Hapana, tumetoa sare moja moja.Vipi tumewafunga ?
Hapana, tumetoa sare moja moja.Vipi tumewafunga ?
Unakutana na timu ambayo imepumzika wiki nzima wewe umecheza jumatano halafu unapangiwa fixture ya saa sita mchana.Hapana, tumetoa sare moja moja.
Upo sahihi sana.Mkuu man united vs Everton haijawahi kuwa easy fixture toka kipindi cha Ferguson.
Hawa Everton hata kama wako hali mbaya kiasi gani wakikutana na united ni kama derby.
Tusitegemee mteremko kwa Everton, binafsi game ya Everton huwa sitegemei kushinda cause everton ni part ya Liverpool hivyo rivalry na united ni ile ile.
Jombaa ukiwaweka kando FA, unafikiri huu mchezo tumedondosha alama kwa sbb ya uchovu? Aaron Bissaka, Fred, Cavani, Martial, Shaw wote hawakutumika sana kati kati ya wiki na leo wameanza. Pia benchi yupo Van de Beek, Lingard, Bailly na Dean Henderson.Unakutana na timu ambayo imepumzika wiki nzima wewe umecheza jumatano halafu unapangiwa fixture ya saa sita mchana.
FA ni mavi
Wewe mshabiki Maandazi wazo lako ni kuchukua ubingwa tu... kule wenzio Timu at least iingie top 4 na kwenye CL ifike angalau robo ubingwa unatokea inapobidi.itakuwa ni jicho la kucheza mpira kukamilisha ratiba ...
Kama ni kutaka epl au CL ,niseme tu mkuu huna akili na hujitambui ....
Mkuu unataka sema Manchester walifanya haraka kumfukuza Mourinho na Moyes??
Ndiomw nikasem tatz kocha wao ni average sana yan io average tu ni average sana...ndo maana wasitegemee maajab yoyote ndo km ivi draw leo..n next t fixtures za man u Ole asipofukuzwa me sijui tuTukisema kikosi Bora we mean total performance of whole team ,, hii timu inacheza kiwango Cha chini Sana ,, check villareal ilivyomtoa jasho pepo mwekundu..
bado sio kizuri mzee Kwenye kikosi Chao wachache ndo wanawaharibia....hao kina Fred vunjabei mpk kutuliza mpira au kutoa pasi kipengele ....bissaka sio mzuri offensively....wengine incosistence kina pogba


mkuu nimecheka sana dah.Eti Fre Vunjabei
tumpe muda gan.. tenaSema Ole ana kitu special na ataijenga Man U vizuri sana na hakuna timu itatamani kukutana na Manchester hasa kwa ubora ambao itakuwa nao
Tuendelee kumpa muda Ole, vitu vizuri havitaki haraka
EtiiiWewe mshabiki Maandazi wazo lako ni kuchukua ubingwa tu... kule wenzio Timu at least iingie top 4 na kwenye CL ifike angalau robo ubingwa unatokea inapobidi.

ubingwa unatokea inapobidi sioUjinga mtupu..wangekuwa na Calvert pamoja na Richarlson si tungepigwa tano?
Jaman anajenga timu kwa wachezaji wenye miaka 34 na 36 hao s wastaafu mkuu sema anajaribu hapo nitakuelewaSema Ole ana kitu special na ataijenga Man U vizuri sana na hakuna timu itatamani kukutana na Manchester hasa kwa ubora ambao itakuwa nao
Tuendelee kumpa muda Ole, vitu vizuri havitaki haraka
Chief Mkwawa na Mwanasport wanakuja kwa mapanga na marungu kwa sababu unawaponda makocha wao bora kabisa tangu Man Utd iundwe

Wamwangalie kwa jicho la 3 huyu asijekuwa anatumiwa na Liverpool kama Jasusi wa kuikwamisha Man Utd...Huyu jamaa ka draw ila ana smile..hahah duhh #oleoutView attachment 1960336

Huyu mwanasport mshamba kinoma..juzi kaniqoute hapa ananiita mimi mpumbavu kisa tu nimesema Ole ni kichwa maji.Chief Mkwawa na Mwanasport wanakuja kwa mapanga na marungu kwa sababu unawaponda makocha wao bora kabisa tangu Man Utd iundwe
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Ole hana coaching Staff nzuriUjinga mtupu..wangekuwa na Calvert pamoja na Richarlson si tungepigwa tano?
Ole anatuzingua..mpira gani huu tunacheza?..
Sent using Jamii Forums mobile app