Bunch of high paid idiots..
Inakuwaje mchezaji wa Manchester United anashindwa kucheza basic football?
af kuna mtu atakuambia alikua mwalimu wa kloppmfumo umekaa kama bikiniView attachment 2060202
Sent using motorola 78


. Mashabiki wa Man u bhanaMashabiki wa Man United hua tupo real hatuna unafiki.Hizi kejeli ndio huwa hazitakiwi
Bunch of high paid idiots..
Inakuwaje mchezaji wa Manchester United anashindwa kucheza basic football?
Acha ungese we jamaa..Nenda kacheze wewe basi
pamoja na kuomba muahirishiwe mech ili muuzoee mfumoPale ot taka taka zipo nyingi huu mfumo hawauwezi










wamejua kuzidanganya izi nyumbuAlimuokota pia TT Bar ili amfundishe ukocha. Mashabiki wa Man u bhana



Acha ungese we jamaa..
" You either press or u don't, there is no such thing like a little bit of pressing. It's like being pregnant, you are either pregnant or not," RRTukubaliane tu gegen pressing inahitaji vijana wenye mapafu ya mbwa kama wale leeds united....
Mimi nimetoa maoni yangu..wachezaji wanalipwa mipesa kibao lakini hawachezi chochote.Tatizo unaongea sana, kila kitu unafanya kukijua coz upo nyuma ya keyboard.
Nenda kaifundishe wewe au kacheze wewe kisha sisi tuanze kukukosoa uone
Mimi nimetoa maoni yangu..wachezaji wanalipwa mipesa kibao lakini hawachezi chochote.
Sasa wewe mpumbavuh unanipangiaje cha kuandika humu?..
Una akili sawasawa kweli??..



ronaldo na rashidi wakiskia gegen press wanajua ukifka maal flan unabutua mpira utoke nje
Sent using motorola 78