NO04
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 1,754
- 1,246
Hiyo Aya ya mwisho ni tusi mkuu, hahaaaLakini mkuu nilikwambia mapema ukanibeza.
Wolves siyo wepesi kama mlivyofikiria...Wolves bila kujikaza hutoboi wale jamaa.
Sasa nyie mlidhani mtawafunga kweli??
Nadhani leo mmeshuhudia mubashara ule ukuta na defence yao ilivyo.
Hamna timu hapo,
Mwanaume kushabikia manchester utd ambayo hata wadada hatuitaki aisee ni uzembe![]()





