Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

tokea wamsajili Ericksen mie basi tena labda tusubirie msimu wa 2023/2024
Mkuu hivi unamjua vizuri ericksen wewe au kwakuwa alikuwa anachezea timu za kawaida nawewe una muona wa kawaida.

Jaama ni fundi balah kule inter milan alipambana hadi walipata ubingwa mzee sio wa mchezo mchezo uyo mwamba

Tatizo watu mnapenda kusikia majina makubwa makubwa tu mm kwangu naona ericksen ni mkali kuliko hata uyo de jong wenu.
 
Ndio mkuu ni kama AWB na yeye pia ni press resistant, anajua kudrible na kutoroka, anakaba etc, sema anajua kupiga pasi nzuri pia, na ana speed sana. Hivyo fikiria kama Awb+rashford pamoja.
Unamuona akianza direct kwenye first XI??
 
Katika kitu chenye natamani nikiona kinatokea ni ronaldo kuondoka Manchester united yani ndakuwa na furaha sana haiwezekani toka aje yeye wachezaji wengine waache kufung washuke na viwango.
Hajafika hata pre-season..aondoke tujue ni namna gani tutajenga timu yetu.
 
Jajajaj
IMG-20220706-WA0198.jpg


Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
 
Ikitokea Martinez akasainiwa Man u itakua imeua ndege wawili kwa jiwe moja maake pia game nyingi za uefa alicheza kama defensive midfield....
Mdogo mdogo naanza kumuelewa Ten hag anavopick wachezaji....
Trust the process
 
Wakati wanaume wote duniani wanacheza UCL Kuna mbwa mmoja anajiita goat atakuwa anacheza Europa league na kina selitiki ,renjazi ,furakifuti ,sipatikomosiko Tena siku za alihamisi aiseeee
 
Back
Top Bottom