Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 14,000
- 27,974
Wa kwetu wengi hawauziki na hata wale ambao kidogo wanaweza kuuzika sokoni, bado tunawaona kama moyo wa club yetu. Hapo kikosi cha kwanza hakuna mchezaji ambaye tunawaza kumuuza hapo kwa 60M.Manchester city wanauza wachezaji wao hususani kutoka team B kwa kiwango cha juu kabisa mpaka naingiwa na wivu, wameshakusanya paundi million 26 kwa mauzo ya wachezaji wawili walionunuliwa na southampton na wote wanatoka team B. wameshapata paundi million 40 kwa gabriel jesus na wanaelekea kupata paundi million kwa sterling. pia wamemuuza mjapan kwa bei ya jumla kwenda borussia. SISI TUNASHINDWA KUWAUZA HATA WA KIKOSI CHA KWANZA
Unajua ifike mahala tukubali tu kuwa tuna kikosi chenye wachezaji avarage sana, labda kama ujio wa ETH utaboost morali yao.

: 
