Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nasimama na INEOS
HP6aZZcbsAAzBYl.jpg
 
Naiona Manjesta yanited ikishika mkia au nafasi za mkiani kule UCL msimu huu

Mancity ya pep msimu juzi walishika nafasi za mkiani

Kwa Manjesta hii yenye Kiungo Bonge Santos ,na mabeki kina Heaven sioni wakitoboa

Kwanza mnapewa wale Top Tier wawili ,watawalamba

Mnapewa wawili kutoka pot 2 , watawalamba

Wanabaki wanne kutoka pot 3 na 4 , hapo mtashinda mechi 2 na draw 2

Huku EPL mshatepeta


Kucheza mechi kila baada ya siku 3 na kikosi chenu finyu ni ngumu sana

Mara ya mwisho mlishika mkia mbele ya Copenhagen ya Norway vijijini na Galatasaray yenye wazee wastaafu
 
Manchester united wanakaribia kumsajili kiungo wa brighton carlos baleba. Huyu bwamdogo siyo player mbaya ila injury record yake kwa msimu uliopita ilikuwa inatisha, nafikiri ndiyo maana man utd walidanda kwa midfielders wengine.

Kabla ya kufanya sajili huwa scouts na boards wanafanya analysis ya mchezaji wanaemtaka interms of perfomance,injury records,intensity ya mchezaji kulingana na falsafa za klabu, pamoja na price.

Carlos baleba alikuwa na injury record mbaya na hii inanipa mashaka kama atakuwa na fitness ya moja kwa moja kutokana na kukosekana kwake uwanjani mara kwa mara, technical bench wanatakiwa kuhakikisha wanaboresha kiwango cha bwamdogo santos kwasababu dogo naona ana fitness sana kuliko baleba, ili baleba awe kama backup.

Man u wanafanya huu usajili kwa kuondoa lawama tu, bora wangeenda kutoa £70 kwa manu kone angalau ungekuwa usajili wa uhakika zaidi.
 

Attachments

  • 1787132553041.jpg
    1787132553041.jpg
    95.7 KB · Views: 1
Manchester united wanakaribia kumsajili kiungo wa brighton carlos baleba. Huyu bwamdogo siyo player mbaya ila injury record yake kwa msimu uliopita ilikuwa inatisha, nafikiri ndiyo maana man utd walidanda kwa midfielders wengine.

Kabla ya kufanya sajili huwa scouts na boards wanafanya analysis ya mchezaji wanaemtaka interms of perfomance,injury records,intensity ya mchezaji kulingana na falsafa za klabu, pamoja na price.

Carlos baleba alikuwa na injury record mbaya na hii inanipa mashaka kama atakuwa na fitness ya moja kwa moja kutokana na kukosekana kwake uwanjani mara kwa mara, technical bench wanatakiwa kuhakikisha wanaboresha kiwango cha bwamdogo santos kwasababu dogo naona ana fitness sana kuliko baleba, ili baleba awe kama backup.

Man u wanafanya huu usajili kwa kuondoa lawama tu, bora wangeenda kutoa £70 kwa manu kone angalau ungekuwa usajili wa uhakika zaidi.
Ukiachana na kuwa injury lakini performance yake overall ilikuwa ni mbovu ya msimu uliopita sijui management ya man u wamezingatia Nini mpaka kutoa hiyo hela
 
Back
Top Bottom