Wild sniper
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 4,426
- 8,726
Where should he be heading to!
Remember, he has some people (family) is taking care of!


Where should he be heading to!
Remember, he has some people (family) is taking care of!





Yule mmasai hapo ndipo anapojichukuliaga credit mkuu.Tutakapotoka kwenye international break, kuanzia tarehe 16 mwezi huu mpaka tarehe 30 nov club yetu pendwa itakwenda kupitia kwenye kipindi kigumu katika historia ya club yetu hasa kutokana na muenendo wa timu yetu kupata matokeo ya kubahatisha bahatisha unaosababishwa na mapungufu makubwa ya kiufundi kutoka kwenye idala ya coaching.
Ni maombi yangu, management na board ya club viweke options madhubuti za kimaaamuzi iwapo hofu hii itakuwa dhahiri,
Game ya Liverpool na City anaweza kushinda kabisa maana mbinu zake kwa aina ya hizo timu ndiyo zinafanya kazi na ongezo la Ronaldo naona kabisa atashinda ila kwa Chelsea itategemea na hiyo siku TT ataingiaje, treni au atafunguka.Yule mmasai hapo ndipo anapojichukuliaga credit mkuu.
Tatzo wanadhani kuwa na cr7 ndio kumaliza kila kitu duniani!Wakuu mbona kama mna overreact. Mpo point 2 tu nyuma ya kiongozi wa ligi
Kubeti kazi sanaWiki hii ni ya ajabu kidogo Bayern, PSG, Barcelona, Ajax na Real Madrid wote wamefungwa.
huyo kiongozi kacheza na timu gani ma sisi tumecheza na timu gani mkuu.....kiongoz kacheza na city, liver, tot etc sisi jeWakuu mbona kama mna overreact. Mpo point 2 tu nyuma ya kiongozi wa ligi
GiggsHivi mfano: Giggs na Ole nani ni bora kwenye taaluma ya ukocha?
Kuna jambo hapa najaribu kuliwaza
Hivi mfano: Giggs na Ole nani ni bora kwenye taaluma ya ukocha?
Kuna jambo hapa najaribu kuliwaza
Magoli ya fifa 22 kabisa .Game ya Liver na City yamepigwa magoli ya kwenye playstation
Hahahahaaa huwa napenda sana kujifunza jinsi ya kuweka mkeka. Pamoja na upenzi wangu mkubwa wa mpira hili swala sina ujuzi nalo.Kubeti kazi sana
Goli la Mo Salah ndilo pekee zuri haswaa maana ni la uwezo binafsi hadi kanikumbusha Mess enzi zile hajawa Muhenga, lakini hayo mengine ni ya kawaida sana.Game ya Liver na City yamepigwa magoli ya kwenye playstation