Kwa mara ya kwanza baada ya kipindi kirefu Jana nimeangalia mpira huku natabasamu !!!

malacia akiendelea kuwa hivi sioni shaw akirudi kwenye xi siku za karibuni

Licha"Martinez" what a baller, brilliant, anakaba kwa staha , hapanic

Elanga mpuuzi tu, jezi ya utd ni nzito kwake,,,, !

dalot, Ni yule Yule ,,Leo ataparfom, wiki ijayo anaharibu,,, we need proper RB

Anthony akija, ule upande unaovuja ataziba ziba walau

Casemiro, proper addition, ngoja tuone ETH atakavyomtumia,,, !

Fred zile ndo dakika zake, timu tayari inaongoza anaingia kuongeza balance na kutibua mipango ,,,,
#GGMU, bado tuna safari ndefu Sana !!
Liverpool,,,
dah,,, salah Hana Yale makali+shabaha, mpaka first half hawakuwa na on target!
Kiungo Chao kinatia huruma !
Hata huyu vvd wanaemsifia sometimes Ni maji kupwa na kujaa !
Firmino, legend kwa Sasa jezi ya Liverpool hatakiwi kuivaa Tena !!!
Majogoo bado mzimu wa Super Sadio unawaandama ?