Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kitqkqchomponza huyu kocha ni kuendekeza wachezaji wale wale wa sosha kina tominay fred raahford nk kina van de beek wamekaa njee kina sancho
Huyu si ni professor?????

Sasa nyinyi ndio mmekuwa maprofesaaaaa

😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Kuna vinabo wawili wanaosababisha Man Utd isije na mpira muda mrefu namaanisha Mc Tominay na Rashid, hawa jamaa kila team inapokuwa na mpira lazima ipotelee kwao either kwa kutoa pasi zisizo na macho au kutuliza mpira hovyo.

Sasa kama kila muda team inakuwa na kazi ya kukaba ili kurudisha mipira inayopotea ambayo hâta hivyo hupotea kila inapopatiana, utaionaje kazi ya Ronaldo??

Team inapoteza sana mipira kwa upumbavu wa midfielders kwahiyo ni lazima umuone Ronaldo kama mzigo.
Angalizo: Matusi na kejeli sio uungwana

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kuna game ya msimu uliopita Arsenal tulicheza na liva tulipiga krosi zaidi ya 30 but no goal was produced. Na maajabu ni kwamba, wanaona kabisa hatupati goli ila hawaachi wanakomaa.

Jana naona united inakomaa na krosi tena against Newcastle no goal is secured but they didn't stop ikawa ni mwendo wa krosi tu.

Humo hamna kocha.
 
Back
Top Bottom