The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Wanasubiri tutolewe uefa na tushike nafasi ya 6 kwenye ligi but tukiingia top 4 sahau.Anafukuzwa liniView attachment 1960948
Wanasubiri tutolewe uefa na tushike nafasi ya 6 kwenye ligi but tukiingia top 4 sahau.Anafukuzwa liniView attachment 1960948
Goli la townsend tumefungwa magoli kama gaya mengi sana toka msimu uliopita....
Ni aina ya magoli ambayo yanatokana na poor setup ya mabeki...yani mabeki 5 (kiungo mkabaji akiwepo) wanajirundika upande mmoja na kuacha njia kubwa upande mwingine tena karibu tu na 18
Hata wale waturuki wa demba Ba walitufunga goli namna ile beki zipo upande wa pili mchezaji wa timu pinzani anakutana uso kwa uso na de gea.
Sijui baada ya msimu kuisha, staff yetu huwa inafanya kazi gani..nahisi huwa wanawaza usajili tu.....
maana tatizo kama hili, Staff nzima wangejaribu kulitafutia tiba wakati wa mapumziko yao ingeleta tija....
set up yetu tukiwa na mpira, tukipoteza mpira, tukifanyiwa counter attack, na tufanyiwa pressing ni moj ya set up ya ovyo sana na inamatobi mengi sana.....
Hatuwezi kuchukua kombe lolote kwa aina hii ya matatizo yetu.
Je ole afukuzwe au abaki? hilo watajuana wenyewe.
Kama mlivyompa muda Kenny Dalglish kina downing, mara Johnson, mara Anndy carroll hayo mambo ni liverpool tu mliweza yavumiliaMpeni muda Ole Sendeka kuweni wavumilivu
Kama mlivyompa muda Kenny Dalglish kina downing, mara Johnson, mara Anndy carroll hayo mambo ni liverpool tu mliweza yavumilia
Wapi kasema anataka EPL?Ole anatupotezea muda kama kawaida yake. Haiwezekani upate tabu OT kila mechi halafu ubebe EPL.
Waliomuajiri washtuke mapema afukuzwe kabla hajaharibu tena UCL na FA. Tofauti na hivyo ni another trophyless season.
Yaani nakosa hata hamu ya kuangalia timu yanguOle Gunar OUT OUT
Where should he be heading to!Ole Out..
Do you have some conscience ?He should go back to Molde.
Ole abaki Mzee...NI mtu sahihi pale unyumbuniGoli la townsend tumefungwa magoli kama gaya mengi sana toka msimu uliopita....
Ni aina ya magoli ambayo yanatokana na poor setup ya mabeki...yani mabeki 5 (kiungo mkabaji akiwepo) wanajirundika upande mmoja na kuacha njia kubwa upande mwingine tena karibu tu na 18
Hata wale waturuki wa demba Ba walitufunga goli namna ile beki zipo upande wa pili mchezaji wa timu pinzani anakutana uso kwa uso na de gea.
Sijui baada ya msimu kuisha, staff yetu huwa inafanya kazi gani..nahisi huwa wanawaza usajili tu.....
maana tatizo kama hili, Staff nzima wangejaribu kulitafutia tiba wakati wa mapumziko yao ingeleta tija....
set up yetu tukiwa na mpira, tukipoteza mpira, tukifanyiwa counter attack, na tufanyiwa pressing ni moj ya set up ya ovyo sana na inamatobi mengi sana.....
Hatuwezi kuchukua kombe lolote kwa aina hii ya matatizo yetu.
Je ole afukuzwe au abaki? hilo watajuana wenyewe.

Yupo Sana TuBado hajafukuzwa tu