kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 6,142
- 15,757
#GGMU
Sina imani kama inaweza kutokea. Hawa familia ya Glazer wanajua sana kucheza na akili mashabiki.Timu inaweza uzwa very ndani ya miezi 12 mpaka 24.
Hizi figisu zitapamba moto soon.
Kiwango cha wachezaji huathiriwa na majeraha zaidi ila sbb za kufungiwa mara nyingi huwa ni saikolojia tu.2 years bila football...huyu Greenwood atakuwa the same kweli??
Anthony akija si atacheza huko kulia??..Kiwango cha wachezaji huathiriwa na majeraha zaidi ila sbb za kufungiwa mara nyingi huwa ni saikolojia tu.
Pia ukiangalia vizuri utagundua ni kama bado yupo ktk mipango ya timu ya muda mrefu ule upande wa kulia sioni nguvu iliyojaribiwa kuwekezwa.

Yupo leo uwanjani.Hapa inatakiwa waanze na visa na work permit MTU akifika anaupiga tu
Saa 4 usikuSaa ngapi hii game?
ya nyuklia saa 6 usiku ntaanza kuyarusha moja baada ya lingineNa hapo bado hajaingia hata dressing room 😆😆😆
Ndio tunapokosea,siasa nyingi... tupo kwenye mwanzo mgumu,tunatakiwa tuwe kitu kimoja,haya mambo yanafanya tuzidi kupoteana.Virusi havitacheza leoView attachment 2331530
Angalia alichokisema then rudi haraka kumuangalia usoni. Utagundua kuwa alikuwa kalewa
. Kama ni mzima basi wamemficha ningependa uongozi wamuambie ukweli 
Jamaa kwa haraka haraka ukimuangalia unajua kabisa ni mjanja mjanja.Angalia alichokisema then rudi haraka kumuangalia usoni. Utagundua kuwa alikuwa kalewa. Kama ni mzima basi wamemficha ningependa uongozi wamuambie ukweli
![]()
Ndio tunapokosea,siasa nyingi... tupo kwenye mwanzo mgumu,tunatakiwa tuwe kitu kimoja,haya mambo yanafanya tuzidi kupoteana.
Good move..hata kama tukifungwa aendelee na plan hii hii..Virusi havitacheza leoView attachment 2331530
Leo Man Utd anachana mikekaAmini amini nawaambia mnaenda kufufukia kwa Liverpool.
Amka Mkuu Bado umelala TuAmini amini nawaambia mnaenda kufufukia kwa Liverpool.
