Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,789
Mpo kmya nyie nyumbu kama mnawaza cha maana vile kumbe mnashika mkia tu 





Halafu midfielder watatu katika kundi hilo walikaribia kujiunga na United kabla hawajatimkia Real Madrid.Ukitaka kujua Man Utd board haiko serious, angalia midfield ya hawa jamaa alafu angalia midfield yetu tuliyonayo.View attachment 2325503
Gadiola kamkuta kdbNilikuwa nachunguza vikosi vya timu zilizoachwa na makocha wakubwa uingereza kwa mfano timu yetu bingwa mtarajiwa wa msimu huu ARSENAL wachezaji pekee waliobaki ni
xhaka ,ernemy,saka,holding hii inaonyesha kila kocha ana watu wake
kwa liva crop ana Henderson ,filminho, wengine wote kawaleta yeye ,
man City hakuna wote wa gardiola ,
Manchester United ndio wabishi sana wachezaji wa farguson awataki kuondoka shaw, Jones, rashfod, ronaldo, matial,
na fagasoni bado yupo
Hata wakiongeza mwezi Tena hakuna tutacho fanyaSio bado wiki mbili tu dirisha la usajili lifungwe sawa sawa.
Nilikuwa nachunguza vikosi vya timu zilizoachwa na makocha wakubwa uingereza kwa mfano timu yetu bingwa mtarajiwa wa msimu huu ARSENAL wachezaji pekee waliobaki ni
xhaka ,ernemy,saka,holding hii inaonyesha kila kocha ana watu wake
kwa liva crop ana Henderson ,filminho, wengine wote kawaleta yeye ,
man City hakuna wote wa gardiola ,
Manchester United ndio wabishi sana wachezaji wa farguson awataki kuondoka shaw, Jones, rashfod, ronaldo, matial,
na fagasoni bado yupo




BREAKING : Casemiro has offered €50m to Manchester United to stop calling him

Source: [EL_Harry Maguire]Mkuu tupumzishe basi mwanangu.Mpo kmya nyie nyumbu kama mnawaza cha maana vile kumbe mnashika mkia tu![]()
![]()
Unatuandama kinoma mwanangu. Tuonee huruma ndugu yanguBREAKING : Casemiro has offered €50m to Manchester United to stop calling him
Source: [EL_Harry Maguire]View attachment 2327278
Acha tuuzwe tu mkuu.Kuna tetesi club inaweza kuuzwa ndani ya miezi 12 mpaka 24.
Pellegrin ndio almsajili kdb kutoka wolfburg 2016 ,so pep kamkuta kdbNilikuwa nachunguza vikosi vya timu zilizoachwa na makocha wakubwa uingereza kwa mfano timu yetu bingwa mtarajiwa wa msimu huu ARSENAL wachezaji pekee waliobaki ni
xhaka ,ernemy,saka,holding hii inaonyesha kila kocha ana watu wake
kwa liva crop ana Henderson ,filminho, wengine wote kawaleta yeye ,
man City hakuna wote wa gardiola ,
Manchester United ndio wabishi sana wachezaji wa farguson awataki kuondoka shaw, Jones, rashfod, ronaldo, matial,
na fagasoni bado yupo
Manchester United ndio wabishi sana wachezaji wa farguson awataki kuondoka shaw, Jones, rashfod, ronaldo, matial,
na fagasoni bado yupo
Aje tu akutane na Rashid na martial tutamkataa tuTrust me, bora Casemiro kuliko De jong, and he is coming soon kabla ya jumamosi tutapata jibu sote.
Naimani msimu wa kuanzia 2023-2024 (tukijaaliwa uzima), tutakua na wachezaji wengi wapya.Aje tu akutane na Rashid na martial tutamkataa tu
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Mchezaji aliyeachwa na Ferguson ni De Gea na Phil Jones tu.Nilikuwa nachunguza vikosi vya timu zilizoachwa na makocha wakubwa uingereza kwa mfano timu yetu bingwa mtarajiwa wa msimu huu ARSENAL wachezaji pekee waliobaki ni
xhaka ,ernemy,saka,holding hii inaonyesha kila kocha ana watu wake
kwa liva crop ana Henderson ,filminho, wengine wote kawaleta yeye ,
man City hakuna wote wa gardiola ,
Manchester United ndio wabishi sana wachezaji wa farguson awataki kuondoka shaw, Jones, rashfod, ronaldo, matial,
na fagasoni bado yupo