Cavani amevuna fedha ya kutosha United,akienda timu ya taifa yuko fit akirudi Manchester anajifanya majeruhi,kuna kipindi RR alilazimika kumchezesha CR7 sababu hakuwa na option Greenwood yuko jela,Martial yuko Seville,Rashford confidence/kiwango kimeshuka aliyekuwa available Cavani anajifanya majeruhi.Kusema kweli ujio wa CR7 ulimuuma Cavani tangu kupokonywa jezi namba 7 pamoja na kusugua benchi mara kwa mara.
Kuna mechi ulikuwa unaona kabisa hii inamfaa yeye ila ukubwa wa jina la Ronny ukawa unambeba.
Mwishowe jamaa akaamua aumalizie msimu kitaa na familia yake tu.
Kusema kweli tulimkosea Cavani,kwa ,mtizamo wangu mimi.
Huo uzi kama namuona Cantona.....Jersey naona zinaachiwa kesho japo mbogo zishafika wamechelewa kweli kenge hawa.View attachment 2277543
Tena wenda wakaisikia kwenye radio.Arsenal inaonekana wamejipanga kutetea nafasi yao ya tano
Akacheze anakochezaga.....Mr champion league hawezi akacheza europer league
Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Attitude ya Cavani mwishoni ilikuwa inatuonyesha kukerwa na ujio wa CR7,hii ndio point yangu.Cavani amevuna fedha ya kutosha United,akienda timu ya taifa yuko fit akirudi Manchester anajifanya majeruhi,kuna kipindi RR alilazimika kumchezesha CR7 sababu hakuwa na option Greenwood yuko jela,Martial yuko Seville,Rashford confidence/kiwango kimeshuka aliyekuwa available Cavani anajifanya majeruhi.
BTW :Ilikuwa mistake kubwa sana kuwa na CR7 & Cavani kwa pamoja si sawa na kuwa na striker 2 wazee kwa pamoja,makosa mengi yalifanyika huko nyuma wachezaji walikuwa na power sana .United imesajili wachezaji wengi lakini ilishindwa kuwatumia
Mkuu unajicho kali sana......huyu Ronaldo nilijaribu kumuelezea kutokea kwenye angle ambayo wengi hawakutaka kuitumia lakini nikiaishia kuitwa pro mesi na kutolewa kauli zingine za dhihaka.
huyu alichangia kwa kiasi kikubwa kuharibu trend ya mafanikio ya timu iliyopata msimu wa 2020/21, mchezaji wa aina yake hakuwa kwenye plans za OLE, na kimsingi alikuwa mzigo kwa timu kuliko msaada.
huyu alikwenda pale akiamini atatembelea nyota ya mafanikio ya 2020/21 kupata kick ya kuiwezesha timu kuchukua makombe, akaishia kumvuruga kocha na kila mchezaji.
kama ten hag anajielewa auachilie huu mzigo uondoke with immediate effect
Omeona eee!Tena mshahara wake tutalipa wachezaji watatu wapya,.Ila Man u tujifunze kutosajili wachezaji kibiashara,huyo ronaldo mwaka jana hakua kwenye plan,na huenda tungemtemea Cavani tungemaliza vizuri tu
Ila Mkuu sifa ya ETH ni kutumia Alichonacho, Ajax ya kina FDJ na De Ligt striker alikuwa Tadic.Ten Hag hana timu ya ku-implement tactics zake.
Timu iliyoshindwa ku-implement tactics za Ralf Rangnick leo waweze za Ten Hag?
Guys, let's be realistic now. Man Utd haina wachezaji wa kuimplement any serious tactics.
Individual efforts zilitubeba atleast last season.
Ronaldo amesababisha tubadili Tactics, tulikuwa tunacheza low Block kwa success nzuri tu, system ambayo ilificha madhaifu ya wachezaji wetu, na sababu mbele tulikuwa na msingi mbio wengi ilikuwa ni kawaida kutoa mpira golini kwetu mpaka kwa adui na kufunga kwa sekunde chache.Msimu tunamaliza nafasi ya pili EPL timu nyingi zilicheza chini ya kiwango, msimu uliopita Chelsea walianza vizuri sana ilikuwa lazima wamalize ndani ya top 4, Spurs baada ya ujio wa Conte wakaanza kufanya vizuri sana kipindi hicho sisi tunadondosha points kipuuzi.
Halafu leo hii mtu anasema Ronaldo ndiyo sababu hatujamaliza top 4 na mtu huyohuyo msimu mzima alikuwa anaimba taarabu za Maguire asicheze, McFred siyo combo nzuri, tutafute DM, tununue CB, RB Dalot na AWB hawafai ila leo hii anakuambia RONALDO ndiyo sababu. [emoji23][emoji23][emoji23]
Kama mlikubali kuna mapungufu karibia kikosi kizima kwanini hamtaki kuamini ndiyo chanzo cha matokeo mabaya na siyo sababu ya ujio wa Ronaldo.
Ninatamani Ronaldo abaki, y'all need a humbling.
Huyu De Jong ni EtH mwenyewe anamtaka binafsi nilimkata na nitaendelea kumkataa.Hapo kwa Mctomney ndipo kilipo kidonda, ila maeneo mengine yote ya mwili najisikia niko vizuri kabisa.
Naombeni nitafutueni tiba ya eneo hilo, huyo De Jong naona kama munanitibu kichwa ilhali mimi naugua kiuono.
Chonde chonde doctor, okoa maisha ya mgonjwa mimi, bado Dunia naipenda.
Huu usajili wa De Jong tunawasaidia Barcelona kutatua matatizo yao. J'5 Barca watamtambulisha Franck Kesssie, tayari wamempa mkataba mrefu Pedro Gonzalez 'Pedri' then lastly they have a big contract for Pablo Gavira 'Gavi'. Technically, they don't have space for De Jong.Habari za Frenkie De Jong zinanikera sana sio siri. Huu usajili tutajutia sana hata kama baba yake anamtaka.
Kwa nini tucheze kamari ya gharama wakati tuna cheap & best option? (Ruben Neves).
Yeah, mi mbishi. Why should i comply with your bullshit?So alikuja kufanya nini kama hakuna timu ya kuimplement tactics?
We nimekuona mbishi, simply.
Yeah. Upo sahihi.Sure Jombaa. Issue kubwa iliyopo huko ndani inaaminika EtH yeye mwenyewe kwa moyo mmoja kaamua dirisha hili tusiingie sokoni mazima. Budget aliyopewa na bodi ni pound 150M without sales.
Mpaka sasa pound 14.6M tayari italipwa Feyenoord ukijumlisha na hiyo ya Barcelona pound 73.2M. Itabaki pound 50M, sioni kama timu inaweza kusajili zaidi ya wachezaji wanne dirisha hili unless wauzwe kadhaa.
Ajax ipo farmers league.Ila Mkuu sifa ya ETH ni kutumia Alichonacho, Ajax ya kina FDJ na De Ligt striker alikuwa Tadic.
Tumpe kocha nafasi.Huyu De Jong ni EtH mwenyewe anamtaka binafsi nilimkata na nitaendelea kumkataa.
Huu usajili wa De Jong tunawasaidia Barcelona kutatua matatizo yao. J'5 Barca watamtambulisha Franck Kesssie, tayari wamempa mkataba mrefu Pedro Gonzalez 'Pedri' then lastly they have a big contract for Pablo Gavira 'Gavi'. Technically, they don't have space for De Jong.
Narudia tena na tena na tena huu usajili wa De Jong ni win win situation kwa Barcelona. De Jong ana option mbili tu ajiunge United au apunguze mshahara. Mimi chaguo langu daima ni Ruben Neves huyu ni proven EPL player. Gharama yake ni pound 50M tu plus $150 - 200k weekly vs De Jong pound 73M plus $250k - 300k weekly.
Tuna Beki wa kati 7, Full back 5, viungo washambuliaji 2 wa kati na bado kuna wa tatu pengine akaja, Mawinga 6 etc.Ajax ipo farmers league.
Man Utd ipo ligi ngumu sana duniani, tena wakati huu kuna timu kubwa 4 zinajielewa.
Kila match ni muhimu kuliko.
Na isitoshe kuna makombe manne tunagombania.
Nioneshe kikosi cha United cha kutoa challenge.
Bahati mbaya ni maji machafuIla jamaa anamwaga maji kinoma.
inasemekana fulham na baadhi ya timu walimtaka ila eth aligoma kasema anampangonae kwenye kikosi chake cha kwanza me nimechoka kabla ligi haijaanzaHapo kwa Mctomney ndipo kilipo kidonda, ila maeneo mengine yote ya mwili najisikia niko vizuri kabisa.
Naombeni nitafutueni tiba ya eneo hilo, huyo De Jong naona kama munanitibu kichwa ilhali mimi naugua kiuono.
Chonde chonde doctor, okoa maisha ya mgonjwa mimi, bado Dunia naipenda.