The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Nimefurahi sana huyu msenge kufungwa leo, ni moja kati ya makocha wasenge dunia haijawahi kushuhudia.
Before red hali ilikuwaje?Sio kweli,sio kweli...socha eeeee,sio kweli.
Nadhani una hasira tu mkuu, mambo hayapo hivyo.Timu kubwa kama Utd ina wachezaji wa gharama kubwa inapocheza na timu ndogo hata mchezaji akitolewa kwa red card co issue, inabd kutulia na kumiliki mpira, pale nilitegemea angemtoa vdb aingie Greenwood tucheze 3-51 mana hawa ni watoto, unaenda unatoa forward unaingiza kiungo, baadaye unatoa kiungo unaingiza forward hivi anajitambua kweli huyu?
Kuna mshabik m1 wa Man U nilimwambia juzi team mnayo lkn kwa kocha huyu msahau kuArchive vitu vya msingi maana hajui analofny yan yupo tu..kwa kikosi ambacho man anacho sio cha kuretreat kucheza kwa uwoga hata kama Bissaka katoka..Nimefurahi sana huyu msenge kufungwa leo, ni moja kati ya makocha wasenge dunia haijawahi kushuhudia.
Game aliifanya ngumuTimu kubwa kama Utd ina wachezaji wa gharama kubwa inapocheza na timu ndogo hata mchezaji akitolewa kwa red card co issue, inabd kutulia na kumiliki mpira, pale nilitegemea angemtoa vdb aingie Greenwood tucheze 3-51 mana hawa ni watoto, unaenda unatoa forward unaingiza kiungo, baadaye unatoa kiungo unaingiza forward hivi anajitambua kweli huyu?
Mkuu wewe kama kocha hebu niambie ungefanyaje pale baada ya red? Ungeruhusu watoto wacheze mpira? Sasa nn maana ya kuwa na kikosi cha gharama?Nadhani una hasira tu mkuu, mambo hayapo hivyo.
Ole hamna kocha pale, ukiona tumeshinda basi jua wachezaji wamejituma kivyaao tu na siyo uwezo wa ole. Ila chakushangaza uongozi wamempa mkataba mpya wa miaka 3 zaidi kuonyesha kwamba wanaimani naye sana.Kuna mshabik m1 wa Man U nilimwambia juzi team mnayo lkn kwa kocha huyu msahau kuArchive vitu vya msingi maana hajui analofny yan yupo tu..kwa kikosi ambacho man anacho sio cha kuretreat kucheza kwa uwoga hata kama Bissaka katoka..
Yann ole khs abt tactics yy bado ni premature kbs na katk decisions za muhm when it matters most anafail miserably hapo ndo yy wanatofautiana na kina Pep,Tuchel na klopp..hapo ndo maana man kubeba ligi atasbr had apate kocha ambae ana akil timamu kutumia resources nyng alizonazo.
Watatez wa Ole watasema mda bd ligi ndo zimeanza lkn ukwl ni kwmb in Ole hakuna kocha wa kusema utambetia kwny makombe ya muhm yan hakuna ni vile tu ni mtt wa home anakubalika na kina Fergie lkn angekua ashaondoka.