Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

ronaldo na rashidi wakiskia gegen press wanajua ukifka maal flan unabutua mpira utoke nje

Sent using motorola 78
 
Hizi kejeli ndio huwa hazitakiwi
Mashabiki wa Man United hua tupo real hatuna unafiki.
Wachezaji wetu wakizingua hamna kuwatetea tunaungana na wapinzani wetu kuwaponda na kuwadhihaki inapobidi.
Upumbavu wa kusifia ujinga sisi hatuna sio kwa kocha, wachezaji, wamiliki wala timu yenyewe.
Hii inasaidia sana kwa mashabiki kua na afya nzuri kutokua na vihoro wala msongo wa mawazo.
 
Tukubaliane tu gegen pressing inahitaji vijana wenye mapafu ya mbwa kama wale leeds united....
" You either press or u don't, there is no such thing like a little bit of pressing. It's like being pregnant, you are either pregnant or not," RR

Vilevile mkiamua ku press, mnatakiwa kufanya ivo as a unit(kila mchezaji anatakiwa ku press). Ikitokea baadhi hawapress, mkishambuliwa mtakuwa outnumbered na pia wachezaji baadhi watakuwa out of position.
Tukubali tu kwamba wachezaji baadhi kama Ronaldo na Trashford hawawezi ku press. Kocha anapata shida kuwa accomodate kwenye philosophy yake.

Imagine mtu kama Trashford, attacking output na defensive output zote ni za hovyo, kwanini asim drop. Cavani na uzee ule lkn ana bado anapress,,, lkn huyu dogo anajikuta star wa team
 
Tatizo unaongea sana, kila kitu unafanya kukijua coz upo nyuma ya keyboard.

Nenda kaifundishe wewe au kacheze wewe kisha sisi tuanze kukukosoa uone
Mimi nimetoa maoni yangu..wachezaji wanalipwa mipesa kibao lakini hawachezi chochote.

Sasa wewe mpumbavuh unanipangiaje cha kuandika humu?..

Una akili sawasawa kweli??..
 
Captain la DUNIA kwenye mfumo wa Gen Gen Dressing

Paundi Million 80
2583849_tapatalk_1599743898325.jpeg
 
Back
Top Bottom