Man utd kala kande kavembewa kenda kolaaaaaa.Tuimbe parapanda italia 😭😭😭
Tunawashukuru mashabiki wote wa brentford popote pale mlipo kwa kuonyesha ushirikiano wenu siku ya leo.Unatusumbua sana jukwaa la chelsea....
Afadhali vipigo kama hivi vitakuweka mbali na sisi.
Wamekojolewa vinne
Tunawashukuru mashabiki wote wa brentford popote pale mlipo kwa kuonyesha ushirikiano wenu siku ya leo.
Kikubwa kenge ataendelea kua kenge na nyumbu ni nyumbu tu.
Nawakumbusha mashabiki wenzangu kwa hali hii mechi inayofata na Liverpool kila mmoja atembee na kikopo chake cha mafuta.





Lazima uwe na team England acha kujificha kwenye majani. MafupiRasmi nimehama kushabikia man u nahamia madrid
Glory glory Manjesta united😅Kwa kumbukumbu ya vizazi vijavyo, huu ndo Msimamo wa ligi 2022:
Hii timu hakuna mchezaji wa kumbembeleza hata mmoja..Ten Hag aache siasa, akubaliane na uhalisia.
Man Utd haina wachezaji.
Ronaldo alitaka kuondoka, angemuacha aende.
Rashford ametakiwa na PSG, angemuacha aende.
Kuwakingia kifua ni kujipalia makaa. Watamtokea puani.
Usiseme hivyoooo.Uo simba alafu up manjestaa Yani Ni kipigi huku na huku ..unapigwa mbele na nyuma![]()
Usiseme hivyoooo.Uo simba alafu up manjestaa Yani Ni kipigi huku na huku ..unapigwa mbele na nyuma![]()
Usiseme hivyoooo.Uo simba alafu up manjestaa Yani Ni kipigi huku na huku ..unapigwa mbele na nyuma![]()
Wapi ww humu ulikuwa unamsapoti tena kuna siku nliandika hapa list ya wachezaji wakuondolewa man u nikasema de gea shaw na maguaya mkanipiga mdomo ww na chief-mkwawaTen Hag kitendo cha kusema anawachezaji wazuri nilimwona ni mjinga kabisa..
