Manchester United (Red Devils) | Special Thread

alaf ushangae uyo muuza bar n kocha bora kuliko uyo gegen
. et muanzilishi wa gegen akat iliwashinda wa2 pale epl

Sent using motorola 78
Ni kawaida mwanafunzi kumzidi mwalimu kwenye maisha
 
Niliishasemaga hapa .. kocha wa man UTD imefikia apewe Roy Keane.
Mkanjsema sana hapa..

Wachezaji wa kupigwa fimbo wamejaa

Rashford ni K, greenwood sio wankuanza, magwaya ni KM
 
Ni ipi haswa kazi ya moderator ndani ya hii forums?

kwa sababu ninayoendelea kuyaona ndani ya thread hii na nyenginezo (chelsea thread na arsenal thread ndio lengwa zaidi) hayaendani na dhumuni la kuanzishwa kwake kwa thread hizo.

kumekuwepo na mizaha inayopitiliza inayoambatana na lugha chafu pindi timu A inapopoteza points ndani ya uwanja, ubaya zaidi unaweza kuambatanishwa mzaha au kejeli ukawawajumuisha watu wote ndani ya thread.
jambo hili si sahihi hata kidogo kuliendekeza hususani kwa watu waliojaaliwa ukamilifu wa maarifa na malezi bora ya kimjadala.

huwezi kukutana na changamoto mfano wa hizi tunazozishuhudia humu ndani na kwengineko kupitia majukwaa mengineyo ya wenzetu (subreddit za vilabu mbali mbali pale reddit, redcafe, n.k)

Tujisahihisheni kwa pamoja.
 
kids again, we have mejibri,gomes, garner, wote hawa wanakichafua I dont see this happening for sure
Huko academy kuna ma baller kibao, bado Amad hajapata nafasi kiihivyo kina Mcneill, Garnacho, Ennis, Elanga n.k halafu anauzwa bei kubwa kweli
 
Cavani sema tu ni match 2 garage otherwise akistay fit huyu chalii ni kupeleka kwa mkopo hata ipswich town huko, trash kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…