Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Hongera it was a deserved win
Kwa Artete hatoki ngoMlete arteta...mlete artetaaa![]()
Baada ya kula kiporo unaanza kuwa jeuri.. kwa arteta unakufa 3 kwa 1Mlete arteta...mlete artetaaa![]()
Hawa vijana balaa aisee, well done sanaaaaMalacia
Martinez![]()
Yani watu leo wana furaha kweri kwerisilali leo usingizi amna kabisa.




Manchester is red3/9/2022 sio mbali amini TUTAWAGONGA ARSENAL HAWATOAMINIKipimo changu kwamba mmeimprove kitakuwa dhidi ya Arsenane.
Huyu ni kiwete mwenzenu, Japo mmecheza vizuri leo.
🤣🤣🤣 bado una OTA?draw 1~1 FT
Mkuu kariakoo zimepigwa baruti Kama Kuna mtu kashinda uraisiYani watu leo wana furaha kweri kwerisilali leo usingizi amna kabisa.
Hao wote uliowataja wanapaswa kuondoka msimu ujao mikataba yao ikiisha.Alikuwa anazingua Sana kuwatumia wachezaji walioflop akiamini yeye atawarudisha kwenye form
Hawa akina maguire, Ronaldo, shaw, macfred, rashford na Bruno ni kuwapiga bench then ingiza wachezaji wako mwenyewe then wakishakaa bench wataanza kurudi mmoja mmoja baada ya kujifunza. Create your own TEAM.
Hata yule donny nashangaa kwanini hamtumii wakati ni mchezaji anayemjua vizuri kabisa
Raundi ya kwanza arsenal anashinda game 16 (ikiwamo ya utd) na sare tatu.3/9/2022 sio mbali amini TUTAWAGONGA ARSENAL HAWATOAMINI


Tunaitunza hii risitiRaundi ya kwanza arsenal anashinda game 16 (ikiwamo ya utd) na sare tatu.