Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mwakani hatuchezi Uefa champions league.....

Kocha anatudanganya anasema anahitaji control ya mchezo lakini anachezesha namba 6 wawiki kweli?? Angalia man city na liver wanacheza viungo 3 tena hapo kiungo mkabaji mmoja tu....

ila sisi jamaa kakazana na viungo wakabaji 2, alafu analeta habari za kucontrol game....number 10 wawili ambao wanacheza kama 10 na pia kama winga ni idea ngumu sana na hata haieleweki maana muda mwingi unaona namba 10 ipo wazi haina mtu....

Pia kocha anabahatisha hadi aibu, kule mbele kwanini anachezesha striker wawili wakati hata possession ya mpira hatuwezi, kwanini asitengeneze pattern nzuri ambayo itasaidia steiker mmoja kupewa nafasi za kutosha na kufunga...
 
Nimeangalia kipindi cha Pili tu, na nimeshangaa kwamba tumekuwa na two shots on target, zake kapiga bruno aliyeingia kipindi cha Pili.

Mkuu wolves ni tishio kwa timu kubwa hapo Epl,wewe ndio unashangaa .

Kumfunga wolves sio rahisi kama Wewe unavyofikiria
Waulize chelsea,man city na Liverpool ilikuwaje?

Kufungwa kwenu ni haki yetu kabisa.
 
Mkuu hivi liverpool walimuona JOTA
hivi ni kweli huyu PODENCE hatufai kweli?

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Nina wasiwasi Podence ni mambo mengi kama Pepe mkuu.

Sijamfuatilia sana lakini sioni madhara yake nahisi huyu hatufai kwa sasa. Checki hapo chini kwa harakaharaka

Screenshot_20220103-224356_Goal News.jpg
 
Hivi walidhani watashinda kwa wolves?
Wolves tu alitutikisa liverpool na city..tulishinda kwa mbinde kweli.
Sasa hawa wachovu wanamfungia wapi wolves??

Tatizo hawafatilii Mechi yaani kufungwa na wolves wanajiraumu Kweli?, hawana watu wa kupata hata goli moja kwa wolves hao.

Defense ya wolves hiyo ni hatari sana, utaishia kosa kosa tu hapo na muda unazidi kwenda.

Man U kufungwa na wolves ilikuwa iko wazi kabisa.lazima afe.
 
Mwakani hatuchezi Uefa champions league.....

Kocha anatudanganya anasema anahitaji control ya mchezo lakini anachezesha namba 6 wawiki kweli?? Angalia man city na liver wanacheza viungo 3 tena hapo kiungo mkabaji mmoja tu....

ila sisi jamaa kakazana na viungo wakabaji 2, alafu analeta habari za kucontrol game....number 10 wawili ambao wanacheza kama 10 na pia kama winga ni idea ngumu sana na hata haieleweki maana muda mwingi unaona namba 10 ipo wazi haina mtu....

Pia kocha anabahatisha hadi aibu, kule mbele kwanini anachezesha striker wawili wakati hata possession ya mpira hatuwezi, kwanini asitengeneze pattern nzuri ambayo itasaidia steiker mmoja kupewa nafasi za kutosha na kufunga...
Kikosi kinapangwa kulingana na aina ya players waliopo.....
Mlipiga kelele Ole aondoke sasa mtulie, ni lini mtajifunza kuwa Mpira ni taaluma na ina wajuvi wake?
Mtu ndani ya miezi miwili una lalamika makocha wawili tofauti hawafai, ni lini mtajifunza kuwa na subira?
 
Mwakani hatuchezi Uefa champions league.....

Kocha anatudanganya anasema anahitaji control ya mchezo lakini anachezesha namba 6 wawiki kweli?? Angalia man city na liver wanacheza viungo 3 tena hapo kiungo mkabaji mmoja tu....

ila sisi jamaa kakazana na viungo wakabaji 2, alafu analeta habari za kucontrol game....number 10 wawili ambao wanacheza kama 10 na pia kama winga ni idea ngumu sana na hata haieleweki maana muda mwingi unaona namba 10 ipo wazi haina mtu....

Pia kocha anabahatisha hadi aibu, kule mbele kwanini anachezesha striker wawili wakati hata possession ya mpira hatuwezi, kwanini asitengeneze pattern nzuri ambayo itasaidia steiker mmoja kupewa nafasi za kutosha na kufunga...
Mkuuu kunywa maji acha hasira kocha hata mwez hana unakata Tamaaaa ila ni mwal wa TT na klop au umesahau? Na ndio mwanzilishi wa gengen pressing ha ha
 
Mzungoko wa kwanza tena wakiwa kwenye fomu kwelikweli karibia timu kubwa zote zilishindwa kuwafunga ila sisi tuliwatandika tena nyumbani kwao.
Sasa leo wapo machinjioni unategemea tuwaache?
ngapi huko?
 
Back
Top Bottom