Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Niliwahi kusema.

Kutoa hela nyingi kwa wachezaji wa kingereza sio sahihi.

Ni wachezaji average sana ila ni gharama mno. No value for money.

Angalia Harry Kane anataka kuondoka Spurs. Ila hakuna timu ilioonesha serious kutaka mchukua.

Grealish unadhani ana hiyo thamani? Ame prove nini cha kumfanya anunuliwe kwa hiyo hela?

Verane tumetoa 45M ila Maguire tumetoa 80M. Wana utofauti upi?

Bruno angekuwa muingereza price tag yake ingekuwa not less than 120M.

Kuna wakati tuangalie vipaji toka nje ya UK.

Ila hii tabia ya kukumbatia hawa waingereza inazidi igharimu timu. Hakuna wachezaji wenye akili ya mpira. Mabenteke ndo yamejaa.

Bei alionunuliwa Bissaka alitakiwa apige kazi kama kina Dani Alves. Ila hakuna maajabu yeyote. Leo tunawaza tena kumchukua beki mwingine.
Ligi yoyotte lazima kuwe na idadi ya wazawa,
Hao akina Maguire, and likes kinachowabeba ni uzawa na sheria inawabeba kwa kiasi Fulani lazima wawepo on pitch

Na hiyo ndio sababu price yao huenda juu sana, kuliko uhalisia
Sasa hauwez ukawa na timu alafu hakuna mzawa

TATIZO NYUMBU HAMJUI MPIRA, KULISHANA UJINGA TU
 
Niliwahi kusema.

Kutoa hela nyingi kwa wachezaji wa kingereza sio sahihi.

Ni wachezaji average sana ila ni gharama mno. No value for money.

Angalia Harry Kane anataka kuondoka Spurs. Ila hakuna timu ilioonesha serious kutaka mchukua.

Grealish unadhani ana hiyo thamani? Ame prove nini cha kumfanya anunuliwe kwa hiyo hela?

Verane tumetoa 45M ila Maguire tumetoa 80M. Wana utofauti upi?

Bruno angekuwa muingereza price tag yake ingekuwa not less than 120M.

Kuna wakati tuangalie vipaji toka nje ya UK.

Ila hii tabia ya kukumbatia hawa waingereza inazidi igharimu timu. Hakuna wachezaji wenye akili ya mpira. Mabenteke ndo yamejaa.

Bei alionunuliwa Bissaka alitakiwa apige kazi kama kina Dani Alves. Ila hakuna maajabu yeyote. Leo tunawaza tena kumchukua beki mwingine.
Kisheria tuna nafasi moja tu ya mchezaji mwenye uraia tofauti na Uingereza, kama tukisajili wachezaji wawili (kama ripoti zinavyodai) tegemea mmoja wao ni Muingereza mwingine anakuja.
 
Unashangaza sana!!!

Misimu yote waliyocheza Scott na Fred against big games tulifanya vizuri kuliko wakiwa hawapo.

Unataka big games zipi ambazo hawaperform ?
hizo big games ambazo zote tumeshinda tumepotezwa vibaya pamoja na kwamba tumeshinda mpira tunaomba uishe sisi hivi umeangalia kweli kocha mpya wa chelsea aneo lake la kiungo ukija na kwetu? yaani hata arsenal walitumudu sana kiungo mech zote mbili mpate mtu kama Ruben Neves pogba na bruno uone moto wake

mbele sancho,cavan na rashford au greenwood unaumia mapema sana
 
Watu wakuuza kazi kuwatoa kwa mkopo tu uza hizo species tupunguze watu kikosini wasio na faida.
Kwenye football kuna vitu viwili Current Ability (CA) na Potential Ability (PA).

Sasa unavyoona hizi timu zinatoa wachezaji kwa mkopo usidhani hawajui kwamba hao wachezaji hawajafikia uwezo wa kutumikia club husika. Sasa kuna mchezaji ukiangalia CA yake ni nzuri ila siyo kufikia level unayohitaji ila ukiangalia PA yake ni kubwa kuzidi CA kwahiyo kinachofanyika ni kumtoa kwa mkopo apate muda wa kucheza ili kuweza kufikia PA yake.

Ukiangalia kila timu ina aina na asili zake katika kutafuta mafanikio, kuna vilabu vinasajili wachezaji kulingana na CA kwa asilimia kubwa na vingine vinaangalia CA na PA ya mchezaji husika. Sasa uki-force vifanane ndiyo matusi kwa timu yanaanza baada ya kujifananisha na vilabu vingine.

Mfano: Borussia Dortmund wanapata mafanikio kifedha kupitia PA za wachezaji ambao wanawachukua wakiwa na CA ndogo na wakifikia PA zao wanawauza kwa timu zinazohitaji wachezaji wenye CA kubwa.
 
sosha akimpata Ruben Neves na ule usajili wa watu wawili aliofanya ubingwa anachukua msimu uliopita kakosa kidogo sana mapungufu ya kiungo na bek mech nne za waliomstar wa kishuka daraja zilimharibia
 
hizo big games ambazo zote tumeshinda tumepotezwa vibaya pamoja na kwamba tumeshinda mpira tunaomba uishe sisi hivi umeangalia kweli kocha mpya wa chelsea aneo lake la kiungo ukija na kwetu? yaani hata arsenal walitumudu sana kiungo mech zote mbili mpate mtu kama Ruben Neves pogba na bruno uone moto wake

mbele sancho,cavan na rashford au greenwood unaumia mapema sana
Huyo Ruben Neves hawezi kuwa sawa na Fred katika ukabaji
 
Uwezo wake utajulikana hivi karibuni
E8W3-zzXEAMunv8.jpg
 
Back
Top Bottom