Herzog
JF-Expert Member
- Jul 26, 2022
- 4,129
- 4,859
Gadiola kamkuta kdbNilikuwa nachunguza vikosi vya timu zilizoachwa na makocha wakubwa uingereza kwa mfano timu yetu bingwa mtarajiwa wa msimu huu ARSENAL wachezaji pekee waliobaki ni
xhaka ,ernemy,saka,holding hii inaonyesha kila kocha ana watu wake
kwa liva crop ana Henderson ,filminho, wengine wote kawaleta yeye ,
man City hakuna wote wa gardiola ,
Manchester United ndio wabishi sana wachezaji wa farguson awataki kuondoka shaw, Jones, rashfod, ronaldo, matial,
na fagasoni bado yupo


