Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,551
- 10,798
Nyumba ni choo.🤣 Huko kwenu hakuna vyoo mpaka uchafue jiji?Nakunya mafungu mafungu posta had I mbagala
Nyumba ni choo.🤣 Huko kwenu hakuna vyoo mpaka uchafue jiji?Nakunya mafungu mafungu posta had I mbagala
Emu tulia 😂😂😂 watu tuone mbio za sakafuniNitag basi mpenzi![]()
EPL haitabiriki babe!! kwamba tusubiri 5W ndo tufurahi?? subutuuuu...Emu tuliawatu tuone mbio za sakafuni


Unaijua nyumba weweKama kuna wa kubeti humu weka liverpool to score 3 goals weka nyumba kabisa kmmke..
Yaani, Gernacho pellistri, Garner, iqbal awajaribuAlikuwa anazingua Sana kuwatumia wachezaji walioflop akiamini yeye atawarudisha kwenye form
Hawa akina maguire, Ronaldo, shaw, macfred, rashford na Bruno ni kuwapiga bench then ingiza wachezaji wako mwenyewe then wakishakaa bench wataanza kurudi mmoja mmoja baada ya kujifunza. Create your own TEAM.
Hata yule donny nashangaa kwanini hamtumii wakati ni mchezaji anayemjua vizuri kabisa
Ndiyo mafanye Chap deal la magwayaMartinez the wall

Saturday gari itazimika hiiARV ndiyo umesusia uzi kabisa, rudi sasa gari limewaka mzee.
malacia akiendelea kuwa hivi sioni shaw akirudi kwenye xi siku za karibuni
Licha"Martinez" what a baller, brilliant, anakaba kwa staha , hapanic
Elanga mpuuzi tu, jezi ya utd ni nzito kwake,,,, !
dalot, Ni yule Yule ,,Leo ataparfom, wiki ijayo anaharibu,,, we need proper RB
Anthony akija, ule upande unaovuja ataziba ziba walau
Casemiro, proper addition, ngoja tuone ETH atakavyomtumia,,, !
Fred zile ndo dakika zake, timu tayari inaongoza anaingia kuongeza balance na kutibua mipango ,,,, Sio kwa mpira ule mzee







Naona umeamua kuweka ushabiki pembeni. Ndo inavyotakiwa bhana maana mpira ni mchezo wa kiunguanaMmeupigaa mwingi 🔥
Odegaard anakichafua hatari..Yaani, Gernacho pellistri, Garner, iqbal awajaribu
Ona arsenal odegaard baada ya kuaminiwa anachofanya