The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Duh hadi Malouda, huyu nyoka huyu hatari sanaAchana na huyo, hakawii kuwataka kina INGS, DRINKWATERS, MALOUDA, HUGO RODALEGA, MICHU, BOBY ZAMORA, RICKIE LAMBERT, SIRIGU






Duh hadi Malouda, huyu nyoka huyu hatari sanaAchana na huyo, hakawii kuwataka kina INGS, DRINKWATERS, MALOUDA, HUGO RODALEGA, MICHU, BOBY ZAMORA, RICKIE LAMBERT, SIRIGU






Heeeee usiniambie mdau sio ya zamani hii........wamerudi tena
View attachment 1892164
UyooooWakuu, mnaona vipi kama tukimuuza Martial au Pogba tukaongezea pesa kidogo tukamchukua Christian Benteke.
Dany Ings ndio ivyo tushamkosa kimasiara tu.










Duuh! mechi moja tu,tayari umejihakikishia ubingwa msimu huu.Hesabu ziko simple tu
Tunabeba kombe,tunatoa mfungaji bora wa ligi na mtoa assist bora wa msimu.
Kuhusu golikipa bora sina uhakika
Mm nilichofurahi ni ameondoka Barca mana ulikuwa ni upumbavu sasa, Messi Messi Messi, yn mchezaji anakuwaje mkubwa kuliko klabu? Tena iliyomlea? Mnamtukuza kiasi hicho akifa? Au akistaafu? Yani ilikuwa ni upumbavu uliokuwa ukinikera sana.Bora tumemkosa, hata mimi mwanzo nilikuwa natamani aje OT ila ukiangalia uhalisia angekuja kwenye timu yetu yeye ndiyo angekuwa mfalme pale na ingeleta shida kuja kumpata mchezaji wa level zake ili asijione yeye ndiyo yeye katika timu. Ni kama ishu ya Pogba mwanzo alitusumbua sana ila kwa ujio wa Bruno imesaidia kumuweka sawa na kutokujiona yupo juu ya klabu.
Messi ni mchezaji mkubwa sana kucheza kwenye timu yetu hii, ni lazima ukubali hili. Timu anayoenda anakutana na World class players karibia kikosi kizima, the likes of Neymar (ana rekodi yake matata) Mbappe, Ramos. Huko kunamfaa zaidi au timu nyingine ni Man. City (nimefurahi wamemkosa).
Washatoa na mfungaji Bora wa ligiDuuh! mechi moja tu,tayari umejihakikishia ubingwa msimu huu.

Huu utakuwa msimu bora kabisa wa Greenwood.2nd goal. GreenwoodView attachment 1892102
Ukweli mtupu.James atolewe kwa mkopo, bado sana kupata namba huyu mtoto, nashangaa taarifa za juzi eti Ole anamtoa kwa mkopo Amad, anamuacha James, hata Pellistri ni mara 2 ya James basi tu
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Ndinga gani hii....
Sijui mkuuNdinga gani hii....
Kwa goli moja tu ?Huu utakuwa msimu bora kabisa wa Greenwood.
Msimu wetu huuwamerudi tena
View attachment 1892164