EtH akipewa backup nzuri ya uongozi pamoja na sisi mashabiki bila kuwa na kiraru cha kutaka kurejea haraka haraka ktk ubora wetu tunaweza kufanya jambo ktk kujenga msingi wa awali.
Dirisha hili lina wachezaji wengi sana wazuri wa bei chee kila idara kuliko msimu wowote ule toka nimeanza kuangalia mpira ila hawaimbwi ktk vinywa vya watu. Hawa niliowa-list hapa chini wote wana umri wa miaka 20 ~ 23 na bei zao hakuna anayeweza kuzidi hata Euro 50M.
Beki wa kati: Alessandro Bastoni, Nico Schlotterbeck, Josko Gvardiol
Beki wa kushoto: Borna Sosa, Tyrell Malacia
Viungo: Boubacar Kamara (free agent, 150k/weekly), Matheus Nunes