Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

HUYU MAMA WA RABIOT ANGEWAPIGA PESA NDEFU,

Adrien #Rabiot’s deal

Salary request: 9M/year + add-ons

#ManUnited’s salary offered: 7M/year + bonus

Commissions: 10M (request by mom-agent Veronique)

Transfer: €17,5M (total agreement between #MUFC and #Juventus)
 
HUYU MAMA WA RABIOT ANGEWAPIGA PESA NDEFU,

Adrien #Rabiot’s deal

Salary request: 9M/year + add-ons

#ManUnited’s salary offered: 7M/year + bonus

Commissions: 10M (request by mom-agent Veronique)

Transfer: €17,5M (total agreement between #MUFC and #Juventus)
Daaah
 
United walikua tayari kumfanya Adrien Rabiot moja ya wachezaji wanaolipwa pesa nyingi kwenye daraja moja la kina Bruno Fernandes na Christian Eriksen lakini mama yake Véronique iinasemekana alihitaji mshahara mkubwa zaidi. [ @David_Ornstein ] #MUFC

Naona hawa wajinga wameona united ni pakupigia pesa kwa kiwango gani kwanza.
 
United walikua tayari kumfanya Adrien Rabiot moja ya wachezaji wanaolipwa pesa nyingi kwenye daraja moja la kina Bruno Fernandes na Christian Eriksen lakini mama yake Véronique iinasemekana alihitaji mshahara mkubwa zaidi. [ @David_Ornstein ] #MUFC

Naona hawa wajinga wameona united ni pakupigia pesa kwa kiwango gani kwanza.
Hii ndo shida ya kutosajili mapema,tulionya huyu de jong kumng'ang'ania atatucost kwa wachezaji wengine,
 
Hadi tunaitwa wapumbavu asee.
Huyo jamaa atagharimu morale ya timu ikiwa hizi taarifa zinaenea alafu wachezaji wanaziona, ukute mchezaji kajituma alafu unakuta anayechukua pesa ndefu analeta ujinga na ukosefu wa heshima na hafanywi kitu.


Siku hizi ukute Ronaldo anataka afunge bila kujali hali ya timu ili kutuprove wrong, kwa hiyo sisi tunalalamika hafungi au tunalalamika anapoteza timu kuweza kuchukua Ushindi with consistency. Sio kila yeye afunge, tunapoteza muda mwingi kumpa mipira afunge wakati tukitanguliwa goli ndio imeisha hivyo.

Jamaa asepe tulete watu wa kazi kila mchezaji ajisikie kuitumikia kuleta ushindi, sio kila mchezaji akijaribu kufunga akose mara utasikia Angempasia Ronaldo, Madogo wana Dharau hawamheshimu Ronaldo, sasa kwa lawama hizo tutakua na timu inayojituma kweli?

Yaani hata Confidence ya Bruno kwenye penalty ishaisha, now akikosa utasikia Angempa Ronaldo what the f*ck?

Kama vipi Ronaldo aje kusaidiana na Maguire kwenye Ulinzi.


Maana kila kitu yeye.

Matatizo ni mengi ila tunaweza amsha moto kukiwa na morale ya kueleweka.

Morale ikifa kila mchezaji ni takataka.
IMG-20220816-WA0021.jpg


Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Kwa kikosi cha City sioni wa kuchuana nao msimu huu nyinyi nkomae mcheze UEFA tu msimi ujao
hio Uefa yenyewe hawanusi msimu ujao.
Kama wewe ni mgeni wa AsaniWali unaweza ukashtuka kwelikweli kwa matokeo ya mechi zao 5 au 6 za mwanzo, ila nakuhakikishia baada ya game hizo wataanza kushikana uchawi wao kwa wao kwenye lile jukwaa lao la matusi.
Arsenal inayoanza ligi kwa mbwembwe za ushindi hua haitoboi kwenye top4.
 
hio Uefa yenyewe hawanusi msimu ujao.
Kama wewe ni mgeni wa AsaniWali unaweza ukashtuka kwelikweli kwa matokeo ya mechi zao 5 au 6 za mwanzo, ila nakuhakikishia baada ya game hizo wataanza kushikana uchawi wao kwa wao kwenye lile jukwaa lao la matusi.
Arsenal inayoanza ligi kwa mbwembwe za ushindi hua haitoboi kwenye top4.
Umenikumbusha mbali Sana. Asernal ilivheza mech 19 ikaja kuitolewa bikira. Na kikombe hawakubeba. Hizi timu zinaishi Kwa majina yao bana
 
HUYU MAMA WA RABIOT ANGEWAPIGA PESA NDEFU,

Adrien #Rabiot’s deal

Salary request: 9M/year + add-ons

#ManUnited’s salary offered: 7M/year + bonus

Commissions: 10M (request by mom-agent Veronique)

Transfer: €17,5M (total agreement between #MUFC and #Juventus)
Bora hii deal imekuwa off.. bado mchezaji mwenyewe ni wa kusua sua tu, nilisikia wanmdiscuss Caicedo, muda unavokimbia tungekomaa tu na huyu tayari ni proven pia EPL pia
 
United walikua tayari kumfanya Adrien Rabiot moja ya wachezaji wanaolipwa pesa nyingi kwenye daraja moja la kina Bruno Fernandes na Christian Eriksen lakini mama yake Véronique iinasemekana alihitaji mshahara mkubwa zaidi. [ @David_Ornstein ] #MUFC

Naona hawa wajinga wameona united ni pakupigia pesa kwa kiwango gani kwanza.
Kwa hali mliyokuwa nayo hamna jinsi, kama hamtaki kaeni na timu yenu.
 
Back
Top Bottom