Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

The blues bora wakae tu kimya kuhusu kukandwa na Brentford wao walikandwa kwao tena sisi kelele kibao.
Screenshot_20220402-190703.jpg
 
Nyie vichaa mnamikakati gani kuhusu next match?

This time around ntakua upande wenu, liverkuku mumkate moto mapema
Vita yangu iwe kwa city tu
We jamaa una wenge kweli.
Arsenal sio timu ya kuchukua ubingwa, labda mika 50, mbele.
 
Me mwenzenu mpaka sasa sijui tatizo ni nini?
Tushafukuza makocha weee mpaka kichefuchefu.
Tushatimua wachezaji mpaka haibu.
Kilicho baki me nakubaliana na matokeo yoyote yale, tufungwe hata goli alfu saba poa tu.

Chamsingi mimi ni shabiki wa Man utd kufa na kuzikwa nayo, hakuna wakunitenganisha nayo labda umauti, pronto.
 
Me mwenzenu mpaka sasa sijui tatizo ni nini?
Tushafukuza makocha weee mpaka kichefuchefu.
Tushatimua wachezaji mpaka haibu.
Kilicho baki me nakubaliana na matokeo yoyote yale, tufungwe hata goli alfu saba poa tu.

Chamsingi mimi ni shabiki wa Man utd kufa na kuzikwa nayo, hakuna wakunitenganisha nayo labda umauti, pronto.
Matatizo nimeona ni midfield kisheti, tukitulia kwenye middle bas.

Lkn pia magiure amefeli. Tena kapten noway, ukiangalia mech alizocheza ameboringa vby mno. Ajabu makocha wanamuweka wanamuacha Bailly?? Kweli??
 
HUYU MAMA WA RABIOT ANGEWAPIGA PESA NDEFU,

Adrien #Rabiot’s deal

Salary request: 9M/year + add-ons

#ManUnited’s salary offered: 7M/year + bonus

Commissions: 10M (request by mom-agent Veronique)

Transfer: €17,5M (total agreement between #MUFC and #Juventus)
 
HUYU MAMA WA RABIOT ANGEWAPIGA PESA NDEFU,

Adrien #Rabiot’s deal

Salary request: 9M/year + add-ons

#ManUnited’s salary offered: 7M/year + bonus

Commissions: 10M (request by mom-agent Veronique)

Transfer: €17,5M (total agreement between #MUFC and #Juventus)
Daaah
 
United walikua tayari kumfanya Adrien Rabiot moja ya wachezaji wanaolipwa pesa nyingi kwenye daraja moja la kina Bruno Fernandes na Christian Eriksen lakini mama yake Véronique iinasemekana alihitaji mshahara mkubwa zaidi. [ @David_Ornstein ] #MUFC

Naona hawa wajinga wameona united ni pakupigia pesa kwa kiwango gani kwanza.
 
United walikua tayari kumfanya Adrien Rabiot moja ya wachezaji wanaolipwa pesa nyingi kwenye daraja moja la kina Bruno Fernandes na Christian Eriksen lakini mama yake Véronique iinasemekana alihitaji mshahara mkubwa zaidi. [ @David_Ornstein ] #MUFC

Naona hawa wajinga wameona united ni pakupigia pesa kwa kiwango gani kwanza.
Hii ndo shida ya kutosajili mapema,tulionya huyu de jong kumng'ang'ania atatucost kwa wachezaji wengine,
 
Hadi tunaitwa wapumbavu asee.
Huyo jamaa atagharimu morale ya timu ikiwa hizi taarifa zinaenea alafu wachezaji wanaziona, ukute mchezaji kajituma alafu unakuta anayechukua pesa ndefu analeta ujinga na ukosefu wa heshima na hafanywi kitu.


Siku hizi ukute Ronaldo anataka afunge bila kujali hali ya timu ili kutuprove wrong, kwa hiyo sisi tunalalamika hafungi au tunalalamika anapoteza timu kuweza kuchukua Ushindi with consistency. Sio kila yeye afunge, tunapoteza muda mwingi kumpa mipira afunge wakati tukitanguliwa goli ndio imeisha hivyo.

Jamaa asepe tulete watu wa kazi kila mchezaji ajisikie kuitumikia kuleta ushindi, sio kila mchezaji akijaribu kufunga akose mara utasikia Angempasia Ronaldo, Madogo wana Dharau hawamheshimu Ronaldo, sasa kwa lawama hizo tutakua na timu inayojituma kweli?

Yaani hata Confidence ya Bruno kwenye penalty ishaisha, now akikosa utasikia Angempa Ronaldo what the f*ck?

Kama vipi Ronaldo aje kusaidiana na Maguire kwenye Ulinzi.


Maana kila kitu yeye.

Matatizo ni mengi ila tunaweza amsha moto kukiwa na morale ya kueleweka.

Morale ikifa kila mchezaji ni takataka.
IMG-20220816-WA0021.jpg


Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom