Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Newcastle Wana match fitness kumzidi united ,united kukaa muda mrefu bila kucheza Kuna mawili ...

Kurudi uwanjan na high energy au kurudi uwanjan wamepoa kama ugali wa udagaa .....hapa inategemeana na maneno ya coach na ushawishi kwenye dressing room
 
Kosi la ushindi hili ila maguire ana dawa sio bure.
Screenshot_20211227-220143.jpg
 
Ralf amemwambia klabu itaheshimu mtazamo wake ila na yeye anapaswa aheshimu maslahi ya klabu, mpaka muda huu hakuna ofa iliotumwa juu yake hivyo ataendelea kubaki kikosini kwa sababu ya wingi wa michuano na taathira za ugonjwa wa Covid.

Nimempenda jamaa alivyo straight pindi anapozungumzia ishu za klabu tofauti na bwana yule wa the boys.
The boys were fantastic 😅😅😅
 
Back
Top Bottom