soko la hisa la NYSE, miezi michache nyuma walichukua gawio lao wakaweka mfukoni.

Budget inayowekwa kusajili wachezaji ni pesa timu inayotengeneza na siyo uwekezaji wa Glazers hata senti 5. Wao ndiyo wameweka structure za kusajili wachezaji wenye majina au ushawishi mkubwa ili timu ipate mapato zaidi bila kujali timu inafanya nini uwanjani.

Glazers ni tatizo kubwa sana kwa United walinunua timu ikiwa haina deni hata la sh 1. Sasa hivi wameibebesha mzigo wa madeni na bado wanachukua pesa kutoka kwenye timu, bado pia hawataki kununua wachezaji kwa wakati wanapohitajika pamoja na pesa yote timu inayotengeneza timu ni kwasababu mapato mengi wanachukua wao.

Wanavyoiendesha timu hao Glazers tajiri yoyote anaweza kufanya, Manchester United inajiendesha lakini inahitaji mtu mwenye mapenzi na timu, biashara ni sehemu ya football lakini wanachofanya Glazers ni kuitumia United kwa faida zao binafsi.

Maneno ya Mourinho, van Gaal na Rangnick yataishi milele.
mna safari ndefu sana
 
Imefahamika kuwa wachezaji wa Man U wako kwenye mgomo baridi wakishinikiza uongozi umruhusu Cristiano Ronaldo aondoke. Kufuatia huo ukweli sasa uongozi wa Man U pamoja na kocha Errick Ten Hag kwa pamoaj wamekubali kuukatiza mkataba wa Ronaldo ili aondoke mchezaji huru

Chelsea inaaminika kuwa watashawishika kumsajili mchezaji huyo aliyejizolea sifa nyingi kwa kuingia kwenye orodha ya wachezaji maarfu duniani kwa nyakati zote yaani GOAT.
Pamoja na kuwa kocha wa Chelsea hamtaki mshambuliaji huyo mkongwe ila wamiliki wapya wa timu wakiongozwa na Todd Boehly ambaye ndio msimamizi mkuu wa timu wanataka kumsajili Ronaldo sio tu kwa sababu za kusaidia safu ya ushambuliaji wa Chelsea ambayo kwa sasa ni butu, ila pia kwa sababu za kibiashara
 
Asiondoke Ronaldo pekee. Kuna wachezaji wanatakiwa kumfuata nyuma yake.
IMG_20220816_042445.jpg
 
Asiondoke Ronaldo pekee. Kuna wachezaji wanatakiwa kumfuata nyuma yake.View attachment 2324951
Taratibu anatafutwa wa kubeba makosa.

Ronaldo ndiyo anasababisha mabeki wawe hovyo? Ambao ni hovyo hata kabla hajaja. Ndiyo anasababisha Sancho na Rashford wasiperform?

Ni kweli siyo sawa kulazimisha mchezaji abaki lakini mashabiki wa hii timu ndiyo maana wanaitwa nyumbu. Juzi wanafungwa wanalaumu hawana DM, zinakuja hizi tetesi wanasahau DM wanaona wanafungwa kisa Ronaldo.

Balotelli alikua anacheza City huku hataki. Lakini kaangalie kama City ilikua inafanya hovyo.
 
Taratibu anatafutwa wa kubeba makosa.

Ronaldo ndiyo anasababisha mabeki wawe hovyo? Ambao ni hovyo hata kabla hajaja. Ndiyo anasababisha Sancho na Rashford wasiperform?

Ni kweli siyo sawa kulazimisha mchezaji abaki lakini mashabiki wa hii timu ndiyo maana wanaitwa nyumbu. Juzi wanafungwa wanalaumu hawana DM, zinakuja hizi tetesi wanasahau DM wanaona wanafungwa kisa Ronaldo.

Balotelli alikua anacheza City huku hataki. Lakini kaangalie kama City ilikua inafanya hovyo.
Man cute ya nini sada
 
Taratibu anatafutwa wa kubeba makosa.

Ronaldo ndiyo anasababisha mabeki wawe hovyo? Ambao ni hovyo hata kabla hajaja. Ndiyo anasababisha Sancho na Rashford wasiperform?

Ni kweli siyo sawa kulazimisha mchezaji abaki lakini mashabiki wa hii timu ndiyo maana wanaitwa nyumbu. Juzi wanafungwa wanalaumu hawana DM, zinakuja hizi tetesi wanasahau DM wanaona wanafungwa kisa Ronaldo.

Balotelli alikua anacheza City huku hataki. Lakini kaangalie kama City ilikua inafanya hovyo.
Kirusi
 
Imefahamika kuwa wachezaji wa Man U wako kwenye mgomo baridi wakishinikiza uongozi umruhusu Cristiano Ronaldo aondoke. Kufuatia huo ukweli sasa uongozi wa Man U pamoja na kocha Errick Ten Hag kwa pamoaj wamekubali kuukatiza mkataba wa Ronaldo ili aondoke mchezaji huru

Chelsea inaaminika kuwa watashawishika kumsajili mchezaji huyo aliyejizolea sifa nyingi kwa kuingia kwenye orodha ya wachezaji maarfu duniani kwa nyakati zote yaani GOAT.
Pamoja na kuwa kocha wa Chelsea hamtaki mshambuliaji huyo mkongwe ila wamiliki wapya wa timu wakiongozwa na Todd Boehly ambaye ndio msimamizi mkuu wa timu wanataka kumsajili Ronaldo sio tu kwa sababu za kusaidia safu ya ushambuliaji wa Chelsea ambayo kwa sasa ni butu, ila pia kwa sababu za kibiashara
Wachukue tu. tena na chenchi. Sis hatuna haja na hiyo biashara, tunataka tuhame huko. Upande wa biashara grazer ndiye mnufaika. Wakaumane huko.
 
Nyie vichaa mnamikakati gani kuhusu next match?

This time around ntakua upande wenu, liverkuku mumkate moto mapema
Vita yangu iwe kwa city tu
 
The blues bora wakae tu kimya kuhusu kukandwa na Brentford wao walikandwa kwao tena sisi kelele kibao.
Screenshot_20220402-190703.jpg
 
Nyie vichaa mnamikakati gani kuhusu next match?

This time around ntakua upande wenu, liverkuku mumkate moto mapema
Vita yangu iwe kwa city tu
We jamaa una wenge kweli.
Arsenal sio timu ya kuchukua ubingwa, labda mika 50, mbele.
 
Me mwenzenu mpaka sasa sijui tatizo ni nini?
Tushafukuza makocha weee mpaka kichefuchefu.
Tushatimua wachezaji mpaka haibu.
Kilicho baki me nakubaliana na matokeo yoyote yale, tufungwe hata goli alfu saba poa tu.

Chamsingi mimi ni shabiki wa Man utd kufa na kuzikwa nayo, hakuna wakunitenganisha nayo labda umauti, pronto.
 
Me mwenzenu mpaka sasa sijui tatizo ni nini?
Tushafukuza makocha weee mpaka kichefuchefu.
Tushatimua wachezaji mpaka haibu.
Kilicho baki me nakubaliana na matokeo yoyote yale, tufungwe hata goli alfu saba poa tu.

Chamsingi mimi ni shabiki wa Man utd kufa na kuzikwa nayo, hakuna wakunitenganisha nayo labda umauti, pronto.
Matatizo nimeona ni midfield kisheti, tukitulia kwenye middle bas.

Lkn pia magiure amefeli. Tena kapten noway, ukiangalia mech alizocheza ameboringa vby mno. Ajabu makocha wanamuweka wanamuacha Bailly?? Kweli??
 
Back
Top Bottom