We jamaa una wenge kweli.Nyie vichaa mnamikakati gani kuhusu next match?
This time around ntakua upande wenu, liverkuku mumkate moto mapema
Vita yangu iwe kwa city tu
Matatizo nimeona ni midfield kisheti, tukitulia kwenye middle bas.Me mwenzenu mpaka sasa sijui tatizo ni nini?
Tushafukuza makocha weee mpaka kichefuchefu.
Tushatimua wachezaji mpaka haibu.
Kilicho baki me nakubaliana na matokeo yoyote yale, tufungwe hata goli alfu saba poa tu.
Chamsingi mimi ni shabiki wa Man utd kufa na kuzikwa nayo, hakuna wakunitenganisha nayo labda umauti, pronto.
Vipi biashara ya madini huko mkuu?We jamaa una wenge kweli.
Arsenal sio timu ya kuchukua ubingwa, labda mika 50, mbele.


Kwa kikosi cha City sioni wa kuchuana nao msimu huu nyinyi nkomae mcheze UEFA tu msimi ujaoNyie vichaa mnamikakati gani kuhusu next match?
This time around ntakua upande wenu, liverkuku mumkate moto mapema
Vita yangu iwe kwa city tu
DaaahHUYU MAMA WA RABIOT ANGEWAPIGA PESA NDEFU,
Adrien #Rabiot’s deal
Salary request: 9M/year + add-ons
#ManUnited’s salary offered: 7M/year + bonus
Commissions: 10M (request by mom-agent Veronique)
Transfer: €17,5M (total agreement between #MUFC and #Juventus)
nunez yupi wa sporting si kaenda wolves auNunez ni tarajio letu la mwisho. ZIMEBAKI SIKU chache kufungwa dirisha.
A box to box ataweza kucheza na Fernandez na
Au anamaana Reuben Nevez?nunez yupi wa sporting si kaenda wolves au
Hii ndo shida ya kutosajili mapema,tulionya huyu de jong kumng'ang'ania atatucost kwa wachezaji wengine,United walikua tayari kumfanya Adrien Rabiot moja ya wachezaji wanaolipwa pesa nyingi kwenye daraja moja la kina Bruno Fernandes na Christian Eriksen lakini mama yake Véronique iinasemekana alihitaji mshahara mkubwa zaidi. [ @David_Ornstein ] #MUFC
Naona hawa wajinga wameona united ni pakupigia pesa kwa kiwango gani kwanza.
Hadi tunaitwa wapumbavu asee.
Huyo jamaa atagharimu morale ya timu ikiwa hizi taarifa zinaenea alafu wachezaji wanaziona, ukute mchezaji kajituma alafu unakuta anayechukua pesa ndefu analeta ujinga na ukosefu wa heshima na hafanywi kitu.
Siku hizi ukute Ronaldo anataka afunge bila kujali hali ya timu ili kutuprove wrong, kwa hiyo sisi tunalalamika hafungi au tunalalamika anapoteza timu kuweza kuchukua Ushindi with consistency. Sio kila yeye afunge, tunapoteza muda mwingi kumpa mipira afunge wakati tukitanguliwa goli ndio imeisha hivyo.
Jamaa asepe tulete watu wa kazi kila mchezaji ajisikie kuitumikia kuleta ushindi, sio kila mchezaji akijaribu kufunga akose mara utasikia Angempasia Ronaldo, Madogo wana Dharau hawamheshimu Ronaldo, sasa kwa lawama hizo tutakua na timu inayojituma kweli?
Yaani hata Confidence ya Bruno kwenye penalty ishaisha, now akikosa utasikia Angempa Ronaldo what the f*ck?
Kama vipi Ronaldo aje kusaidiana na Maguire kwenye Ulinzi.
Maana kila kitu yeye.
Matatizo ni mengi ila tunaweza amsha moto kukiwa na morale ya kueleweka.
Morale ikifa kila mchezaji ni takataka.



Acha tu, ukute mechi ya Brighton atakuwepo na atataka kila chance apige yeye kule golini.
Lengo kutuprove wrong, wakati haoni anaua chemistry kule mbele.




so sad.