Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Screenshot_20220704-210358.png

Future 🐐
 
NILIWAHI KUSEMA WIKI ILIYOPITA KWASASA DUNIANI KUNA UHABA MKUBWA WA CF ,

IWAPO CR7 ANAONDOKA MAN U NA KWENDA NJE YA EPL , NI WAZI MAN U NA CHELSEA ZINABAKI BILA CF WA MAANA ,ITAWALAZIMU KUTUMIA FALSE 9 .

Kitu ambacho Ni Risk kwa epl, Ni pep na Klopp ndio walithubutu kufanya hivo ,Lakin nao wamerudi sokon wamenunua typically CF ,Halland na Nunez.

Arsenal katika Scout yao walikuwa na majina ya Gabriel Jesus akiwa top kabisa kwenye list, kulikuwa na Gianluca Scamaca , Victor Osmhen ,

Kwa uhaba wa CF uliopo barani Ulaya iliwalazimu Liverpool waweke mezan karibu €80m kwa Nunez ambaye ana msimu mmoja mzuri ,

Ukienda pale Napoli , ukamuulizia Victor Osmhen a CF wakawaida tu basi Rais wa Napoli Ndugu Aurelio De Laurentiis anakwambia weka mezani €100m .

Ukienda pale Sasuolo ukamuulizia bwana mdogo Gianluca Scamaca ambaye bado haja prove chochote Cha maana utaambiwa weka mezani €50m.

Hii inaonesha kwasasa Kuna uhaba wa CF duniani, hii imepelekea Arsenal wasisite kutoa €50m(£45m) kwa Gabriel JESUS, kwanza ana uzoefu na epl ,pili Ni winner akiwa na mataji manne ya epl .

Mwisho had Jumapili iliyopita bado Kuna klabu zinahaha kusaka CF , zilimfata Gabriel Jesus aachane na Arsenal kabla hajatangazwa.

Fabrizio Romano anasema

Three clubs tried to hijack Gabriel Jesus deal until Sunday, June 26… but he always wanted Arsenal as priority. Now it’s finally official and confirmed. #AFC

Signed last week, delivered today. £45m to Man City. Contract until June 2027.View attachment 2281181
Ben Yedder no 9 Nzuri sana jamaa hajawahi Funga Goli chini ya 18 toka 2018, Monaco wamemchukua Belloti pengine akawekwa sokoni.
 
NILIWAHI KUSEMA WIKI ILIYOPITA KWASASA DUNIANI KUNA UHABA MKUBWA WA CF ,

IWAPO CR7 ANAONDOKA MAN U NA KWENDA NJE YA EPL , NI WAZI MAN U NA CHELSEA ZINABAKI BILA CF WA MAANA ,ITAWALAZIMU KUTUMIA FALSE 9 .

Kitu ambacho Ni Risk kwa epl, Ni pep na Klopp ndio walithubutu kufanya hivo ,Lakin nao wamerudi sokon wamenunua typically CF ,Halland na Nunez.

Arsenal katika Scout yao walikuwa na majina ya Gabriel Jesus akiwa top kabisa kwenye list, kulikuwa na Gianluca Scamaca , Victor Osmhen ,

Kwa uhaba wa CF uliopo barani Ulaya iliwalazimu Liverpool waweke mezan karibu €80m kwa Nunez ambaye ana msimu mmoja mzuri ,

Ukienda pale Napoli , ukamuulizia Victor Osmhen a CF wakawaida tu basi Rais wa Napoli Ndugu Aurelio De Laurentiis anakwambia weka mezani €100m .

Ukienda pale Sasuolo ukamuulizia bwana mdogo Gianluca Scamaca ambaye bado haja prove chochote Cha maana utaambiwa weka mezani €50m.

Hii inaonesha kwasasa Kuna uhaba wa CF duniani, hii imepelekea Arsenal wasisite kutoa €50m(£45m) kwa Gabriel JESUS, kwanza ana uzoefu na epl ,pili Ni winner akiwa na mataji manne ya epl .

Mwisho had Jumapili iliyopita bado Kuna klabu zinahaha kusaka CF , zilimfata Gabriel Jesus aachane na Arsenal kabla hajatangazwa.

Fabrizio Romano anasema

Three clubs tried to hijack Gabriel Jesus deal until Sunday, June 26… but he always wanted Arsenal as priority. Now it’s finally official and confirmed. #AFC

Signed last week, delivered today. £45m to Man City. Contract until June 2027.View attachment 2281181
1. Lautaro Martinez
2. Andrea Belloti
3. Patrick Schick
 
Sijui kwa nini sajili za awamu hii zinanifurahisha except De Jong.

Fundi kaja. Huwa navutiwa sana na sajili zisizokuwa na mlengo wa kibiashara nyuma yake. Malacia & Eriksen - genius signings!

Hawa ni aina ya wachezaji wasiokuja na ego bali wanakuja kufanya kazi.
 

Attachments

  • Eriksen.png
    Eriksen.png
    7 KB · Views: 15
Sijui kwa nini sajili za awamu hii zinanifurahisha except De Jong.

Fundi kaja. Huwa navutiwa sana na sajili zisizokuwa na mlengo wa kibiashara nyuma yake. Malacia & Eriksen - genius signings!

Hawa ni aina ya wachezaji wasiokuja na ego bali wanakuja kufanya kazi.
Man Utd ni brand kubwa tu.

Automatically mchezaji anakuwa star.

Nimefurahishwa na sajili zenye tactics ndani yake..
 
Huwezi kuelewa.Hujui kama Ronaldo ndiye aliye mfukuza Ole kazi. Au mahaba yamedizi
Ama kweli mashabiki wa kibongo ni watu wasiojielewa na wala hawajui wanataka nini, msimu uliopita OLE OUT OLE OUT OLE OUT zilikuwa nyingi sana humu na huko ulaya kabla hata Man Utd haijajua kama kutakuwa na uwezekano wa kumsajili Ronaldo.

Leo u awezaje kusema kuwa Ronaldo ndiye aliye mfukuza Ole pale Man utd?

Njooni na hoja za maana mnapoamua kuelezea ni kwanini Cr7 ndiye chanzo cha kufeli kwa Man Utd msimu uliopita, na sio hoja za kijinga kama hizo.
 
Acha ujinga kijana.

Pale klabuni hakuna wa ku-replace magoli ya Ronaldo.

Hakuna mchezaji mwenye ari ya uchezaji kama Ronaldo.

Akipata timu yenye wachezaji sahihi anakupa magoli 25 bila shida pamoja na uzee wake.
Shida ni kwamba watu wameendekeza ushabiki wa ki-hoyahoya , mtu anakwambia eti Ronaldo ndo kfukuzisha Ole wakati hashtag za OLE OUT zilianza mapema tu hata kabla Ron hajaja Man Utd.


Mimi nataka apatikane mtu wa kueleza kwa kina (kiufundi) ni kivipi Cr7 kaifelisha Utd ya sasa, na je tatizo la midfield na backline (ambayo ndo uozo wa Utd), nayo tumtwishe Ronaldo?
 
Mentorship ipi anatoa Ronaldo zaidi ya kuharibu career za madogo, wakati anafika hapo kulikuwa tayari kuna wide observations juu ya mapungufu ya Rashfod and Martial, character weaknesses, aliwasaidia vipi? sanasana kasababisha wamepotea zaidi, ameua kabisa their inner being.

hata yule alipiga girl friend wake, yawezekana ni kutokana na kuwa frustrated na behaviour the Ronaldo, sababu immedietely alipofika waliingia kwenye migogoro naye, mentor anagombana na the youngest player in the squad?
Hapa sasa umeamua kuja na hoja za kichekechea kabisa na yoyote mwenye akili hahitaji kutumia muda mwigi kujua kwamba una nongwa zako juu ya CR7, either ni team Messi au whatever.

Hivi unawezaje kuhusianisha tukio la Mason kupiga demu wake na uwepo wa Man Utd pale Manchester? Hii hoja ni ya kitoto kabisa, kwahiyo ikitokea wapo wanaonyimwa unyumba nao itakuwa ni kwasababu ya Robaldo?

Mimi nipo hapa kusubiri atakeeleza kiufundi ni kwanini Ronaldo ndiye aliyeifelisha Utd licha ya kuchangia mabao mengi kuliko mchezaji yoyote, anahusika vipi na magoli mengi tuliyoruhusu msimu huu, anahusika vipi na midfield yetu iliyooza?


Nyinyi jengeni team tu ila hizi habari za kutafuta mtu wa kumuegemezea zigo la mavi ni utoto tu, Ile Utd ilikuwa imeoza kuanzia nyuma, katikati na huko mbele alibaki Ronaldo tu mwenye makali.
 
Back
Top Bottom