Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

scot na fred ni chupa na mfuniko, magwaya hatufai kabisa na bichwa lake kubwa, kazi kukaa na mpira utadhani liko peke yake uwanjani dakika ya 80, kila likipokea mpira linakaa nao then likipiga pasi ni kurudi kwa varane, magwya tulipigwa walah tena.
 
Huyo varane mna uhakika alikuwa na fitness ya kucheza hii game Mbona anakimbia km ana chupa ya MIRINDA /FANTA makalioni
 
rashford anafanya movement ambazo hazina malengo ya kuleta hatari yoyote ilimradi ameenda mbele, sancho anatakiwa kuanza kila mechi, nahisi ndio creative player tuliyebaki naye kwa sasa pale mbele, anatoa pasi kwa kuzingatia position ya striker
 
Ralf Rangnick, headteacher of Jurgen Klopp's gegenpressing, matron of Thomas Tuchel's haram football. Secretary of good press conferences.

Founding father of german football has been schooled by Newcastle United.

But you knew that already.
 
we need aggressive midfielders hawa fred na scot uwezo wao ndio umeishia hapo, poor passing poor positioning, no confidence licha ya kucheza mechi nyingi pamoja bado hata hawana chemistry inayoeleweka, wanashindwa kuvuna ubora kutoka kwa kila mmoja wao, they are just there playing as if they are always not ready, kila tukikutana na timu ambayo ina wachezaji wenye miili imara pale kwenye kiungo hawa mabwana wanakuwaga kama wamepigwa butwaa wasijue cha kufanya. I am really tired of these average players in our squad
 
Team yangu ningependa January inapo anza, watu kama magwaya,Fred,lindlof,varane,Anthony Masho,MC tomin, rashid na bissaka, tusiwe nao tuweka watu wapya wenye kasi na wenye uwezo wa kutoa pass za Uwakika hata 8kwenye10, bila ivo tutafukuza makocha kila msimu,
Fred anasahihisha makosa ckuiz Fred ni mzuri sana uwanjani ila magwaya......hii bangoshaa
 
Times Man Utd players lost possession:

Bruno 26
Rashford 20
Dalot 19
Sancho 14
McTominay 13
Telles 12
Maguire 11
Varane 11
Fred 10
Ronaldo 9
Greenwood 8
de Gea 7
Cavani 5
Matic 3


manutd |
#GGMU
 
Back
Top Bottom