Huu mda tunaomvumilia Ole tungemvumilia Van gaal tungekua barcelona mpya ndani ya England, huyu jamaa mweupe tu eti tuvumilie anajenga timu seriously? ??
Karne hii ya 21 mnafananisha na enzi za Fergi kweli?? Timu kama Manchester united inakaa miaka mi4 bila kombe hata la ndondo cup mnataka tuvumilie nini hasa.
Hakuna kilichobadilika hii timu toka amechukua ole tunashika nafasi zile zile za Mou atleast Mou alikua anajua apambane wapi apate nini huyu masai anaruka tu na biti nothing special mpaka sasa alichofanya labda kusajili mastaa wanaokaa benchi.
Etii wanasema ligi bado heee last season tulikua no moja kwa difference ya point 10 kilichotokea tunajua sasa tuendelee kudondosha point mpaka december tutakua wa 7 huko ndo tutajua hatujui.
Timu ikionyeshwa benchi linatisha wallahi ila wakiingia ndani ya uwanja simba wa sabasaba.