Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

NYIEEE!!!!!
20220628_174452.jpg
 
Tyrell Malacia....

Ngoja nimcheki..

But tusijajili mtu asiyeweza kuingia first eleven direct...itakuwa ujinga
mashabiki wa feyenord wanasema udhaifu wake mkubwa ni krosi kwa maana hayupo daraja moja na trent, dani alvez. ila anafanya mashambulizi na kukaba kwa kiwango cha juu. kaitafute fainali ya as roma na feyenord
 
kuna forum ya nottingham forest nimeona taarifa yao wanamfuatilia brandon williams na inasemekana thamani yake ni paundi million 10. mpaka muda sijamuona muandishi yeyote mkubwa wa manchester united akiripoti taarifa hiyo. kama nottingham forest watafanikiwa kumsajili dean henderson kwa mkopo, kwa sheria za sasa hawataweza kusajili mchezaji mwengine wa manchester united kwa mkopo. kazi kwake james garner na pre season
 
EtH akipewa backup nzuri ya uongozi pamoja na sisi mashabiki bila kuwa na kiraru cha kutaka kurejea haraka haraka ktk ubora wetu tunaweza kufanya jambo ktk kujenga msingi wa awali.

Dirisha hili lina wachezaji wengi sana wazuri wa bei chee kila idara kuliko msimu wowote ule toka nimeanza kuangalia mpira ila hawaimbwi ktk vinywa vya watu. Hawa niliowa-list hapa chini wote wana umri wa miaka 20 ~ 23 na bei zao hakuna anayeweza kuzidi hata Euro 50M.

Beki wa kati: Alessandro Bastoni, Nico Schlotterbeck, Josko Gvardiol

Beki wa kushoto: Borna Sosa, Tyrell Malacia

Viungo: Boubacar Kamara (free agent, 150k/weekly), Matheus Nunes
Finally, Dirisha hili inaonekana kuna mipango. Hakuna ukurupukaji wa kibozo bozo.

Maombi yangu naona Mungu anasikia. Tatibu tutafika, huwa siaminigi kabisa ktk wachezaji wa pesa nyingi. Wanakuja na inflated ego.
 
ten hag inavyosemekana hakuvutiwa na performance ya telles tulipocheza na crystal palace. huyu malacia amemfanyia uchunguzi tokea yupo ajax hivyo anamfahamu. huu si usajili wa kukurupuka
Juzi nilipoona anajianda kwenda Ufaransa nilinyong'onyea kichizi. Unaachaje kipaji kikubwa vile kikupite kwa bei chee? Ilhali tuna mapungufu upande wa kushoto?
 
Back
Top Bottom