Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nyumbu ndio mnamshushia heshima Varane

Varane ndio anapaswa kuwasema kuanzia mmiliki na body nzima ya timu, sio wapuuzi wa humu jf
 
what i see kuna mgando wa akili kwa hawa mabwana, yani kocha anataka wachangamke wanaona okay ngoja tuchangamke miili halafu akili zigande, tuna win mpira then watu wanaenda kujificha katikati ya wachezaji wa timu pinzani, hawa vijana wanahitaji kupigwa shoti ya umeme walahi, second half kuna haja ya kumleta sancho na cavani
 
ukweli mchungu: Tusipokuwa na mpira Ronaldo ni liability. Timu inakosa balance kwa sababu ya huyuu mzee
Kuna vinabo wawili wanaosababisha Man Utd isije na mpira muda mrefu namaanisha Mc Tominay na Rashid, hawa jamaa kila team inapokuwa na mpira lazima ipotelee kwao either kwa kutoa pasi zisizo na macho au kutuliza mpira hovyo.

Sasa kama kila muda team inakuwa na kazi ya kukaba ili kurudisha mipira inayopotea ambayo hâta hivyo hupotea kila inapopatiana, utaionaje kazi ya Ronaldo??

Team inapoteza sana mipira kwa upumbavu wa midfielders kwahiyo ni lazima umuone Ronaldo kama mzigo.
 
Timu hii imejaaa wachezaji wavivu sanaa....

Huko dressing room huyo kocha anaongeaga kweli kwa hasira na uchungu au ndio zilee " hey Ronaldo can you say something to win the game ....,Maguire please don't repeat that mistake .....hey rashford please run ,and use energy to attack ...!"

Kama anatumia hayo maneno ya kidemu ,basi ndio maana litimu limelegea tu
 
Back
Top Bottom