Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Asubuhi ya leo nilikatiza kwenye viunga vya Mloganzila, kila ninaepishana nae anacheka, hata wale wangonjwa waliobebwa kwenye machela na wenyewe wanatabasamu ikabidi nimuulize daktari leo vipi mbona hii hali siielewi?
Dokta akanijibu kua kwa pale hospitali ni kawaida siku Manchester United itapokua inacheza watu wote hua na furaha, hata dawa za kupunguza maumivu siku hio hua hazitumiki sana.
Hapo ndio nikakumbuka ile kauli ya allypipi ya kwamba :-
"Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha "
Dunia nzima inafuraha
 
Ralph alisema tunahitaji wachezaji 7 hadi 10 ili team ikae sawa, watu mkaja na maswala ya historia. Hapo nyuma na kwenye kiungo hatuna watu.


MSIMU huu nafasi ya nane inatuhusu.
Nyinyi kweli hamna heshima na mpira. Nafasi ya nane kwa utumbo huu?? Labda ya kumi na tatu huko
 
Back
Top Bottom