Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,789
Anajuta kurud unyumbuni
Baada ya Brentford kutafuna Karanga mbichi kwa wiki nzima hatimaye Leo kapata pa kumwagia na kamwaga haswaa





Man United inaajiri makocha kuwadhalilisha.Sidhani kama ETH ata-survive,hii timu ilikuwa inahitaji strong DM EPL ni tofauti kabisa na Dutch league
Ni kkosa kubwa sana creative player kama Eriksen anachezeshwa nyuma while strength zake ni kucheza attaking midfielder (namba 10)
MANCHESTER UNITED AKIONGOZA LIGI HATA KWA SEKUNDE TU NIITENI MBWA NIMEKAA PALE![]()
Ten Hag ndiyo anasajili mkuu ?Yaani kwanini ETH asifukuzwe kwa kushindwa kusajili wachezaji?
Solskjaer alikuwa kocha mzuri tu ila alikuwa na kundi la wahuni.Sometimes nahisi Ole gunner sosha aliitaji kuaminiwa kidogo.
Tumuamini Ten Hag hakuna namna hata Liva waliyumba alipo kuja Kloop
Huyo jamaa hakuwa anaona kabisa udhaifu wa team, yeye alidai kuwa Ronaldo tu ndio anaifanya icheze vibayaWapi ww humu ulikuwa unamsapoti tena kuna siku nliandika hapa list ya wachezaji wakuondolewa man u nikasema de gea shaw na maguaya mkanipiga mdomo ww na chief-mkwawa
Sent using Jamii Forums mobile app

.De gea aliona maguire kashine sana msimu uliopita kaamua amuige


