Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hakuna mpira wowote mliocheza leo bali mlikamia mechi kilichowasaidia wachezaji wenu walijitoa mhanga coz ni big match ila hali yenu ya vipigo itarudi palepale

Hamna cha kujisifu mmecheza na Liverpool ambayo haijakamilika kuanzia beki kiungo mpaka mshambuliaji mmetumia energy kubwa sana sidhani kama mtaionesha mkicheza na midtable timu
Luna sehu tumekuuliza kwamba tulicheza mpira? Mlete Arteta...mlete Arteta...mlete Arteta
 
Hakuna mpira wowote mliocheza leo bali mlikamia mechi kilichowasaidia wachezaji wenu walijitoa mhanga coz ni big match ila hali yenu ya vipigo itarudi palepale

Hamna cha kujisifu mmecheza na Liverpool ambayo haijakamilika kuanzia beki kiungo mpaka mshambuliaji mmetumia energy kubwa sana sidhani kama mtaionesha mkicheza na midtable timu
Endelea kuota

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna mpira wowote mliocheza leo bali mlikamia mechi kilichowasaidia wachezaji wenu walijitoa mhanga coz ni big match ila hali yenu ya vipigo itarudi palepale

Hamna cha kujisifu mmecheza na Liverpool ambayo haijakamilika kuanzia beki kiungo mpaka mshambuliaji mmetumia energy kubwa sana sidhani kama mtaionesha mkicheza na midtable timu
Sasa mbona unaongea huku unalia!? Chukua kitambaa, futa machozi yako boss!
 
Alikuwa anazingua Sana kuwatumia wachezaji walioflop akiamini yeye atawarudisha kwenye form

Hawa akina maguire, Ronaldo, shaw, macfred, rashford na Bruno ni kuwapiga bench then ingiza wachezaji wako mwenyewe then wakishakaa bench wataanza kurudi mmoja mmoja baada ya kujifunza. Create your own TEAM.

Hata yule donny nashangaa kwanini hamtumii wakati ni mchezaji anayemjua vizuri kabisa
Yaani, Gernacho pellistri, Garner, iqbal awajaribu

Ona arsenal odegaard baada ya kuaminiwa anachofanya
 
Kwa mara ya kwanza baada ya kipindi kirefu Jana nimeangalia mpira huku natabasamu !!!

malacia akiendelea kuwa hivi sioni shaw akirudi kwenye xi siku za karibuni

Licha"Martinez" what a baller, brilliant, anakaba kwa staha , hapanic

Elanga mpuuzi tu, jezi ya utd ni nzito kwake,,,, !

dalot, Ni yule Yule ,,Leo ataparfom, wiki ijayo anaharibu,,, we need proper RB

Anthony akija, ule upande unaovuja ataziba ziba walau

Casemiro, proper addition, ngoja tuone ETH atakavyomtumia,,, !

Fred zile ndo dakika zake, timu tayari inaongoza anaingia kuongeza balance na kutibua mipango ,,,,

#GGMU, bado tuna safari ndefu Sana !!


Liverpool,,,

dah,,, salah Hana Yale makali+shabaha, mpaka first half hawakuwa na on target!

Kiungo Chao kinatia huruma !

Hata huyu vvd wanaemsifia sometimes Ni maji kupwa na kujaa !

Firmino, legend kwa Sasa jezi ya Liverpool hatakiwi kuivaa Tena !!!

Majogoo bado mzimu wa Super Sadio unawaandama ?
 
Back
Top Bottom