Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Inabidi tuchapike haswa, Mambo ya kutiana moyo mwanzon mwa ligi halafu katikati tunaanza kulia kilio haifai...Yani tuchapike vizuri tena vipigo vitakatifu vya kikatili ili dunia nzima Hadi wafu wafahamu kuwa timu ni mbovu, ili basi hadi sisimizi wafahamu kuwa man utd ndiyo inaanza kutambaa dede!
Hahahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yule chief yuko wapi ana jifanyaga ana jua sana, yuko wapi nasubiri comment yake
 
Back
Top Bottom