Mkuu hivi unamjua vizuri ericksen wewe au kwakuwa alikuwa anachezea timu za kawaida nawewe una muona wa kawaida.tokea wamsajili Ericksen mie basi tena labda tusubirie msimu wa 2023/2024
Control wise yupo vizuriNilivyoangalia clip zake anacheza kama Wan Bissaka
Unamuona akianza direct kwenye first XI??Ndio mkuu ni kama AWB na yeye pia ni press resistant, anajua kudrible na kutoroka, anakaba etc, sema anajua kupiga pasi nzuri pia, na ana speed sana. Hivyo fikiria kama Awb+rashford pamoja.
Hajafika hata pre-season..aondoke tujue ni namna gani tutajenga timu yetu.Katika kitu chenye natamani nikiona kinatokea ni ronaldo kuondoka Manchester united yani ndakuwa na furaha sana haiwezekani toka aje yeye wachezaji wengine waache kufung washuke na viwango.
Full fit shaw ni mzuri, sema si Unamjua Shaw? Ila atapata dakika za kutosha kucheza.Unamuona akianza direct kwenye first XI??
Na tutanenepa hadi mkonde.
Nakubaliana na wewe mkuu, CR7 aondoke ili tuchukue EPL maana tangu 2013 amkekuwa akisababisha tukose kombe.Hajafika hata pre-season..aondoke tujue ni namna gani tutajenga timu yetu.
Kijana kijana kijana EPL kbsaNakubaliana na wewe mkuu, CR7 aondoke ili tuchukue EPL maana tangu 2013 amkekuwa akisababisha tukose kombe.





Acha maneno ya kwenye kanga..wewe ni mtu mzimaNakubaliana na wewe mkuu, CR7 aondoke ili tuchukue EPL maana tangu 2013 amkekuwa akisababisha tukose kombe.
Kama umeona kanga sehemu yoyote ile kwenye comment yangu, sio vibaya ukivaa.Acha maneno ya kwenye kanga..wewe ni mtu mzima
Mkuu angalia hii video kama una muda dakika 3 tu
Anapiga cross ila anaonekana anaprefer pasi zaidi kuliko cross. Pia hasubirii afike box la wapinzani, tuna misingi mbio wa kutosha atasaidia.
Cr7 anafikiria tu Record, kivyovyote hawezi weka record Epl na Man U tofauti na UCL.Cr7 akiacha mapepe atakuwa anapigilia Sana. Maana dogo anajua kukunjua. Muhimu ni aina ya mwalimu kama unamuamini





Anaruka ruka tu huyo anatingisha kiberitiNini tena wakuuView attachment 2282598