Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Let me finish my work kwa sasa ili saa 4 niwe humu Jukwaani mwanzo mwisho sitachoka kukesha humu nimeandaa mabomu ya nyuklia saa 6 usiku ntaanza kuyarusha moja baada ya lingine

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
He probably thinks he joined the other Manchester.

20220822_163716.jpg
 
Angalia alichokisema then rudi haraka kumuangalia usoni. Utagundua kuwa alikuwa kalewa . Kama ni mzima basi wamemficha ningependa uongozi wamuambie ukweli
Jamaa kwa haraka haraka ukimuangalia unajua kabisa ni mjanja mjanja.

Yani anajua ashawapiga hela, sasa anataka awaaminishe mashabiki kuwa hawajapigwa!😂😂
 
Mkiweza kuwazuia Liverpool wasipate goli katika dk 20 za kwanza basi nyie ni vidume.
 
Hiki kitu niliwahi kusema hawa jamaa walipoanza kuleta ushikaji tu katika kazi ndio walipoua timu.

Unampaje kilaza kama Ed Woodward akuendeshee klabu kubwa ya soka kama Manchester United?

Ndani ya miaka 10 ya Ed kama mtendaji mkuu wa timu thamani ya United imeshuka sana hatujashinda taji hata moja la EPL.

Sheikh Mansour anamchukua Ferran Sorriano kutoka Barcelona ya moto aje amuendeshee timu ndani ya miaka 10 chini yake Manchester City tayari wamebeba EPL 5 jumlisha na mataji mengine 10 chini yake yaani chini Ferran Sorriano City wamebeba makombe 15.

Ferran Sorriano alianza kazi na Ed Woodward kwa wakati mmoja walipishana miezi michache tu ila ndani ya miaka 10 tokea 2012 tayari Ferran Sorriano amebeba EPL 5, Ed Woodward mpaka anaondoka ofisini hajabeba hata moja.
Hata Chelsea iliponunuliwa na Roman Abromovic alimchukua mtendaji mkuu David Dein kutoka Man u, ila man u tunamatajiri vilaza sana
 
Back
Top Bottom