radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Babu anchelloti leo ana jambo lake hapo Oldi traffodi



sio anfieldiii mkuuBabu anchelloti leo ana jambo lake hapo Oldi traffodi



sio anfieldiii mkuuUlimuona minamino lakin na kile kibao cha mbuzi?![]()
Muda sio mrefu MAJI na MAFUTA Vitajitenga kila kimoja kitarudi sehemu yake.



mkuu upo lakin? Nakusalimia banaMwisho wa siku kaishia wapi na kibao chake?


honeymoon kwisha lampard mwingine yulesio anfieldiii mkuu
Ww ulishinda na wenzako walikuwa wa ngapi? Jibu swali acha unyumbu ww
Kwasiku ile si uliona jambo lake lakini



Nipo mkuu,mkuu upo lakin? Nakusalimia bana
Nipo mkuu,
Humu ndani sitaki kuingia tena mpaka msimu ujao,Jeuri ya kujahumu haipo tena kwa sasa.
Mpiga ramli upo?Honeymoon imeisha ya yule jamaa yenu alivyochanganyikiwa anamuingiza odoi na kumtoa ile ndio epl hamna kocha pale sijaona tofaut ya lampard n TT
Lakini we akili zako ziko sawa?We kweli NYUMBU, hiyo soton uliifunga wao wakiwa wangapi uwanjani?
Wasalimie kigoma, waambie Manchester united yuko nafasi ya pili na hajakata tamaa ya kuufukuzia ubingwa.Nipo mkuu,
Humu ndani sitaki kuingia tena mpaka msimu ujao,Jeuri ya kujahumu haipo tena kwa sasa.
Uyo kiazi nshaachana nae nmegundua dishi limeyumbaLakini we akili zako ziko sawa?
Game ya kwanza walikua pungufu?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Uyo kiazi nshaachana nae nmegundua dishi limeyumba
First game walikuwa 11 wakapigwa 3-2 second game walikuwa 10 wakapigwa 7 mmoja akakimbia wakabaki9 wakapigwa 9 kulingna na idadi yaoWe kweli NYUMBU, hiyo soton uliifunga wao wakiwa wangapi uwanjani?
Mkuu achana na haya manyumbu ..nimeyauliza je unaweza kuifunga Soton, yanaanza kuleta matokeo ya ajabu ajabu wakati mpira wenyewe ulikuwa wa hovyo hovyo tu..We kweli NYUMBU, hiyo soton uliifunga wao wakiwa wangapi uwanjani?



Ubingwa gani wewe unafukuzia..? Acha ndoto za alinacha mkuu ..kwanza hiyo nafasi ni za watu na ndo sisi tunakuja hapo ..wee endelea kushangaa shangaa utajikuta huna hata boksaWasalimie kigoma, waambie Manchester united yuko nafasi ya pili na hajakata tamaa ya kuufukuzia ubingwa.
Mpiga ramli upo?