Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Acha ujinga kijana.

Pale klabuni hakuna wa ku-replace magoli ya Ronaldo.

Hakuna mchezaji mwenye ari ya uchezaji kama Ronaldo.

Akipata timu yenye wachezaji sahihi anakupa magoli 25 bila shida pamoja na uzee wake.
Ndo yale yale ya kung'ang'ania wachezaji kama Pogba,mtu akitaka kusepa mwache aende tu.
Hii europa inatucost sana,so tusiwe wabishi saaaana,tutafute wachezaji wa kawaida tu,na tunahitaji kujenga timu so tunahitaj kikos cha angalau misimu mitatu.
Ingawa hoja yake kama ni kutaka usajili,ni hoja nzuri,inshu ni wachezaji wa aina gani??kama ni majina makubwa itakua yale yale...EGO EGO EGO pia inachangia
 
Acha ujinga kijana.

Pale klabuni hakuna wa ku-replace magoli ya Ronaldo.

Hakuna mchezaji mwenye ari ya uchezaji kama Ronaldo.

Akipata timu yenye wachezaji sahihi anakupa magoli 25 bila shida pamoja na uzee wake.
Inshort United hakuna natural striker zaidi ya Ronaldo, akiondoka inabidi asajiliwe mwingine ambaye hawezi kukupa ubora kama Ronaldo ndani ya muda mfupi. Kocha anajua wazi na anamuhitaji.

Ila uwepo wa Ronaldo unamnyima ETH muda wa kujenga timu kwa kutaka short term success. Ronaldo anajua United wanamtumia kwa muda mfupi wakati yeye hapati chochote zaidi ya pesa, so yupo sawa kuondoka.
 
Hahahaa Jombaa u're disrespecting the legend. Una maoni kama ya Wayne Rooney alisema Pogba na Ronaldo wanapaswa kuondoka ili kujenga timu upya.

Binafsi namuelewa Ronaldo kuomba kuondoka. Faida yake kikosini ni zaidi ya uchezaji wake bali pia anatoa mchango mkubwa sana wa mentorship kwa vijana wadogo kama Alejandro Garnacho, Jadon Sancho.

Japokuwa kibinafsi namkubali sana Ronaldo na ningependa abaki ila kwa maslai mapana ya timu naombea aondoke, hii taarifa ni kama baraka iliyojificha kama kweli ataondoka. Na mtu atakayefurahia zaidi atakuwa ni Ten Hag.

Mfumo wa EtH naona kabisa Ronaldo angeweza kuwa kikwazo kwake. Na hata kama atabaki sioni akimuongeza mkataba mwakani.
Mentorship ipi anatoa Ronaldo zaidi ya kuharibu career za madogo, wakati anafika hapo kulikuwa tayari kuna wide observations juu ya mapungufu ya Rashfod and Martial, character weaknesses, aliwasaidia vipi? sanasana kasababisha wamepotea zaidi, ameua kabisa their inner being.

hata yule alipiga girl friend wake, yawezekana ni kutokana na kuwa frustrated na behaviour the Ronaldo, sababu immedietely alipofika waliingia kwenye migogoro naye, mentor anagombana na the youngest player in the squad?
 
Inshort United hakuna natural striker zaidi ya Ronaldo, akiondoka inabidi asajiliwe mwingine ambaye hawezi kukupa ubora kama Ronaldo ndani ya muda mfupi. Kocha anajua wazi na anamuhitaji.

Ila uwepo wa Ronaldo unamnyima ETH muda wa kujenga timu kwa kutaka short term success. Ronaldo anajua United wanamtumia kwa muda mfupi wakati yeye hapati chochote zaidi ya pesa, so yupo sawa kuondoka.
Ubora upi alileta Ronaldo au ustriker upi?

Msimu wa 2019/20 Man Utd ilifunga magoli 66
msimu wa mwaka 2020/21 ilifunga magoli 73

this was an upward trend na timu ikamaliza ligi ikiwa nafasi ya pili, then akaja striker mleta magoli

msimu wa mwaka 2021/22 ikafunga magoli 57.

Making 2021/22 among the worst in goal scored record post fergie error.

sababu
2018/19 timu ilifunga magoli 65.
2017/18 timu ilifunga magoli 68.

hivyo expectation, false expectation iliyokuwapo kwamba ataleta magoli, na hizi propositions kwamba oohoo ni top goal scorer (as if timu zingine hazina top scorers) na kwamba alipokuwa hachezi timu ilikuwa haifungi, zote ni uzandiki tu.

Ronaldo made the team collectively weak in every aspect.
 
Simon stone na laurie whitwell wote wameripoti hii taarifa ya ronaldo, bila ya kumsahau mzee wa here we go ambaye mwanzoni nadhani alikanusha hii taarifa (sina uhakika). Mara nyingi fabrizio anafeli kwenye ishu nyeti au za ndani zaidi za klabu hususani manchester united
Upo sahihi ndugu
 
Ubora upi alileta Ronaldo au ustriker upi?

Msimu wa 2019/20 Man Utd ilifunga magoli 66
msimu wa mwaka 2020/21 ilifunga magoli 73

this was an upward trend na timu ikamaliza ligi ikiwa nafasi ya pili, then akaja striker mleta magoli

msimu wa mwaka 2021/22 ikafunga magoli 57.

Making 2021/22 among the worst in goal scored record post fergie error.

sababu
2018/19 timu ilifunga magoli 65.
2017/18 timu ilifunga magoli 68.

hivyo expectation, false expectation iliyokuwapo kwamba ataleta magoli, na hizi propositions kwamba oohoo ni top goal scorer (as if timu zingine hazina top scorers) na kwamba alipokuwa hachezi timu ilikuwa haifungi, zote ni uzandiki tu.

Ronaldo made the team collectively weak in every aspect.
Simply a deluded Manchester United fan.
 
Exactly what he brought to Man Utd.huyu alikuwa ni kirusi kulipo Pogba, save for uzungu wake.
Man you have done nothing for Manchester United Football Club ,Cristiano Ronaldo has contribute a lot in United/football history
 
Ndo yale yale ya kung'ang'ania wachezaji kama Pogba,mtu akitaka kusepa mwache aende tu.
Hii europa inatucost sana,so tusiwe wabishi saaaana,tutafute wachezaji wa kawaida tu,na tunahitaji kujenga timu so tunahitaj kikos cha angalau misimu mitatu.
Ingawa hoja yake kama ni kutaka usajili,ni hoja nzuri,inshu ni wachezaji wa aina gani??kama ni majina makubwa itakua yale yale...EGO EGO EGO pia inachangia
Kuna replacement plan ya Ronaldo?

Mpaka sasa ku-sign midfield tunasua sua, replacement tutaipata msimu huu?
 
Kuna replacement plan ya Ronaldo?

Mpaka sasa ku-sign midfield tunasua sua, replacement tutaipata msimu huu?
usifikirie tu juu ya replacement ya Ronaldo, kama yeye Ronaldo anavyotishia kuondoka kama timu haitosajiri waweza kuta wachezaji wanaokuwa approached wanasitasita kusign sababu ya presence ya Ronaldo pia.
 
Inshort United hakuna natural striker zaidi ya Ronaldo, akiondoka inabidi asajiliwe mwingine ambaye hawezi kukupa ubora kama Ronaldo ndani ya muda mfupi. Kocha anajua wazi na anamuhitaji.

Ila uwepo wa Ronaldo unamnyima ETH muda wa kujenga timu kwa kutaka short term success. Ronaldo anajua United wanamtumia kwa muda mfupi wakati yeye hapati chochote zaidi ya pesa, so yupo sawa kuondoka.

Mbona mnamsemea ETH?

What if ronaldo ni key player wa ETH?

Mnaongelea mchezaji anaekupa magoli 25 ya uhakika, nani wa kureplace? Rashford? Martial?

Mpaka sasa kusajili kunasumbua, sasa kupata striker wa kureplace ronaldo mnaongelea £100M kwenda mbele. Wakati DeJong wa £85M anatutoa jasho mwezi sasa.

United ya sasa haina hela, haina influence, haina Champions League. Hakuna mchezaji serious anaekuja, labda afuate mshahara mkubwa tu.

Kuweni serious guys.
 
sasa unabisha kwamba tukiwa na stiker Ronaldo timu ilifunga magoli 57? na kwamba misimu minne nyuma huyo Ronaldo aliwa hayupo timu ilifunga magoli magoli zaidi ya hayo?

au facts ni yale unayotaka kuyasikia wewe?
 
usifikirie tu juu ya replacement ya Ronaldo, kama yeye Ronaldo anavyotishia kuondoka kama timu haitosajiri waweza kuta wachezaji wanaokuwa approached wanasitasita kusign sababu ya presence ya Ronaldo pia.
Kina Eriksen, Frenk De Jong wanasita ku-sign sababu ya Ronaldo?
 
Mbona mnamsemea ETH?

What if ronaldo ni key player wa ETH?

Mnaongelea mchezaji anaekupa magoli 25 ya uhakika, nani wa kureplace? Rashford? Martial?

Mpaka sasa kusajili kunasumbua, sasa kupata striker wa kureplace ronaldo mnaongelea £100M kwenda mbele. Wakati DeJong wa £85M anatutoa jasho mwezi sasa.

United ya sasa haina hela, haina influence, haina Champions League. Hakuna mchezaji serious anaekuja, labda afuate mshahara mkubwa tu.

Kuweni serious guys.
Chagua moja.
1. Man u yenye Ronaldo anayefunga magoli 30 na timu kwa ujumla inafunga magoli 60.
2. Man u isiyo na ronaldo na mchezaji mwenye magoli mengi afunge magoli 16 na timu kwa ujumla imefunga magoli 80.
 
Kina Eriksen, Frenk De Jong wanasita ku-sign sababu ya Ronaldo?
I have told you to think about it. usiwe kama mtoto wa chekechekea. tofauti yako na mbuzi ni uwezo wako wa kufikiria, UTUMIE.
 
Ubora upi alileta Ronaldo au ustriker upi?

Msimu wa 2019/20 Man Utd ilifunga magoli 66
msimu wa mwaka 2020/21 ilifunga magoli 73

this was an upward trend na timu ikamaliza ligi ikiwa nafasi ya pili, then akaja striker mleta magoli

msimu wa mwaka 2021/22 ikafunga magoli 57.

Making 2021/22 among the worst in goal scored record post fergie error.

sababu
2018/19 timu ilifunga magoli 65.
2017/18 timu ilifunga magoli 68.

hivyo expectation, false expectation iliyokuwapo kwamba ataleta magoli, na hizi propositions kwamba oohoo ni top goal scorer (as if timu zingine hazina top scorers) na kwamba alipokuwa hachezi timu ilikuwa haifungi, zote ni uzandiki tu.

Ronaldo made the team collectively weak in every aspect.
Tulifanya vibaya kama timu na sio sababu ya Ronaldo.

Tulikuwa exposed kwasababu hakutufanya vizuri kwenye baadhi ya maeneo. Midfield, beki, wings.

Maguire alikuwa anatoa maboko, midfield ilikuwa inakatika almost kila match.

Hows that the problem with ronaldo?
 
sasa unabisha kwamba tukiwa na stiker Ronaldo timu ilifunga magoli 57? na kwamba misimu minne nyuma huyo Ronaldo aliwa hayupo timu ilifunga magoli magoli zaidi ya hayo?

au facts ni yale unayotaka kuyasikia wewe?
Hilo sijabisha ila bado sijaona points za msingi kuwa Ronaldo ni chanzo cha timu kufanya vibaya msimu uliopita. Just how?
 
Back
Top Bottom