Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,138
- 43,832
Full fit shaw ni mzuri, sema si Unamjua Shaw? Ila atapata dakika za kutosha kucheza.Unamuona akianza direct kwenye first XI??
Full fit shaw ni mzuri, sema si Unamjua Shaw? Ila atapata dakika za kutosha kucheza.Unamuona akianza direct kwenye first XI??
Na tutanenepa hadi mkonde.
Nakubaliana na wewe mkuu, CR7 aondoke ili tuchukue EPL maana tangu 2013 amkekuwa akisababisha tukose kombe.Hajafika hata pre-season..aondoke tujue ni namna gani tutajenga timu yetu.
Kijana kijana kijana EPL kbsaNakubaliana na wewe mkuu, CR7 aondoke ili tuchukue EPL maana tangu 2013 amkekuwa akisababisha tukose kombe.





Acha maneno ya kwenye kanga..wewe ni mtu mzimaNakubaliana na wewe mkuu, CR7 aondoke ili tuchukue EPL maana tangu 2013 amkekuwa akisababisha tukose kombe.
Kama umeona kanga sehemu yoyote ile kwenye comment yangu, sio vibaya ukivaa.Acha maneno ya kwenye kanga..wewe ni mtu mzima
Mkuu angalia hii video kama una muda dakika 3 tu
Anapiga cross ila anaonekana anaprefer pasi zaidi kuliko cross. Pia hasubirii afike box la wapinzani, tuna misingi mbio wa kutosha atasaidia.
Cr7 anafikiria tu Record, kivyovyote hawezi weka record Epl na Man U tofauti na UCL.Cr7 akiacha mapepe atakuwa anapigilia Sana. Maana dogo anajua kukunjua. Muhimu ni aina ya mwalimu kama unamuamini





Anaruka ruka tu huyo anatingisha kiberitiNini tena wakuuView attachment 2282598
Wana njaa hawaNini tena wakuuView attachment 2282598
Barca ya sasa inayosubiri wachezaji wa free agent itapata wapi jeuri ya kugoma kuuza mchezaji?Anaruka ruka tu huyo anatingisha kiberiti
Acha apate challenge kidogo kazi yake ni kunenepa tu. Hii timu ufaza mwingi sana.Full fit shaw ni mzuri, sema si Unamjua Shaw? Ila atapata dakika za kutosha kucheza.
Uyo shaw nae ni muda wakumuacha waje vijana wengine kulipa chama uhaiAcha apate challenge kidogo kazi yake ni kunenepa tu. Hii timu ufaza mwingi sana.
Hama timu Acha kuleta utotoHuyo jamaaa pia hajali afya yake ya moyo. Imagine man u tunaongoza 1-0 dakika ya 90+. HALafu li maguire linajifunga own goal.
Si pacemaker itatingishika moyoni. Ilibidi aende timu kama bayern,psg,au mancity ambapo atacheza mpira kwa ku lelax,man u ni hatari ka afya yake,sijui nani anamshauri huyu mtu.
umeiona ile taarifa iliovujishwa na gazeti la MARCA kuhusu mkataba wa frenkie de jong. Barcelona ni washenzi sanaAnaruka ruka tu huyo anatingisha kiberiti