Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ukiwa kocha mkuu wa man utd usionyeshe moyo wenye huruma dhidi ya wachezaji.
  1. Tyrell malacia amemuacha mbali sana kiubora luke shaw hususan kwenye role ya inverted fullback.
  2. wiki mbili nyuma nilisema ukiwa na dalot, Maguire, Fred, shaw, rashford na mctominay ndani ya uwanja Kwa wakati mmoja fahamu unajitengenezea mazingira magumu sana ya kiuchezaji. Ni Imani yangu mwalimu amepata funzo Kwa mara nyengine
  3. David de gea hajazaliwa wala kukulia Spain, anatudanganya
  4. Tunahitaji mlinzi wa kulia, Tunahitaji midfield wawili akiwemo frenkie de jong na Tunahitaji winga mmoja
  5. Tutaamka tena kabla ya jogoo kuwika
Mkuu unataka kuniambia hawa brentford wana wachezaji wakali kuliko hao uliowataja? Kwamba utd inahitaji iwe na de jong, Rabiot kuifunga Brentford?
 
Utd fans Ni sikio la kufa!
Tulishaambiwa ni Ni re-building,,, sio process ya siku moja au mwaka mmoja,,,,

Mnataka timu nzima isajiliwe kwenye window moja ? Ni Kitu ambacho hakiwezekani, hata kidogo ,,, ! It will take time,,,

Au mnataka tuchukue EPL na combination ya macFred? , !!!!

Wenzetu wako too professional kwenye kuendesha timu zao,sio Kama sisi huku Africa tunaendesha na mihemuko, kukomoana na siasa ! mfano kila window lazima wanaangalia outgoings na incomings, ili kubalance madaftari yao kibiashara na kuepuka rungu la FFP,,,, !!

EtH apewe muda, naamini board itamsapoti, ndani ya misimu walau miwili ndio tuje hapa tupime uwezo wake,,,,!!! Kuna kitu anakiongea Sana hatumuelewi(right player), alafu enzi za punic buying za Woodward zilishapita,,,, ! (rejea kina falcao, dimaria, rojo ,blind , n.k, mikataba minono , hamna wanacho-deliver)


Pep alipokuja city pamoja na wahuni wale wa kiarabu kumwaga hela atakavyo lakini ilimchukua zaidi ya msimu mmoja kuijenga city tunayoiona Sasa hivi,,, ,,

Vile vile klop alikuta magarasa kibao akayasafisha na kusajili karbia misimu minne, ndio liver tunayoiona Leo kila msimu wanagombania kombe,, !!!!

Utd sasa baada ya mechi moja kila mtu anaongea yake,,, serious tunataka kuchukua epl au , !! EtH sio kocha mmbaya, tumpe muda, tukubali kebehi, maumivu na masimango ya kila namna kutoka kwa majirani zetu ,,, !!

Thought on other teams,,, ??
City untouchable

Liver wako Good, mid yao tia maji tia maji waombe Sana wachezaji wao wawe fit na consistent!

Arsenal ni Ile ile miaka nenda rudi

Chelsea wakikaza wanaweza kuingia top four

Spurs,,,dah Conte tunamchukulia poa ila this time anaweza kutupa lesson!

Trust the process,,, Glory Glory Utd
Njoo tena utoe comment
 
IMG_20220813_232659_841.jpg

Erik ten Hag becomes the first Man United manager in over 100 years to lose their first two league games 😳

Next up- Liverpool
 
Ten Haag anajiharibia sana.

Malacia yuko poa more than Shaw right now cha ajabu hapangwi.

Why asijaribu gernancho upande wa Trashford, kina Pellistri na Garner pamoja na Iqbal ili wawe watu wake.

Anza kupiga benchi Bruno, Trashford, McTomminay, Fred.

Hata Arsenal ilisimama baada ya Arteta kuamua kuachana na mizee ya first team na kwenda na Saka, Smith Rowe, Martinell, Odegaard, timu ilikaa sawa.

Watu wamefukuzisha makocha bado unakomaa nao.nm
 
Thomas Frank explaining in the post-match interview that they targeted Martinez’s height by going long more often after seeing Brighton do similar last week… I barely saw the game so can’t comment but I’m unsure how it can be brushed off as a non-issue so far, based on that.
 
Safari hii lawama sijui mtampa nani?

Pogba kawaachia timu yenu.

Ila naona kama kocha uwezo mdogo sana sijui atashinda mechi gani hapo epl.
Kocha nae anatia wasiwasi ,kacheza na double no.10 leo , nikashangaa Sana, Ole Guna aliwahi kujaribu acheze na Bruno na pogba ,ikabuma,

Kocha wangu ARTETA mwenyewe alikuwa anapenda Sana kucheza na double no.8/10 ,lkn amechukua karibu mwaka na nusu kuja kuanza kucheza hivo, hapo epl Ni pep tu ndio anafanya hivo.

Sasa hapa Eriksen na Bruno hawafanyi kile anachofanya Labda Gundogan na Bernado as Double 8/10

halafu unacheza na Brentford wanaojaza viungo wengi katikati,

ETH haijui epl, haitaki majaribio ,unaadhibiwa tu
IMG_20220814_002411.jpg
 
Kabisa kabisa kocha aliamini anaweza kuna kauli zake mwanzoni niliona zitamcost kwamba kikosi bado ni kizuri sababu kilimaliza ligi nafasi ya 2 msimu uliopita
na bado anaamini siuliona sub ya Mctominay alijua atamsaidia akawa anapiga pasi nje kwa kibendera
 
Back
Top Bottom