Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wengine waliokuaminisha sio mie mdau


Kitambo tu najua pale tuna wachezaji wavivu
Huyu kocha kanishangaza kuamua kutegemea krosi zimpe ushindi tena against Newcastle, sioni kama shida ni wachezaji kocha ana mchango wake mkubwa tu.
 
Full time:
Man U 1 vs Newcastle u 1

Newcastle united 20 kwenye ligi . Tumpe muda kocha

Kocha yupo katika hatua nzuri ya kuinoa Man chesta unaited. Mwanzo mzuri
 
Wangeshinda haya yasingekuwepo
PSX_20211228_084724.jpg
 
Bunch of highly paid idiots..

Inakuwaje mchezaji wa Manchester United anashindwa kucheza basic football?
 
tuliwaambia uyu babu alichomzidi olle n umri2 na kuvaa miwani na mmshukuru maxmin alikua upande wenu jana mngekula goli3 nyie nyumbu

Sent using motorola 78
 
Back
Top Bottom