Hauwezi kubeba kombe kwa ball possessionBall possession bado sana kwa kubeba kombe loloteView attachment 1892035
Baada ya game muombe ladhi pogbaJames bado hajui anachokifanya anakimbia tu, Pogba nae mambo mengi sana anapoteza mipira ingawa katoa assist kali sana.
Mechi nzuri battle ya midfield refa kaacha wauwane inapendeza.
RadhiBaada ya game muombe ladhi pogba
GGMU
Wanakatisha tamaa mbele ya safari wanarelax manYaani timu inatakiwa kuwa na njaa kama hivi
Lingard yuko kwenye isolation ya corona.Taarifa zipi nisaidie. Uelewa wangu ni kuwa Rashford akiwa fit na Cavani yupo, Lingard hawezi kupata nafasi. Kama OGS ameamua kumuacha nje Martial na Sacho ilikuwa chance kwa Lingard.
Kikosi kizito kwa leo ilitakiwa apangwe nani ?Ukwl lazima usemwe MKUU,,msimu uliopita tuli drop Point kizembe sana ,tukazinduka mwisho baada ya kuja cavani.
Kwann haweki kikosi kizito?
Huo mfumo tukikutana na timu kubwa tunapata shida sn..
Kuna ulazima Wa kuwapanga fred na Mac tomy pamoja?
Baada ya game muombe ladhi pogba
GGMU
Huwa munaanza hivyo hivyo kiboyaunajisikiaje ukiona tumeshapiga goli 4 mpk sasa..
bila kusahau bruno kashapiga hattrick ya kwanza msimu huu
Mnalalamika mno kah!! Pale kuna wataalam wa kila aina, sometimes tuwaache wafanye kaziJames atolewe kwa mkopo, bado sana kupata namba huyu mtoto, nashangaa taarifa za juzi eti Ole anamtoa kwa mkopo Amad, anamuacha James, hata Pellistri ni mara 2 ya James basi tu
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Mwaka jana tumeanza kwa kupigwa na Cristal Palace, acha kupotoshaHuwa munaanza hivyo hivyo kiboya