ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,146
- 7,676
Nope, I am sure they will catch you naked at the back with a counter attack for the second goal.
No way
Nope, I am sure they will catch you naked at the back with a counter attack for the second goal.
Huyu kocha wetu mpya tumepigwa.
Tumrudishe ndugu Ole


Team yangu ningependa January inapo anza, watu kama magwaya,Fred,lindlof,varane,Anthony Masho,MC tomin, rashid na bissaka, tusiwe nao tuweka watu wapya wenye kasi na wenye uwezo wa kutoa pass za Uwakika hata 8kwenye10, bila ivo tutafukuza makocha kila msimu,
Nitumie dm mkuuConnection ya chupa ya fanta mashabiki wa man u ntawatumia bure kabisa
Hii kama rambirambi yangu kwa hili tukio la leo
Kunani kunaniHii timu Sosha aliiharibu kwa kusajili waingereza wengi kwenye timu
Tupo busy tunabana pumbu.Nawaona online Ila hamsemi chochote wana man u, au mnakunywa mirinda nyeusi nn!?






