Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yaani daaahh....!!

Kuna-combo moja ya hatari sana kati ya Amad na huyu dogo namba Saba. Dogo namba Saba anachojua ni kufunga tu mwanzo mwisho, Na huyu Amad ni goal producing Machine. Dogo ananyumbulika bazoka isubiri..!! Anagawa mipasi yachumban kabisa...anaunganisha timu mbele na nyuma..!! Aisee.. huyu dogo asiendelee kusubiri sana kule.. kwa mipasi yake Cavan mbona anaondoka na mpira kila mechi..!!

BACK TANGANYIKA
Dogo Amad anaonekana sio mbinafsi kabisa..Jana katoa assist tatu na ni assist za upendo kabisa..
 
Sijajua sosha katumia vigezo gan kumchezesha huko under 23 wakat huyo dogo kacheza atalanta timu ya wakubwa
Mkuu kucheza U23 ni kawaida. Ni kama kautaratibu fulani hata hawa wachezaji wakubwa wakiwa wameumia muda mrefu, wakipona kabla hawajarudi kwenye nafasi zao wanapiga at least mechi moja ya U23.
Sijajua kwa timu nyingine but kwa Manchester united ni kawaida hata kina Baily wanachezaga U23
 
Hapo ndipo atafeli ss, aachane na mambo ya huku kusikokuwa na shukurani, Messi mpk leo angekuwa the greatest km angekubali kuiwakilisha Spain japo kwa Messi haikuwa mby cz Argentina ni nchi kubwa kimpira but kwa Africa simshauri kabisa, huku kuna upuuzi mwingi mno, chuki, kijicho plus misumari.
Huyu akija timu ya taifa huku lazima wamroge
 
Dogo anatukubali bado
Screenshot_20210206_150354.jpg
 
Hivi Ole aligawaje points kwa Gunners,dah sitakuja kumsamehe labda UTD uchukue EPL au ndoo yoyote this season
Tatizo kwenye hizi big matches tumeingia sana kiuoga uoga..Arsenal sio timu ya kushindwa kuchukua japo point tatu.

Tunakuwa hatutengenezi nafasi nyingi kwenye hizi mechi(apart from Arsenal away) na zikitengenezwa chache fowards wetu wamekuwa butubutu..yaani mpaka wapate chansi nyingi ndo washinde..Hili limetucost sana,tungekuwa tunaongoza ligi kwa gap zuri tu.
 
Wakuu Leo Sina access na TV kabisa
Naomba app itakayoonesha mechi yetu au website ambayo haina magumashi
#GGMU
 
Back
Top Bottom