Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Timu inaweza uzwa very ndani ya miezi 12 mpaka 24.

Hizi figisu zitapamba moto soon.
Sina imani kama inaweza kutokea. Hawa familia ya Glazer wanajua sana kucheza na akili mashabiki.

Kama leo tukifungwa na L'pool kesho au keshokutwa wanaidhinisha malipo ya Pound 100M kwenda kwa Ajax na PSV kutuliza upepo.

Matatizo ya United sio pesa ila tunakosa watu sahihi wa kuendesha timu. Tunalipa mishahara mizuri na hata kila timu tukitaka kusajili wanafurahia kufanya biashara na sisi.
 
Haya na nyie kuleni upepo kidogo!😆
20220822_133944.png
 
Kiwango cha wachezaji huathiriwa na majeraha zaidi ila sbb za kufungiwa mara nyingi huwa ni saikolojia tu.

Pia ukiangalia vizuri utagundua ni kama bado yupo ktk mipango ya timu ya muda mrefu ule upande wa kulia sioni nguvu iliyojaribiwa kuwekezwa.
Anthony akija si atacheza huko kulia??..
 
Let me finish my work kwa sasa ili saa 4 niwe humu Jukwaani mwanzo mwisho sitachoka kukesha humu nimeandaa mabomu ya nyuklia saa 6 usiku ntaanza kuyarusha moja baada ya lingine

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Angalia alichokisema then rudi haraka kumuangalia usoni. Utagundua kuwa alikuwa kalewa . Kama ni mzima basi wamemficha ningependa uongozi wamuambie ukweli
Jamaa kwa haraka haraka ukimuangalia unajua kabisa ni mjanja mjanja.

Yani anajua ashawapiga hela, sasa anataka awaaminishe mashabiki kuwa hawajapigwa!😂😂
 
Back
Top Bottom