Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

ronaldo na rashidi wakiskia gegen press wanajua ukifka maal flan unabutua mpira utoke nje[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using motorola 78
 
af kuna mtu atakuambia alikua mwalimu wa klopp [emoji26][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mfumo umekaa kama bikiniView attachment 2060202

Sent using motorola 78

Alimuokota pia TT Bar ili amfundishe ukocha[emoji23][emoji23][emoji23]. Mashabiki wa Man u bhana
 
Hizi kejeli ndio huwa hazitakiwi
Mashabiki wa Man United hua tupo real hatuna unafiki.
Wachezaji wetu wakizingua hamna kuwatetea tunaungana na wapinzani wetu kuwaponda na kuwadhihaki inapobidi.
Upumbavu wa kusifia ujinga sisi hatuna sio kwa kocha, wachezaji, wamiliki wala timu yenyewe.
Hii inasaidia sana kwa mashabiki kua na afya nzuri kutokua na vihoro wala msongo wa mawazo.
 
Pale ot taka taka zipo nyingi huu mfumo hawauwezi
pamoja na kuomba muahirishiwe mech ili muuzoee mfumo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using motorola 78
 
Tukubaliane tu gegen pressing inahitaji vijana wenye mapafu ya mbwa kama wale leeds united....
" You either press or u don't, there is no such thing like a little bit of pressing. It's like being pregnant, you are either pregnant or not," RR

Vilevile mkiamua ku press, mnatakiwa kufanya ivo as a unit(kila mchezaji anatakiwa ku press). Ikitokea baadhi hawapress, mkishambuliwa mtakuwa outnumbered na pia wachezaji baadhi watakuwa out of position.
Tukubali tu kwamba wachezaji baadhi kama Ronaldo na Trashford hawawezi ku press. Kocha anapata shida kuwa accomodate kwenye philosophy yake.

Imagine mtu kama Trashford, attacking output na defensive output zote ni za hovyo, kwanini asim drop. Cavani na uzee ule lkn ana bado anapress,,, lkn huyu dogo anajikuta star wa team
 
Tatizo unaongea sana, kila kitu unafanya kukijua coz upo nyuma ya keyboard.

Nenda kaifundishe wewe au kacheze wewe kisha sisi tuanze kukukosoa uone
Mimi nimetoa maoni yangu..wachezaji wanalipwa mipesa kibao lakini hawachezi chochote.

Sasa wewe mpumbavuh unanipangiaje cha kuandika humu?..

Una akili sawasawa kweli??..
 
***** walahi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ronaldo na rashidi wakiskia gegen press wanajua ukifka maal flan unabutua mpira utoke nje[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using motorola 78
 
Kwamba profesa PP alimtoa Tuchel bar ili amfundishe ukocha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bigwa wa Dressing duniani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Captain la DUNIA kwenye mfumo wa Gen Gen Dressing [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Paundi Million 80 [emoji38][emoji38][emoji38]
2583849_tapatalk_1599743898325.jpeg
 
Back
Top Bottom