toobiter
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 1,422
- 2,791
mtsawazisha chiefHivi tukipigwa mechi zote 5 au zaidi za mwanzo itakuwaje?
mtsawazisha chiefHivi tukipigwa mechi zote 5 au zaidi za mwanzo itakuwaje?
hii hii mkuu,jamaa wanatia sana hurumaKwa timu gani mzee![]()
breeeeeeentford2 huko
zadi ya balaaaaBalaa hii
Wameongeza, mlima unazidi kuwa mrefu kupanda.mtsawazisha chief
De gea ameshachoka apigwe kwanza benchHuyu degea kweli anatakiwa auzwe
Ndio kuanzisha gan mpira vile au amefanya makusudi![]()
10hag akiwachekea watamwotesha nywele