Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

huyu Ronaldo nilijaribu kumuelezea kutokea kwenye angle ambayo wengi hawakutaka kuitumia lakini nikiaishia kuitwa pro mesi na kutolewa kauli zingine za dhihaka.

huyu alichangia kwa kiasi kikubwa kuharibu trend ya mafanikio ya timu iliyopata msimu wa 2020/21, mchezaji wa aina yake hakuwa kwenye plans za OLE, na kimsingi alikuwa mzigo kwa timu kuliko msaada.

huyu alikwenda pale akiamini atatembelea nyota ya mafanikio ya 2020/21 kupata kick ya kuiwezesha timu kuchukua makombe, akaishia kumvuruga kocha na kila mchezaji.

kama ten hag anajielewa auachilie huu mzigo uondoke with immediate effect
Hahahaa Jombaa u're disrespecting the legend. Una maoni kama ya Wayne Rooney alisema Pogba na Ronaldo wanapaswa kuondoka ili kujenga timu upya.

Binafsi namuelewa Ronaldo kuomba kuondoka. Faida yake kikosini ni zaidi ya uchezaji wake bali pia anatoa mchango mkubwa sana wa mentorship kwa vijana wadogo kama Alejandro Garnacho, Jadon Sancho.

Japokuwa kibinafsi namkubali sana Ronaldo na ningependa abaki ila kwa maslai mapana ya timu naombea aondoke, hii taarifa ni kama baraka iliyojificha kama kweli ataondoka. Na mtu atakayefurahia zaidi atakuwa ni Ten Hag.

Mfumo wa EtH naona kabisa Ronaldo angeweza kuwa kikwazo kwake. Na hata kama atabaki sioni akimuongeza mkataba mwakani.
 
Bado nashindwa kuielewa mpaka leo hii nadharia yako kuwa Ronaldo ndiyo aliharibu timu msimu uliopita wakati wote tulishuhudia baadhi ya mechi bila Ronaldo nini kilitokea. Hivi Ronaldo alichangia vipi defense yetu kuwa mbovu?

Last season was a failure. Mnalazimisha tu kutumia kivuli cha Ronaldo kumbebesha fuko la misumari. Hakuna kocha au timu anakubali itakubali kumuachia mchezaji wao bora kirahisi huku bado ana mkataba, akilazimisha ndiyo atafunguliwa milango ila kishingo upande. Usitarajie Ten Hag kuwa na mawazo kama yako.
Huwezi kuelewa.Hujui kama Ronaldo ndiye aliye mfukuza Ole kazi. Au mahaba yamedizi
 
Simon stone na laurie whitwell wote wameripoti hii taarifa ya ronaldo, bila ya kumsahau mzee wa here we go ambaye mwanzoni nadhani alikanusha hii taarifa (sina uhakika). Mara nyingi fabrizio anafeli kwenye ishu nyeti au za ndani zaidi za klabu hususani manchester united
Hizi tetesi zilianza baada ya mazungumzo ya EtH na Ronaldo mwenyewe. Inasemekana Ronaldo ali-expect timu itaingia sokani kwa kishindo ila kinyume chake EtH alihitaji zaidi kuwaangalia wachezaji waliopo na kuongeza wachache with specific recommendations akiwemo De Jong.

Kabla ya EtH kupewa timu priority ya bodi na DoF dirisha hili ilikuwa kuongeza mshambuliaji ila Ten Hag alipochukuwa timu kipaumbele chake ni Kiungo tena na jina kabisa kawapa nani anamtaka.
 
Hivi mnaposema hakuwa kwenye plan mnamaanisha nini? Timu ilihitaji magoli na Ronaldo ni striker. Iweje Cavani ambaye wote na Ronaldo wapo kwenye 30s mmoja nusu msimu yupo majeruhi halafu a fit Cristiano Ronaldo hayupo kwenye plan!!!
Hayo ni mahaba juu ya Ronaldo ndiyo yanayo kusumbua. Na Kwa taarifa yako ETH hato mtumia mara Kwa mara Ronaldo hata kama akibaki Kwa msimu huu.Na hicho cr7 kashakiona ndo maana maana ETH hataki ujinga
IMG_20220626_080228_179.jpg
 
Bado nashindwa kuielewa mpaka leo hii nadharia yako kuwa Ronaldo ndiyo aliharibu timu msimu uliopita wakati wote tulishuhudia baadhi ya mechi bila Ronaldo nini kilitokea. Hivi Ronaldo alichangia vipi defense yetu kuwa mbovu?

Last season was a failure. Mnalazimisha tu kutumia kivuli cha Ronaldo kumbebesha fuko la misumari. Hakuna kocha au timu anakubali itakubali kumuachia mchezaji wao bora kirahisi huku bado ana mkataba, akilazimisha ndiyo atafunguliwa milango ila kishingo upande. Usitarajie Ten Hag kuwa na mawazo kama yako.
Siku aliyosajiliwa nilisema wazi haukuwa usajili mzuri kwa United.
 
Wakati mnatafakari kuhusu Kauli ya CR7, Kasikilizeni Interview ya Laporta leo , kasema Dejong anabaki


Barça president Laporta on de Jong: “There are many clubs that want him, not just Man United. We have no intention of selling him, he wants to stay”. 🚨 #FCB

“I'm going to do everything to keep Frenkie, but there’s also a salary issue and that would have to be adjusted”.

#MUFC https://t.co/zG4mmo6Rfj
hiyo paragraph ya mwisho umeielewa vipi, ok barca wanaweza kukataa pesa ya kumuuza de jong ila hawatakubali de jong aendelee kuramba euro laki 4 hadi 5 kwa wiki.
 
Hayo ni mahaba juu ya Ronaldo ndiyo yanayo kusumbua. Na Kwa taarifa yako ETH hato mtumia mara Kwa mara Ronaldo hata kama akibaki Kwa msimu huu.Na hicho cr7 kashakiona ndo maana maana ETH hataki ujinga View attachment 2279543
ETH kasema wapi? Shida yenu ndiyo hiyo eleza ni kivipi Ronaldo kachangia tumekuwa na defense na midfield mbovu msimu uliopita.

Siyo timu wala kocha watamuacha Ronaldo aondoke kirahisi bado ana mkataba na aki-force ataachiwa ila siyo kirahisi tu.
 
Huwezi kuelewa.Hujui kama Ronaldo ndiye aliye mfukuza Ole kazi. Au mahaba yamedizi
Bado hauna points za msingi kivipi Ronaldo ni tatizo United. Kila mtu anajua kwanini Solskjaer alifukuzwa kama Ronaldo ndiyo alimuajiri Solskjaer sawa!
 
Kutaka kuondoka kwa Ronaldo ni matusi makubwa kwa Glazers na Management.

Kama timu inasuasua kuuza wachezaji, wataweza kuleta wachezaji wenye akili?
 
Kama kuondoka aondoke tu Cr7 uwa ana Ego flani ivi na mfaa maji haishi kutapa ata ayo magoli 18 ni kwasababu walimtengea tu mbona 2020/2021 na kina Rashford tukamaliza wa pili..AKITAKA ASEPE AKITAKA ABAKI
Acha ujinga kijana.

Pale klabuni hakuna wa ku-replace magoli ya Ronaldo.

Hakuna mchezaji mwenye ari ya uchezaji kama Ronaldo.

Akipata timu yenye wachezaji sahihi anakupa magoli 25 bila shida pamoja na uzee wake.
 
Acha ujinga kijana.

Pale klabuni hakuna wa ku-replace magoli ya Ronaldo.

Hakuna mchezaji mwenye ari ya uchezaji kama Ronaldo.

Akipata timu yenye wachezaji sahihi anakupa magoli 25 bila shida pamoja na uzee wake.
Ndo yale yale ya kung'ang'ania wachezaji kama Pogba,mtu akitaka kusepa mwache aende tu.
Hii europa inatucost sana,so tusiwe wabishi saaaana,tutafute wachezaji wa kawaida tu,na tunahitaji kujenga timu so tunahitaj kikos cha angalau misimu mitatu.
Ingawa hoja yake kama ni kutaka usajili,ni hoja nzuri,inshu ni wachezaji wa aina gani??kama ni majina makubwa itakua yale yale...EGO EGO EGO pia inachangia
 
Acha ujinga kijana.

Pale klabuni hakuna wa ku-replace magoli ya Ronaldo.

Hakuna mchezaji mwenye ari ya uchezaji kama Ronaldo.

Akipata timu yenye wachezaji sahihi anakupa magoli 25 bila shida pamoja na uzee wake.
Inshort United hakuna natural striker zaidi ya Ronaldo, akiondoka inabidi asajiliwe mwingine ambaye hawezi kukupa ubora kama Ronaldo ndani ya muda mfupi. Kocha anajua wazi na anamuhitaji.

Ila uwepo wa Ronaldo unamnyima ETH muda wa kujenga timu kwa kutaka short term success. Ronaldo anajua United wanamtumia kwa muda mfupi wakati yeye hapati chochote zaidi ya pesa, so yupo sawa kuondoka.
 
Hahahaa Jombaa u're disrespecting the legend. Una maoni kama ya Wayne Rooney alisema Pogba na Ronaldo wanapaswa kuondoka ili kujenga timu upya.

Binafsi namuelewa Ronaldo kuomba kuondoka. Faida yake kikosini ni zaidi ya uchezaji wake bali pia anatoa mchango mkubwa sana wa mentorship kwa vijana wadogo kama Alejandro Garnacho, Jadon Sancho.

Japokuwa kibinafsi namkubali sana Ronaldo na ningependa abaki ila kwa maslai mapana ya timu naombea aondoke, hii taarifa ni kama baraka iliyojificha kama kweli ataondoka. Na mtu atakayefurahia zaidi atakuwa ni Ten Hag.

Mfumo wa EtH naona kabisa Ronaldo angeweza kuwa kikwazo kwake. Na hata kama atabaki sioni akimuongeza mkataba mwakani.
Mentorship ipi anatoa Ronaldo zaidi ya kuharibu career za madogo, wakati anafika hapo kulikuwa tayari kuna wide observations juu ya mapungufu ya Rashfod and Martial, character weaknesses, aliwasaidia vipi? sanasana kasababisha wamepotea zaidi, ameua kabisa their inner being.

hata yule alipiga girl friend wake, yawezekana ni kutokana na kuwa frustrated na behaviour the Ronaldo, sababu immedietely alipofika waliingia kwenye migogoro naye, mentor anagombana na the youngest player in the squad?
 
Inshort United hakuna natural striker zaidi ya Ronaldo, akiondoka inabidi asajiliwe mwingine ambaye hawezi kukupa ubora kama Ronaldo ndani ya muda mfupi. Kocha anajua wazi na anamuhitaji.

Ila uwepo wa Ronaldo unamnyima ETH muda wa kujenga timu kwa kutaka short term success. Ronaldo anajua United wanamtumia kwa muda mfupi wakati yeye hapati chochote zaidi ya pesa, so yupo sawa kuondoka.
Ubora upi alileta Ronaldo au ustriker upi?

Msimu wa 2019/20 Man Utd ilifunga magoli 66
msimu wa mwaka 2020/21 ilifunga magoli 73

this was an upward trend na timu ikamaliza ligi ikiwa nafasi ya pili, then akaja striker mleta magoli

msimu wa mwaka 2021/22 ikafunga magoli 57.

Making 2021/22 among the worst in goal scored record post fergie error.

sababu
2018/19 timu ilifunga magoli 65.
2017/18 timu ilifunga magoli 68.

hivyo expectation, false expectation iliyokuwapo kwamba ataleta magoli, na hizi propositions kwamba oohoo ni top goal scorer (as if timu zingine hazina top scorers) na kwamba alipokuwa hachezi timu ilikuwa haifungi, zote ni uzandiki tu.

Ronaldo made the team collectively weak in every aspect.
 
Simon stone na laurie whitwell wote wameripoti hii taarifa ya ronaldo, bila ya kumsahau mzee wa here we go ambaye mwanzoni nadhani alikanusha hii taarifa (sina uhakika). Mara nyingi fabrizio anafeli kwenye ishu nyeti au za ndani zaidi za klabu hususani manchester united
Upo sahihi ndugu
 
Back
Top Bottom