Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

utadhani kocha wa leicester city ni chinua achebe dadeki, yani hana mfumo wowote kwenye hivyo mechi, wanachezewa robo tatu uwanja sio nusu tena dah, nasikitika kila nikiwaza eti kuna watu walikuwa wanampigia upatu brenda fassie awe kocha wetu
Kipindi cha pili ameingia na akili mpya, ndani ya dakika 20 wamefunga goli 3.
Man City 4 - 3 Leicester
 
His time is up..
Ralf amemwambia klabu itaheshimu mtazamo wake ila na yeye anapaswa aheshimu maslahi ya klabu, mpaka muda huu hakuna ofa iliotumwa juu yake hivyo ataendelea kubaki kikosini kwa sababu ya wingi wa michuano na taathira za ugonjwa wa Covid.

Nimempenda jamaa alivyo straight pindi anapozungumzia ishu za klabu tofauti na bwana yule wa the boys.
 
City wako vizuri sana, utafikiri ni ps 4 wanachezeshwa...... Brendan rodgers hana uwezo wq kutupa mafanikio kwaile mid yao alafu hata pass 10 wanashindwa leo

youri tielemans amesababisha penalty hapa....4-0 hawajafika hata half time
Naona aibu na fedheha kuzifuatilia mechi za liverpool na manchester city.

Msimu mzima naweza kuangalia mechi 3 hadi 5 za timu hizo.
 
Nilisema siku nyingi sanaaaaaaa huyu ataishia kama Louis Saha. Akienda kuchezea timu ya taifa hurudi majeruhi.
PSX_20211227_151248.jpg
 
Anachambua mpira game zipi kama hawezi kaangalia game za liverpool na city ,au Chelsea huyo anashabikia seria a ,epl anaangalia live score

wivu wangu unasababishwa na ubora wa timu mbili hizo (man city na liverpool) ukilinganisha na timu ninayoishabikia na ndio maana nakosa ari na nguvu ya kuzifuatilia mechi zao kama alivyojibu bwana Zuckerman
 
Back
Top Bottom