Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hapana mkuu, Combination ya Fred & Tominay ilikuwa ime-fit sana. Huyu mjinga anamuweka Fred nje kwa ubaguzi wake wa rangi tu.
Sio ubaguzi wa rangi mkuu,kama ni hivyo anawezaje kumchezesha Wan Bisaka anayepiga cross bora liende badala ya Dalot aliyecheza vema mechi zilizopita?
 
Mwakani hatuchezi Uefa champions league.....

Kocha anatudanganya anasema anahitaji control ya mchezo lakini anachezesha namba 6 wawiki kweli?? Angalia man city na liver wanacheza viungo 3 tena hapo kiungo mkabaji mmoja tu....

ila sisi jamaa kakazana na viungo wakabaji 2, alafu analeta habari za kucontrol game....number 10 wawili ambao wanacheza kama 10 na pia kama winga ni idea ngumu sana na hata haieleweki maana muda mwingi unaona namba 10 ipo wazi haina mtu....

Pia kocha anabahatisha hadi aibu, kule mbele kwanini anachezesha striker wawili wakati hata possession ya mpira hatuwezi, kwanini asitengeneze pattern nzuri ambayo itasaidia steiker mmoja kupewa nafasi za kutosha na kufunga...
Hiyo formation DM inabidi wawe wawili isipokua mmoja inabidi awe na akili ya Kante au flexibility ya Partey.

Ni sahihi zaidi kurisk kumchezesha winger Rashford au Bruno kuliko Greenwood, mbele panahitajika kua na ST wawili, mmoja angalau angekua na spidi kwa ajili ya thru balls na kuwahi pasi za mawinger hivyo ingependeza wakae Ronaldo na Sancho.

Formation hii ni very demanding na united bado hawachezi kama unit ndiyo maana hata kuposses mpira hawawezi
 
Mashabiki wa Manchester United wanaweza wakapata mental disease usiku huu wa leo kwa sababu ya kichapo walichopokea usiku wa leo.

Mungu awatangulie kwa kweli wakuu. Japo najua mtapata usingizi wa shida ila hakuna namna. Ndiyo ukubwa huo.
 
Hapana mkuu, Combination ya Fred & Tominay ilikuwa ime-fit sana. Huyu mjinga anamuweka Fred nje kwa ubaguzi wake wa rangi tu.
Sista hua nakuambia hauna kikosi cha kukufanya uzurure majukwaa ya watu na screenshot. Nyinyi ni vinega tu.
 
Peter Drury:"Manchester united is the most consistent team, one win in August_, one win in September,one win in October, one win in November, _one win in December. its just like a_menstrual cycle!! if they don't win in January know that they are pregnant"
 
tunajua fika kua amjalala na tumewaagizia kret la mirinda nyeusi uku mje mnywe
IMG-20211229-WA0005.jpg
 
Mashabiki wa Manchester United wanaweza wakapata mental disease usiku huu wa leo kwa sababu ya kichapo walichopokea usiku wa leo.

Mungu awatangulie kwa kweli wakuu. Japo najua mtapata usingizi wa shida ila hakuna namna. Ndiyo ukubwa huo.
 
Nadhani kwa sasa Ralf angetafuta namna ya kushinda mechi bila mbwembwe tu. Huwezi ku control game wakati hauna technically gifted players zaidi ya 2.

Ole alitupotezea miaka 3 na anatupotezea mingine 3 tena kwa namna alivyofanya usajili wa hili kundi la wahuni
 
Mashabiki na kipa watoe kwenye orodha ya wehu.
Yaani kwa hii timu ni bora hata majimaji ya songea wanacheza mpira unaoeleweka, yaani hata hip nafasi ya 6 sijui tumefikafikaje, ilitakiwa tuwe kule kwa kina New castle.
Point of correction, upo nafasi ya 7 na sio ya6
 
Back
Top Bottom